aina

The Aïna River is a tributary of the Ivindo River that rises in Cameroon. Along the way it forms the border between Cameroon and Gabon and then the border between Gabon and Republic of the Congo (Map.).
The native pygmies along the river were noted as some of the few to use the plant Strophanthus tholonii as an ingredient in their arrow poison; other Strophanthus species are more commonly used.

View More On Wikipedia.org
  1. kyakakombo

    JamiiForums Tanzania Natafuta wanaozalisha inzi aina ya Black Soldier kwa ajili ya uzalishaji wa funza

    Wadau Amani iwe kwenu Nimefuatilia kwa wenzetu huko Nigeria wanaozalisha funza agotti) kwa ajiri ya chakula cha kuku kwa kutumia inzi waitwao Black Soldier Nauliza kwa hapa Tanzania wapi naweza kupata hawa inzi ili nitumie kwenye ufugaji wangu wa kuku
  2. K

    JamiiForums Tanzania Kwa aina ya mgombea wa CCM Temeke, jimbo litakwenda mikononi mwa ACT-Wazalendo, Shehe Issa Ponda kushinda mchana kweupe

    KWA AINA YA MGOMBEA WA CCM TEMEKE, JIMBO LITAKWENDA MIKONONI MWA ACT-WAZALENDO – SHEHE ISSA PONDA Katika harakati za kisiasa kuelekea uchaguzi mkuu, macho mengi yameelekezwa katika majimbo yenye ushindani mkali – mojawapo likiwa ni Jimbo la Temeke. Kauli kali iliyotolewa na Shehe Issa Ponda...
  3. C

    JamiiForums Tanzania Nauza washing machine aina ya panasonic

    Machine ya kufulia na kukaushia b aina ya Panasonic bei laki 3 na 20 0740404030
  4. kiss ov love

    JamiiForums Tanzania Huwa mnadili vipi na ndugu wa aina hii?

    Za jumapili wakuu moja kwa moja kwenye mada, hivi huwa mnadili vipi na ndugu wa namna hii yeye akikutafuta ni kukuomba hela tu,, na hakuna chochote anachokusaidia kwenye maisha yako. Ni dada yangu mtoto wa mama angu mkubwa, kuna kipindi waliuza eneo lao kama milioni 30 hivi, wakapewa mamilioni...
  5. LiwaloNaliwe2025

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kama kijana unaejitafuta na unahisi umefikia wakati wa kuoa, hizi hapa ni aina za wanawake wetu Tanzania

    WANAOPENDA SANA MAHABA Kuna jamiii ziliwafundisha/zinafundisha wanawake au watoto wa kike kumlea mme, hapa wapo kutoka mikoa ya Tanga, Tabora, Pwani na baadhi ya maeneo mwambao wote wa pwani ya bahari ya hindi Jamii ya watu hawa wamefundwa haswa kulea mme ukioa huko kwenye hiyo mikoa utapewa...
  6. Top Gun

    JamiiForums Tanzania Wakuu kuna ambae anaweza kutambua aina ya mti huu.

  7. Mganguzi

    JamiiForums Tanzania Huu msitu unaoitwa Hamphrey Polepole ni mzito ,una wanyama wakali mno. CCM msiuchukulie poa na msiudharau! Una Kila aina ya wanyama na wadudu!!

    Kujiuzuru kwa Hamphrey sio kwamba ni ajali au imetokea tu kama mvua za masika la !! Kuna mkakati mzito kutoka ndani na nje ya nchi , Polepole mpaka anaamua kujiuzuru ni kwamba ni yeye ndio amewekwa mbele na Kuna makubaliano maalumu na malengo maalumu! Polepole sio kichaa Yuko sirias na ana...
  8. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Aina za biashara zilizopigwa marufuku kwa wageni wasio raia

    Uuzaji wa bidhaa kwa jumla na rejareja (isipokuwa supermarket, maduka ya bidhaa maalum, na vituo vya jumla vya wazalishaji wa ndani). Uhamishaji wa fedha kwa njia ya simu (mobile money). Matengenezo ya simu na vifaa vya kielektroniki. Biashara ya saluni (isipokuwa kwenye hoteli au kwa shughuli...
  9. Stuxnet

    JamiiForums Tanzania Grok: Ndege aina ya Thrush Rockwell toleo la 2025 hadi kutua Tanzania ni Tsh 4.Bilion

    Ndege ya Thrush Rockwell S2R (sasa Thrush S2R) inatengenezwa na Thrush Aircraft huko Albany, Georgia, USA. Bei ya kiwandani kwa modeli mpya kama Thrush 510P2+ (2025) inahitaji kuwasiliana na kampuni, lakini makadirio ni $800,000-$1,200,000 USD kutegemea vipengele. Modeli za zamani zinauzwa...
  10. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Kuwa makini na usijenge aina hii ya fence nyumbani kwako

