aina

The Aïna River is a tributary of the Ivindo River that rises in Cameroon. Along the way it forms the border between Cameroon and Gabon and then the border between Gabon and Republic of the Congo (Map.).
The native pygmies along the river were noted as some of the few to use the plant Strophanthus tholonii as an ingredient in their arrow poison; other Strophanthus species are more commonly used.

View More On Wikipedia.org
  1. Moto wa volcano

    JamiiForums Tanzania Ogopa sana aina ya watu wanaozungumza na kila mtu

    Muogope sana mtu anayetafuta kupendwa na kila mtu , mtu aina hiyo lazma atavaa vazi la unafiki ili aweze kuwaingia watu Unakuta mtu ofisini /mtaani anazungumza na kila mtu , hata maadui wasiopatana yeye pande zote yupo . Watu wa aina hiyo wabaya sana atabeba ya huku atapeleka kule na ya kule...
  2. D

    JamiiForums Tanzania Unapotaka kuhamia sehemu au kununua makazi, kuna umuhimu wa kuangalia aina ya majirani?

    Unahama kutoa sehemu A kwenda B, kuna umuhimu wa kuangalia utapakana na majirani wa aina gani?? Kabila au dini zao?? Financial status?? I'm just asking.
  3. Bongo Tech Giant

    JamiiForums Tanzania Mjue Roboti Aina ya Humanoid Kiundani

    Roboti ni mashine zilizo tengenezwa na binadamu ili kurahisisha kazi mbalimbali. Miongoni mwa aina nyingi za roboti zilizopo, Humanoid Robots ndizo zenye mvuto mkubwa zaidi kwa sababu zinabuniwa zikifanana na binadamu. Zina muundo unaoiga mwili wa mwanadamu kama kichwa, mikono, miguu, macho, na...
  4. Jackpiano

    JamiiForums Tanzania Wakuu hizi pikipiki aina boxer za bm 125 hd 150

    Wakuu hivi zile pikipiki aina ya boxer bm150 gear 4 kweli zimezuiliwa nchini au ni story za watu wenye experienc mje mtoe ushuhuda na je zile bm150 gear 4 zilikua balaa kuzidi izi boxer HD 125 na HD 150 za sasa
  5. Jackpiano

    JamiiForums Tanzania Pikipiki aina ya boxer bm150 gear 4 kweli zimezuiliwa nchini au ni story tu?

    Wakuu hivi zile pikipiki aina ya boxer bm150 gear 4 kweli zimezuiliwa nchini au ni story za watu wenye experienc mje mtoe ushuhuda na je zile bm150 gear 4 zilikua balaa kuzidi izi boxer HD 125 na HD 150 za sasa
  6. Think2

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake wa aina hii watakuchelewesha kimaisha bro amka

    Ukweli ni mchungu lakini ni muhimu kusemwa. Wanaume wengi tunapoteza muda, pesa, amani na hata ndoto zenu kwa sababu ya kupenda chini & kuchagua mtu asiye sahihi. Kuna wanawake ambao ukijichanyanya nao, badala ya kusonga mbele, maisha yako yanakuwa kama gari lililokwama kwenye tope—hatua moja...
  7. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Hii ni aina gani ya laana inayomuandama na kumtesa Tundu Lissu kisiasa, kiuchumi na kijamii?

    Maana, kwanza, kila analolianzisha halifanikiwi, Kwa mfano alikua mbunge hakuinjoy, hakumaliza muda wake wa ubunge na wala hakufanikiwa kwa lolote ikiwa ni pamoja na kuwaletea maendeleo wanainchi wa singida mashariki. Bilashaka yoyote, nadhani hata watu wa singida wameshasahau kama kuliwahi kua...
  8. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Kinachoshangaza ni hawa vijana wa kiume kujishebedua zaidi hata ya wanawake walioalikwa. Iwe jinai kwa sherehe ya aina yoyote yenye maudhui haya

    Generation ya vijana chapati haiwezi koma kama normalization ya namn hii inaendelea katika jamii.
  9. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Je Wajua Kuna Aina Mbili za Malaika na Shetani?. Kuna Malaika na Shetani wa Mbinguni ambao ni Pepo na Malaika na Shetani wa Duniani ambao ni Watu?.

