amavubi gfsonwin

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Mwanamke mmoja nchini Zambia amemgeuza mumewe kuwa nyoka

    Mwanamke mmoja nchini Zambia amemgeuza mumewe kuwa nyoka mkubwa baada ya kukosea kumpa dawa ya kumfanya ampende yeye tu. Mwanamke huyo alitaka mumewe kushinda nyambani kwa ajili yake peke yake ndipo akamua kwenda kwa mganga wa kienyeji kupewa dawa ya mapenzi (Limbwata). Alipofika nyumbani...
  2. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Mchungaji Gwajima azungumza kuhusu mapenzi ya jinsia moja

    MCHUNGAJI NGWAJIMA AZUNGUMZIA KUHUSU USHOGA NA USAGAJI.
  3. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Faida za kufanya mazoezi kwa mama mjamzito

    Madaktari na wataalamu wa afya wanashauri mama mjamzito kufanya mazoezi mepesi kwa muda wa dakika 10 mpaka 30 kila siku ili kuimarisha misuli, mzunguko wa damu, viungo vya uzazi na kupunguza uzito. Zifuatazo ni faida anazozipata mama mjamzito iwapo atafanya mazoezi 1. Mazoezi hupunguza maumivu...
  4. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Vyakula 10 vinavyofaa kwa wanaume

    1. Chokolate, hurekebisha mzunguko wa damu na kuondoa mafuta ambayo hayafai kwenye mishipa ya damu hivyo kukuepusha na shinikizo la damu. Ila kula mara kwa mara itasababisha kuongezeka uzito. 2. Samaki kutoa baharini, asa wenye magamba ambao huwa na virutubisho vya zinc vinavyosaidia kuimarisha...
  5. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Vyakula muhimu sana ambavyo ukizidisha huwa sumu mwilini

    Vifuatavyo ni vyakula muhimu sana kwa afya ya mwili wako ambavyo ukizidisha vinaweza kuwa hatari sana na kukusababishia maradhi mbali mbali. 1. Nyama ukila nyama kupita kiasi husababisha kiasi kikubwa cha protein na vichochezi vya ukuaji mwilini ambavyo huongeza kasi ya kuzeeka na hatari ya...
  6. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Kama unaumwa na halafu unaota ndoto hizi na unatibiwa hospitali na hauponi jaribu njia ingine ya asili kujitibia

    Kama unaumwa halafu unaota ndoto hizi na unakwenda hospitali na huponi maradhi yako .basi hospital usiache lakini kimbilia tiba za upande mwingine. Yaani za kidini ama kiasili. 1. Kuota umepotea njia. 2. Kuota marehemu unaowajua wanakuita sehemu nzuri lakini wewe hutaki ama mtu anakuzuia. 3...
  7. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania Nigeria: Muumini alitaka kanisa lirejeshe pesa zake kwa kuwa hana mpango wa kwenda mbinguni

    Mwanaume mmoja aliyefahamika kwa jina la Maazi Chukwudiaso Onyema ametoa maagizo hayo ya pesa alizotoa kwa miaka miaka mingi akidai hana nia ya kwenda mbinguni kama ilivyokuwa awali Onyema amerekodi video akilitaka Kanisa la Dunamis International kutimiza kile anachokitaka kwa kuwa alifanya...
  8. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Picha yangu ya leo

  9. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Video: Siri ya Jahazi lililogeuka kuwa jiwe Kilwa Kisiwani

    SIRI YA JAHAZI LILILOGEUKA KUWA JIWE-KILWA KISIWANI
  10. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Hii ndio hali ya Johannesburg, Afrika ya Kusini. Tusipochukua hatua za haraka na madhubuti, hali hii itafika kwetu

    Hii ndio hali ya Johannesburg, Afrika ya Kusini. Tusipochukua hatua za haraka na madhubuti, hali hii itafika kwetu, tunamuomba Mwenyezi Mungu SUbhana Wataala atunusuru.. TUMUOMBE MUNGU ATULINDIE VIJANA WETU AMIN
  11. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Ni marufuku kuweka watoto bwenini. Wakae na mama zao wafundwe maadili mema

    NI MARUFUKU KUWEKA WATOTO BWENINI. WAKAE NA MAMA ZAO WAFUNDWE MAADILI MEMA
  12. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Coletha Raymond: Wanaume wa kizazi hiki wanapenda kulelewa

    Muigizaji nyota wa Bongo Movie nchini, Coletha Raymond amesema kuwa wanaume wengi wa kizazi hiki wanapenda sana kulelewa na wanawake waliowazidi umri. Coletha akaongeza kwa kusema kuwa, pia kuna wanawake watu wazima ambao wanapenda mambo ya style mpya ambazo vijana wa kizazi hiki ndiyo...
  13. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Steve Nyerere: Wachungaji wanamiminika kwa wingi hivi imekuwa ni biashara?

