amavubi gfsonwin

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Mvulana wa miaka 10 alikamatwa nchini Uchina kwa kumkaba koo hadi kufa Bibi yake Mzaa Mama

    Michelle De Pacina Mvulana mwenye umri wa miaka 10 amekamatwa nchini China kwa kumweka nyanyake kwenye kitanzi cha kichwa na kumnyonga hadi kufa. Katika video inayosambaa mitandaoni, bibi huyo anaonekana akimpiga mvulana huyo mara mbili kichwani kabla ya kumpiga ngumi ya kifua na kumshika...
  2. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Dr. Mwaka amjibu Sheikh wa mkoa wa Dar

    Dr. Mwaka amjibu Shekhe wa Mkoa wa DSM Dr. Mwaka amesema kuwa watanzania siyo wajinga na wanayofanyiwa wanayaona, Masheikh wachafu na wasafi wapo na watanzania wanawajua. Ushahidi wa Masheikh hawa wachafu, watanzania wanao na hata yeye Mwaka mwenyewe anao pia. Akasema kuna watu ambao kwa...
  3. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Mwanamke adai kupigwa ngumi na mchungaji wakati wa maombi

    Mwanamke mmoja ameshindwa kuzuia hasira zake baada ya kudai kupigwa ngumi ya usoni na mchungaji wakati akimuombea. Katika video iliyopostiwa kwenye Mtandao wa TikTok, mwanamke huyo anaonekana akiongea kwa hasira kwamba mchungaji alikuwa akimuombea na kumpiga ngumi kwa uchungu usoni kama njia ya...
  4. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Ama kweli akili ni nywele na kila mtu ana zake

    Mafuriko Makubwa yaliyotokea nchini India kila mtu akijaribu kumuokoa mungu wake asipatwe na mafuriko. Loooh Majanga kweli kweli.
  5. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Kibanda cha mlinzi gharama yake ni Tsh Milioni 11

    Viongozi wanapiga pesa kibanda hicho hakiwezi kufika hata Shilingi Milioni 4 Looohh Majangaa kweli. Ama kweli Kazi iendelee........Hongera Mama Rais.
  6. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Wamekubali akina Mwigulu Nchemba na mawaziri wenzake kuhusu tozo za mialama ya simu

    Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Mwigulu Nchemba (kulia) akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika jijini Dodoma juzi. Wengine kuanzia kushoto ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Tamisemi), Innocent Bashungwa, Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Ajira, Vijana na wenye...
  7. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Picha zangu za leo katika ubora wake

    UNAZIONAJE?
  8. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Simbachawene: Kijana wangu Mshugulikieni hadi awe na adabu kwa mujibu wa Sheria

    Nimeiona clip inayozunguka kwenye mitandao ya kijamii , nakiri kuwa huyo ni kijana wangu ambae ni mtu mzima anajitegemea na anafamilia yake…. Nimemwagiza Mkuu kituo kwa sababu amekosa adabu kwa jeshi la polisi na ametenda kosa la usalama barabarani ASHUGHULIKIWE BILA HURUMA KWA MUJIBU WA...
  9. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Ukitaka kuoa nchini Papua Guinea masharti yake hayo hapo chini

    Huko nchini Papua Guinea kuna kabila linaitwa Dani ambalo mwanaume anapotaka kuoa, sharti akate kidole chake cha mkono wa kulia na kumpelekea mkewe mtarajiwa kama sehemu ya mahari na upendo wake wa dhati kwake. Na kama mwanaume anataka kumpa talaka mkewe, pia ni sharti akate vidole vyake viwili...
  10. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Vita Ukraine Haiwezi Kuisha kwa Kuipuuza Urusi, Jumuiya za Kimataifa Zitambue Hilo

    Vita Ukraine Haiwezi Kuisha kwa Kuipuuza Urusi, Jumuiya za Kimataifa Zitambue Hilo Rais wa Uturuki Recep Tayyip Edorgan akiwa na Rais wa Urusi Vladimir Putin jijini Moscow MSAIDIZI Mkuu wa Rais wa Uturuki amesema kuwa jumuiya ya kimataifa haiwezi kumaliza vita nchini Ukraine kwa kuipuuza...
  11. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Ujumbe maalum kutoka kwa Afande Sele

