amavubi gfsonwin

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Kigoma: Shule ya Mvinza Kagerankanda haina Madarasa na Madawati. Waandikia Majivu

    Shule ya Msingi Muvinza iliyopo Kata ya Kagerankanda, Wilaya Kasulu Mkoani Kigoma ina changamoto ya upungufu mkubwa wa madarasa na madawati hali nayowafanya wanafunzi wengi kusoma nje na wengine kusoma wakiwa wamekaa chini katika madarasa machache yaliyopo. Wanafunzi ambao wameanza elimu ya...
  2. J

    JamiiForums Tanzania TEMESA yafafanua gharama za ukarabati MV Magogoni

    Pamezuka mjadala kuhusu ukubwa wa gharama za kukarabati MV Magogoni na hasa ukilinganisha na gharama za Kivuko kipya. Wengi wanadai ni heri kinunuliwe kivuko kipya. TEMESA yafafanua: MV Magogoni kilinunuliwa kwa Euro 5,287,800 Sawa na Tsh 9.3 billion Mwaka 2008, exchange rate ikiwa Euro 1 =...
  3. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Serikali yaondoa tarehe ya ukomo wa Vitambulisho vya Taifa

    Serikali yaondoa tarehe ya ukomo wa Vitambulisho vya Taifa.
  4. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Ninauza sumu ya panya hiyooo

    NINAUZA SUMU YA PANYA HIYOOO
  5. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Matatizo na Kero ya Muungano wetu........ BONGO YETU.......

    Matatizo na Kero ya Muungano wetu........ BONGO YETU.......
  6. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Watoto 12 wapoteza maisha kutokana na ugonjwa wa surua Tanzania

    Watoto 12 wameripotiwa kupoteza maisha kutokana na surua katika wilaya ya Mlele mkoani Katavi kusini magharibi mwa Tanzania . Kati ya kipindi cha mwezi wa 12 mwaka jana hadi kufikia mwezi wa pili mwaka huu watoto 847 wameambukizwa surua kwenye wilaya hiyo. Mkuu wa wilaya ya Mlele Majid Mwanga...
  7. aleesha

    JamiiForums Tanzania Masharti ya kuwekeza Zanzibar kwa Mtanzania bara na mgeni

    "Mgeni sio kwamba ananunua ardhi, na sio kwamba anapewa umiliki wa 100% hapana anapewa kibali cha kuwekeza kwa miaka kadhaa. Kwa mtu anayetoka Tanzania Bara ambaye anataka kufanya Uwekezaji Zanzibar anatumia utaratibu huo huo" Rais wa Zanzibar, Dkt Hussein Ally Mwinyi. ==== Rais Mwinyi...
  8. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Erdogan asema Uturuki inaweza kuzuia ombi la Uswidi la uanachama wa NATO

    Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan amesema kuwa Ankara inaweza kukubali Finland kujiunga na Nato, lakini si Sweden. Alikosoa hatua ya Uswidi kukataa kuwarejesha makumi ya watu wanaodaiwa kufungwa kwa makundi ya wapiganaji wa Kikurdi na wakosoaji wengine wa serikali yake. "Ikiwa unataka...
  9. Determinantor

    JamiiForums Tanzania Inagusa sana: "Mwambie anipigie ni Mimi Mama yake"

    Copy na ku-paste, Mimi sio mwandishi Mwambie anipigie ni mimi mama yake! Mwambie sina simu ila nimeona picha zake kwenye simu ya kupalaza ya khamisi/mwambie amenenepa sana. Mwambie nimeona gari lake ni zuri sana !!ila mwambie mama yake bado naishi kwenye lile banda pamoja na kuku/mwambie...
  10. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Mtanzania auawa kwa kupigwa risasi na Polisi wa Afrika ya Kusini

    M-Tanzania Mkaazi wa Mjini Tanga auliwa kwa Kupigwa Risasi na Polisi wa Afrika ya kusini.
  11. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Nyoka wa upako amuuwa mchungaji

    Nyoka wa upako amuuwa mchungaji Loohh Hatari kweli imani zingine zinatisha kweli.
  12. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania How to Get Wi-Fi Without an Internet Provider