    "Siku hadi siku Wachungaji wanamiminika, najiuliza hivi imekuwa ni biashara? Na kama ni biashara wanadhani kufanya mzaha na hisia za watu wanaomtafuta Mungu kwa gharama yoyote wanawatendea haki?"- Msanii wa Bongo Movie, Steve Nyerere.
  14. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Mchungaji Zumaridi ameenda mbinguni kwa andiko gani?

    “Ameenda mbinguni kwa andiko lipi? Tunarudi kwenye Biblia, inasema juu ya habari ya kwenda mbinguni, aliyeenda mbinguni kwa mara ya mwisho ni Yesu nae alibadilishwa sio kwa mwili huu wa chipsi na soseji. Hiyo ni changamoto ya afya ya akili."- Mchungaji Richard Hananja
  15. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Maajabu ya bangili ya shaba na tiba ya ndani kwa mwili wa binadamu

    Muktasari: Kifupi, kama unadhani kuwa tiba na kinga za maradhi ni vidonge na sindano pekee, basi umepotea, ulizia tena upya maana binadamu ameumbwa kwa namna ya ajabu sana na anapopatwa na maradhi basi huhitaji tiba za aina nyingi sana kama vile tiba ya maji (Hydrotherapy) tiba ya kupakwa...
  16. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Kuweni makini na mchanga wa kaburini

    KUWENI MAKINI NA MCHANGA WA KABURINI: Kuna watu wamepata nuksi, mikosi na mabalaa makubwa katika maisha yao kwa sababu ya matumizi ya mchanga wa makaburini bila kuzingatia au kufuata maelekezo. Unapokuwa unafanya kitu chochote kile kinacho husiana ama kuyahusisha makaburi kwa namna moja au...
  17. BigTall

    JamiiForums Tanzania Aliyemuua rapa Nipsey Hussle ahukumiwa miaka 60 jela

    Eric R. Holder, Jr. amekutwa na hatia ya kufanya mauaji ya mwanamuziki ambaye jina lake halisi ni Ermias Asghedom tukio lililotokea Mwaka 2019, Los Angeles. Hussle alikuwa baba wa watoto wawili aliowapata na nyita wa filamu, Lauren London, aliuawa akiwa na umri wa miaka 33 katika tukio ambalo...
  18. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Wasiojulikana Waiba Kapu la Sadaka Kanisani

    Paroko wa Parokia ya Narumu, kata ya Machame Mashariki mkoani Kilimanjaro, Padri Thomas Chuwa amelaani vikali kitendo kilichofanyika katika Ibada ya Jumapili iliyopita baada ya mtu/watu wasiojulikana kuiba kapu la sadaka Kanisani na kuwataka Waamuni kusali sala maalum kwa siku 3.
  19. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Rais Mstaafu Kikwete kuhudhuria Sherehe za Kuadhimisha Miaka 20 ya Mpango wa Dharura wa Rais wa Kupambana na UKIMWI

    Rais wa Awamu ya Nne ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, Waziri wa 66 wa Mambo ya Nje wa Marekani Dk. Condoleezza Rice na mfanyabiashara Bill Gates leo Februari 24, 2023 wataungana na Rais Mstaafu wa Marekani George W. Bush katika sherehe za kuadhimisha miaka 20 ya...
  20. BARD AI

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania R. Kelly ahukumiwa kifungo cha miaka 20 kwa uhalifu wa Kingono

    R. Kelly amehukumiwa kifungo kingine cha miaka 20 huko Chicago kwa kesi yake ya uhalifu wa ngono ya mtungo. Mwimbaji huyo alikuwa katika mahakama ya shirikisho huko Illinois ambapo miaka 19 kati ya miaka hiyo atatumikia kifungo sawa na kifungo anachotekeleza sasa. Waendesha mashtaka...
Back
Top Bottom