    Download 720
  12. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Mambo matano unayotakiwa kufanya iwapo simu yako ya mkononi imeibiwa

    Tunaburudika tukiwa mbali na nyumbani, tunapuuzilia mbali kutumia simu ya rununu kwa muda na tunapoangalia mfukoni, begi au mahali tulipoiweka, haipo tena. Wezi wanaweza kuwa na ujuzi mkubwa wa kuiba simu za mkononi kwa kipindi kifupi tu. Mbali na kutufanya tujisikie vibaya, wizi wa simu za...
  13. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Mike Tyson amrushia ngumi abiria mwenzake katika ndege baada ya kurushiwa chupa

    Bondia wa zamani wa uzito wa juu Mike Tyson amempiga ngumi abiria mwenzake katika ndege baada ya mtu huyo "kumrushia chupa ya maji," msemaji wa Tyson amesema. Video iliyochukuliwa kwenye ndege hiyo inamuonesha Tyson akiwa ameegemea kiti chake huku akimpiga ngumi za mara kwa mara mtu ambaye...
  14. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Vita vya Ukraine: Kwa nini maneno ya 'kuropoka' ya Biden kuhusu Putin ni hatari sana

    Katika kipindi cha wiki moja iliyopita, Rais wa Marekani Joe Biden ametoa matamshi kadhaa ambayo yameonyesha kuongeza joto uhusiano kati ya Marekani na Urusi. Hata hivyo, maneno yake ya mwisho katika ya hotuba inayotajwa kama "hotuba kubwa" nchini Poland siku ya Jumamosi - yanaoonekana kumtaka...
  15. Planet FSD

    JamiiForums Tanzania January Makamba ni tatizo linalohitaji kushughulikiwa haraka sana

    Wakuu sijui huyu waziri ana shida gani. Alikuwa very promising kule wizara ya mazingira. Lakini tangu aletwe huku wizara ya nishati imekua ni kituko baada ya kingine. Kulikuwa hakuna tatizo la kukatika umeme kipindi chote cha magufuli. Ila baada ya tu ya January kuletwa huku umeme ukaanza...
  16. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Maswali magumu aliyoulizwa Rais Samia ya Mwandishi wa BBC

    Maswali Magumu aka Hard Talk aliyoulizwa Mama Rais Samia Suluhu.............. Download 720 Download 720 Download 720
  17. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania SI KWELI: Serikali haijasitisha somo la Historia ya Tanzania

    Posti ya Twitter inayodai serikali imesitisha somo la Historia ya Tanzania ya kumtukuza hayati rais John Magufuli SI KWELI. Posti inakiunganishi kwenda katika tovuti inayoeleza kwa undani juu ya taarifa hizi. Tovuti inaeleza kuwa vitabu vipya vya “Historia ya Tanzania” vilivyokuwa vimechapwa...
  18. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Freeman Mbowe afanya Misa ya Shukrani Kanisani. Asema aliomba mashtaka yasifutwe ukweli udhihirike

    Leo Jumapili Freeman Mbowe amefika kwenye kanisa la KKKT Azania Front na kufanya maombi maalum yakiambatana na Sadaka, kwa lengo la Kumshukuru Mungu. ========= Freeman Mbowe: Leo nimewaona wakristo wenzangu, sikusudii kuzungumza mengi zaidi ya shukrani. Nimepata hofu sana na hofu kubwa...
  19. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Naibu Spika Zungu: Rais Samia ameweka historia ya kukutana na wanafunzi wenye mahitaji maalumu tofauti na watangulizi wake

    MHESHIMIWA NAIBU SPIKA ZUNGU: MKAPA, KIKWETE, MAGUFULI HAWAJAFANYA, LAKINI AMEFANYA RAIS SAMIA. Kwa mujibu wa historia ya nchi yetu ni mara ya kwanza Rais ambaye yuko katika madaraka anakutana na wanafunzi kama hawa leo (wenye mahitaji maalumu), nilianza kazi zangu za siasa 2000, wakati Mzee...
  20. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Shuhuda aelezea Ubaguzi kwa watu weusi Nchini Ukraine

    JAMAA AZUNGUMZIA JINSI WA UKRAINE WANAVYO WABAGUWA WATU WEUSI... Download 720
Back
Top Bottom