    How to Get Wi-Fi Without an Internet Provider The internet is an invaluable resource that most of us need on a daily basis. If you don’t have an internet connection at home or you’re traveling to a place with no Wi-Fi or a poor connection, you might be wondering: “How can I get Wi-Fi right...
  13. YEHODAYA

    JamiiForums Tanzania Freeman Mbowe alalamikia Uhamiaji uwanja wa ndege Nyerere kwa kumsumbua Mtoto wake ambaye ni raia wa Marekani kuingia nchini

    Akiwa Marekani akiongea na Watanzania waishio Marekani akisema mtoto wake wa kumzaa aliyezaliwa Marekani na mwenye uraia wa Marekani alisumbuliwa Airport Dar kwa saa sita na kuzuiwa kupewa visa ya kuingia nchini hadi ikabidi aondoke aende Kenya ambako aliingia nchini kupitia Mombasa.
  14. BARD AI

    JamiiForums Tanzania Zanzibar: Meli ya Serikali iliyokarabatiwa kwa Tsh. Bil 3.6 yauzwa kwa Tsh. Mil 536.8

    Meli ya MV Maendeleo yenye uwezo wa kubeba abiria 600 na tani 697 za mzigo kwa wakati mmoja ilikuwa ikifanyiwa matengenezo Bandari Kavu ya Mombasa, Kenya. Wizara ya Uchukuzi Zanzibar imechukua uamuzi wa kutoendelea na ukarabati na kuiuza Meli hiyo kwa mnunuzi ambaye hajatajwa ili kupunguza...
  15. Nanyaro Ephata

    JamiiForums Tanzania Mchina jela miezi mitano kwa kuua tembo 511, Mtanzania jela miaka 60 kwa kukutwa na meno ya tembo na kiboko

    Nimeona hii habari mtandaoni imenishangaza kama sio kosa la kiuandishi.Raia wa China amekutwa na kosa la kuua jumla ya tembo 511 wenye dhamani ya bilioni 7 amehukumiwa jela miezi mitano au kulipa faini ya laki tatu. Kwa upande mwingine Mtanzania aliyekutwa na meno yenye dhamani ya milioni...
  16. BARD AI

    JamiiForums Tanzania Video ya Rais wa Sudan Kusini akitokwa na haja ndogo yazua maswali kuhusu afya za viongozi

    Katika tukio lisilo la kawaida, Rais wa Sudan Kusini, Salva Kiir mwenye miaka 71 ameonekana akitokwa na haja ndogo wakati wa hafla ya Kitaifa na wimbo wa Taifa ukipigwa. Kitendo hicho kinaibua maswali kuhusu hali za kiafya za viongozi wengi duniani kuendelea kukaa madarakani hata baada ya umri...
  17. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Watanzania mtaisoma namba kiukweli kabisa

    Wa-Tanzania Mutaisoma namba ya Ukweli.
  18. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Majenereta ya umeme ni ya nani haya jamani?

    Kumbe hawa Viongozi wetu wanazima umeme kwa makusudi ili wapate kufanya biashara zao za kuuza Majenereta? Ama kweli Tutamkumbuka Sana RIP Doctor Magufuli, aliwahi kusema akiondoka kila kitu kitarudi kama zamani na kweli tunaona sasa.
  19. The Sunk Cost Fallacy 2

    JamiiForums Tanzania Mbeya: Auawa kwa kupigwa Risasi kisa kudai ushuru wa maegesho wa shilingi 7,500

    Mtu mmja aliyejulikana kwa jina la William Mgaya ambaye ni wakala wa kukusanya ushuru wa magari ameuawa kwa kupigwa risasi na mfanyabiashara wa madini kutoka Chunya. Polisi wa Mbeya wanamshikilia mtuhumiwa kwa hatua zaidi za kisheria. My Take Serikali kuweni makini na kuwapa watu silaha, siyo...
  20. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Upatikanaji maji DSM Asilimia 100

    Ofisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dares Salaam (DAWASA), Cyprian Luhemeja ametangaza upatikanaji wa maji katika Jiji la Dar es Salaam kurejea kwa asilimia 100. “Kwa sasa hali ya maji ni nzuri na huduma ya maji imerudi kawaida na safari hi tumerudi kwa kishindo...
Back
Top Bottom