    Hizo isolated posts ni rahisi kutumika kama ndoano ya kamba za panya road ili kupanda ukuta na kufanya yao
  11. B

    JamiiForums Tanzania Tunatengeneza furniture aina zote

    Wakuu Tunatengeneza furniture aina zote Showcase za kujengea na zakuhamishika. Makabati ya kujengea na yakawaida. Kitchen cabinets za kujengea na zakuhamishika. Pia tunatengeneza vibanda vya biashara kwa mbao
  12. B

    JamiiForums Tanzania Tunatengeneza furniture aina zote. Tupe oda boss tukutengenzee,,

    Wakuu Tunatengeneza furniture aina zote Showcase za kujengea na zakuhamishika. Makabati ya kujengea na yakawaida. Kitchen cabinets za kujengea na zakuhamishika. Pia tunatengeneza vibanda vya biashara kwa mbao
  13. B

    JamiiForums Tanzania Tunatengeneza furniture aina zote. Tupe oda boss tukutengenzee

    Wakuu Tunatengeneza furniture aina zote Showcase za kujengea na zakuhamishika. Makabati ya kujengea na yakawaida. Kitchen cabinets za kujengea na zakuhamishika. Pia tunatengeneza vibanda vya biashara kwa mbao
  14. B

    JamiiForums Tanzania Tunatengeneza furniture aina zote, tupe oda boss tukutengenzee

    Wakuu Tunatengeneza furniture aina zote Showcase za kujengea na zakuhamishika. Makabati ya kujengea na yakawaida. Kitchen cabinets za kujengea na zakuhamishika. Pia tunatengeneza vibanda vya biashara kwa mbao
  15. K

    JamiiForums Tanzania Aina ya Mioyo ya wapinzani Tanzania

    (1)Wale wasiyoyumba wala kubadilishwa kama Tundi Lissu hata umuonge nini habadiliki (2)Wale wa maslai kama Mbowe wao watavumilia kila aina ya mateso lakini ukiwapa pesa wanasahau yote (3)Wale wanaofwata upepo kama akinyimwa madaraka Chadema anaenda kuyatafuta kwingine Msigwa (4)Wale awana...
  16. youngkato

    JamiiForums Tanzania Aina za Usajili wa Biashara na Faida Zake

    Unapofikiria kuanzisha biashara, hatua ya kwanza muhimu zaidi ni kusajili rasmi biashara yako. Sababu ni rahisi: bila usajili, biashara yako haina kinga ya kisheria, haiaminiki machoni pa wateja na wawekezaji, na inakuwa rahisi sana kuibiwa jina lako la biashara. A. Usajili wa Jina la Biashara...
  17. Megalodon

    JamiiForums Tanzania Rafu Zimechezwa nyingi sana, Je tunakwenda kutoa Rais wa aina gani ?

    Viongozi wa nchi hamfikirii Mahakama hamfikirii Tume ya Uchaguzi hamfikirii Usalama wa nchi hamfikirii Hamfikirii kwamba tunapanda mbegu inayoenda kulimaliza hilo taifa kwa maslahi ya watu wachache mno ambao in next 15 to 20 years huenda wakawa mavumbini based on WHO life expectancy extracts...
  18. Isenye

    JamiiForums Tanzania Naomba mnifundishe kuendesha gari aina ya IST

    Mko poa humu? Kuna jamaa yangu amesafiri kwenda majuu, atakaa almost miezi sita huko, sasa ana gari lake aina ya ist kaiacha hapa kwangu, kaniachia na ufunguo, kaniambia niwe naiwasha mara moja moja kuipiga resi ili injini sijui isiwaje anajua mwenyewe. Kaniambia pia niwe napigia misele if...
  19. A

    JamiiForums Tanzania SIJAPENDA AINA YA UWASILISHAJI WA POLEPOLE KWENYE MAMBO YA MSINGI

    Ana contents nzuri sana huyu jamaa.Tatizo lake ni uongeaji wake wa siku hizi wa kimizaha mizaha. Kiukweli nikufurahishwa na mizaha mizaha yake alipokuwa akiongea mambo nyeti ya kitaifa. Mlio karibu nae hem mshaurini, kutowasilisha mambo muhimu kimizaha mizaha...kama Ahmed Ally, yule msemaji wa...
  20. kyagata

    JamiiForums Tanzania Kwa nini wasukuma huwa wanapenda kukata matonge ya ugali ya aina hii wakiwa wanakula?

    Mko poa? Hivi kwanini wasukuma huwa wanakata matonge ya ugali ya aina hii,yani 3 in 1? Kuna agenda yoyote ya siri?
Back
Top Bottom