JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania
Aina 10 za wanandoa
1. KUMBIKUMBI
Hawa huongozana kila mahali. Yaani wanapendana hadi mahasidi wanatamani wanywe maji ya betri.
2. WAPAMBANAO
Hawa muda wote hupambana , hubishana na kurushiana maneno na kukosoana utasema wanaachana kesho ila huwa wanapendana , hawaachani ng'o.
3.WAZAZI WENZA
Hawa kwa asilimia...