Android
JF-Expert Member
- Jul 24, 2012
- 970
- 1,207
Utangulizi
Ni kampuni ndogo ya IT inayojishughulisha na ku manage website na ku manage kurasa za mitandao ya kijamii ya makampuni na watu binafsi, hivyo tunahitaji kuongeza watu zaidi kwenye timu yetu kwa ajili ya kutusaidia shughuli za kila siku.
Ajira
Wanahitajika watu wanne kwa ajili ya kuongeza nguvu kwenye timu yetu, kwa shughuli za website na kurasa za mitandao ya kijamii tunayoisimamia.
Vigezo
-Awe na uwezo wa kuandika kingereza (Kama huwezi kuandika kingereza usiombe)
-Awe na laptop au computer na awe na uwezo wa kuvitumia
-Awe na access ya internet (kama huna hivi vitu usiombe)
-Uwe na uelewa na mitandao ya kijamii
-Ukiwa na laptop utapewa kipaumbele, yaani ni sifa ya ziada.
Elimu
-Elimu ni kuanzia kidato cha nne na kuendelea
-Sio lazima uwe umesomea IT
Majukumu
-Kushare website kwenye mtandao ya kijamii kwa ajili ya kuleta traffic
-Kupost makala au habari kwenye website
-Kusaidia kusimamia website au kurasa za mitandao ya kijamii
-Awe tayari kufanya kazi usiku na hadi muda wa ziada jumapili au sikukuku
-Usiwe na kazi nyingine maana hi kazi itakuhitaji 50% ya muda wako wa siku
Malipo
Kwa kuanzia Malipo yatakua ni Tsh50,000/= kwa wiki au 200,000/= kwa mwezi. Ukifanya kazi vizuri na ukiwa na bidii malipo yataongezeka hadi Tsh 70,000/= kwa wiki au zaidi, au 300,000/= kwa mwezi au zaidi..
Mengineyo
-Utapatiwa bando la Tsh 5,000/ kwa wiki au Tsh 30,000 kwa mwezi
-kutakua na training ya wiki moja usipofuzu training hutaajiriwa
Location
-Awe mkazi wa Dar es salaam
Mazingira ya kazi
-Utafanyia kazi asilimia 60 nyumbani utaonana na msimamizi wako mara 2 kwa wiki kwa ajili ya maelekezo na ukaguzi wa kazi
-Usiwe na kazi nyingine maana hii kazi itakuhitaji 50% ya muda wako wa siku
Namna ya kutuma maombi
Tuma maombi kwa email hisabati@gmail.com ukiambatanisha taarifa zako na namba za simu
Mwisho wa kutuma maombi
Watakaomba wa kwanza kupewa kipaumbele.
Mwisho wa kupokea maombi ni Jumatano tarehe 18/3/2020.
Ni kampuni ndogo ya IT inayojishughulisha na ku manage website na ku manage kurasa za mitandao ya kijamii ya makampuni na watu binafsi, hivyo tunahitaji kuongeza watu zaidi kwenye timu yetu kwa ajili ya kutusaidia shughuli za kila siku.
Ajira
Wanahitajika watu wanne kwa ajili ya kuongeza nguvu kwenye timu yetu, kwa shughuli za website na kurasa za mitandao ya kijamii tunayoisimamia.
Vigezo
-Awe na uwezo wa kuandika kingereza (Kama huwezi kuandika kingereza usiombe)
-Awe na laptop au computer na awe na uwezo wa kuvitumia
-Awe na access ya internet (kama huna hivi vitu usiombe)
-Uwe na uelewa na mitandao ya kijamii
-Ukiwa na laptop utapewa kipaumbele, yaani ni sifa ya ziada.
Elimu
-Elimu ni kuanzia kidato cha nne na kuendelea
-Sio lazima uwe umesomea IT
Majukumu
-Kushare website kwenye mtandao ya kijamii kwa ajili ya kuleta traffic
-Kupost makala au habari kwenye website
-Kusaidia kusimamia website au kurasa za mitandao ya kijamii
-Awe tayari kufanya kazi usiku na hadi muda wa ziada jumapili au sikukuku
-Usiwe na kazi nyingine maana hi kazi itakuhitaji 50% ya muda wako wa siku
Malipo
Kwa kuanzia Malipo yatakua ni Tsh50,000/= kwa wiki au 200,000/= kwa mwezi. Ukifanya kazi vizuri na ukiwa na bidii malipo yataongezeka hadi Tsh 70,000/= kwa wiki au zaidi, au 300,000/= kwa mwezi au zaidi..
Mengineyo
-Utapatiwa bando la Tsh 5,000/ kwa wiki au Tsh 30,000 kwa mwezi
-kutakua na training ya wiki moja usipofuzu training hutaajiriwa
Location
-Awe mkazi wa Dar es salaam
Mazingira ya kazi
-Utafanyia kazi asilimia 60 nyumbani utaonana na msimamizi wako mara 2 kwa wiki kwa ajili ya maelekezo na ukaguzi wa kazi
-Usiwe na kazi nyingine maana hii kazi itakuhitaji 50% ya muda wako wa siku
Namna ya kutuma maombi
Tuma maombi kwa email hisabati@gmail.com ukiambatanisha taarifa zako na namba za simu
Mwisho wa kutuma maombi
Watakaomba wa kwanza kupewa kipaumbele.
Mwisho wa kupokea maombi ni Jumatano tarehe 18/3/2020.