HAKI KWA WOTE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2022
- 2,783
- 2,393
Habarini,
Huu mfumo wa Ardhi Kiganjani lengo lake ilikuwa ni kuharakisha huduma lakini imekuwa kinyume chake ambayo ni kuchelewesha huduma.
Inakuwaje kupitisha nyaraka ya usajiri wa mkataba ichukue zaidi ya wiki mbili baada ya kulipia?
Ofisi ya Msajili wa Hati Msaidizi wa Dar Es Salaam na wengineo mnazingua yaani hili nalo hadi alalamikiwe waziri wenu.
Waziri husika fuatilia hili.
Huu mfumo wa Ardhi Kiganjani lengo lake ilikuwa ni kuharakisha huduma lakini imekuwa kinyume chake ambayo ni kuchelewesha huduma.
Inakuwaje kupitisha nyaraka ya usajiri wa mkataba ichukue zaidi ya wiki mbili baada ya kulipia?
Ofisi ya Msajili wa Hati Msaidizi wa Dar Es Salaam na wengineo mnazingua yaani hili nalo hadi alalamikiwe waziri wenu.
Waziri husika fuatilia hili.