    Wanabodi Je wajua kuna aina mbili za Malaika na Shetani?. Kuna Malaika wa Mbinguni ambao ni pepo na kuna malaika wa duniani ambao ni watu ni binadamu, na kuna ma shetani wa motoni ambao ni mapepo na kuna mashetani wa duniani ambao ni watu ni binadamu kabisa lakini ni ma shetani!. Malaika wa...
  10. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania Ninatafsiri aina zote za ndoto

    Kama kuna ndoto uliiota na ukakosa furaha kwa kutokujua maana yake itaje nitakuambia maana yake. Hata kama hiyo ndoto umeisahau kwa Roho wa Mungu nitakukumbusha na kukutajia maana yake. Hii ni kuonyesha tu kuwa Mungu yupo kila sehemu Mungu anajua kila jambo Mungu anaweza mambo yote. Utukufu...
  11. The humble Man

    JamiiForums Tanzania samaki Aina ya GOGO

    Kama unafahamu samaki aina ya GOGO, tafadhali nijulishe Jina lake lingine ni lipi, anapatikana wapi kwa mwambao wa ziwa Victoria, kama una picha itasaidia zaidi.
  12. Faana

    JamiiForums Tanzania Aina mbalimbali za mapaa ya nyumba

    Hizi ni aina mbalimbali za mapaa/miezeko ya nyumba, je ipi ni chaguo lako pendwa? mimi nimependa butterfly:)
  13. S

    JamiiForums Tanzania Hivi kutokupenda habari kuhusu Mungu ni aina gani ya tatizo?

    Wakuu habari zenu? Naomba mwenye msaada wa kimawazo tafadhali.
  14. Knock life

    JamiiForums Tanzania Wakuu hivi Popoma ni nini je ni aina ya binadamu au ?.

    Wakuu hivi Popoma maana yake ni nini ? ni MTU wa aina gani .?
  15. M

    JamiiForums Tanzania Si kila mate ni udenda, jua aina nyingine za mate

    Udelele ni mate mazito yanayomtoka mtu labda kama ni punguani au ana matatizo Dovuo ni mate mazito yanayomtoka mtu akiwa usingizini, huwa yana harufu kali Udenda ni mate yanayomtoka mtu kutokana na kutamani kitu kama mapochopocho nk
  16. Manyanza

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Drug abuse: Dawa za kulevya, maana yake, aina zake, vyanzo vya kutumia dawa za kulevya, madhara yake na ufumbuzi wake

    NB: lengo la ujumbe ni kutoa elimu kwa wasomaji sio kutoa tiba kwa muathirika wa dawa za kulevya. Kwa muathirika wa dawa za kulevya anatakiwa kufika katika hospitali au vituo vya afya vyenye kutoa huduma hiyo. Drug Abuse ni kutumia dawa za kulevya au kemikali kwa njia isiyo sahihi, mara nyingi...
  17. stabilityman

    JamiiForums Tanzania Aina za balcony kwenye ujenzi

    A balcony is a platform projecting from the wall of a building, typically above the ground floor, enclosed by a railing or balustrade. Balconies provide outdoor space for occupants and enhancethe aesthetics of the building. Types of Balconies: 1. Cantilever Balcony: Supported only at one end...
  18. mcTobby

    JamiiForums Tanzania Picha za zamani za black and white huwa zinanipa huzuni nikizitazama

    Mara nyingi huwa naishia tu kuziangalia karibia lisaa tu nikitafakari sana 😢. Zinanipa hali fulani ya huzuni sio huzuni na sijawahi elewa ni kwa nini. Hata movies za Charlie chaplin hususani ile amecheza na kijana mdogo hivi ya black and white zinanipa huzuni sana.
  19. Surya

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Aina Tatu za Marafiki

    1. Rafiki wa maisha (or confidence) ~ Huyu ni rafiki ambae ikitokea mmekua wapenzi basi utajisemea I married my best friend. huyu ni rafiki ambae ukikosea haogopi kukukosoa na kukuelekeza mbele ya uso wako, huyu ni rafiki ambae ukiwa haupo anakusemea mazuri. Anakuwa rafiki yako kwasababu...
  20. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Ishara kama Aina za Wachawi

    Mchawi wa moto Huzingatia vipengele vitano, hufanya kazi kwa kuchoma vitu Kuwasha mishumaa, Kuchemsha maji nk. Mchawi wa Kijani Hupendelea matumizi ya mimea katika kazi zake, vitu vya kiasili sana na ardhi. Mchawi wa Kioo Hufanya kazi na mawe, fuwele, vito vya uponyaji na Tahajia zingine...
Back
Top Bottom