aina

The Aïna River is a tributary of the Ivindo River that rises in Cameroon. Along the way it forms the border between Cameroon and Gabon and then the border between Gabon and Republic of the Congo (Map.).
The native pygmies along the river were noted as some of the few to use the plant Strophanthus tholonii as an ingredient in their arrow poison; other Strophanthus species are more commonly used.

View More On Wikipedia.org
  1. koncho77

    Nikimpata wa aina hii naoa

    Kama Mwanamke Anadharau Mishe Zako, Achana Naye.. Kama Mwanamke Ana Heshimu Mishe Zako, Kuwa Na Mahusiano Naye.. Kama Mwanamke Anakusaidia Katika Mishe Zako, Muoe..
  2. koncho77

    Kuna aina tatu ya wanawake wanaoomba hela

    Kuna Mwanamke Anakuomba Hela Kwakua Ana Shida.. Kuna Mwanamke Anakuomba Hela Ili Kukukomoa.. Kuna Mwanamke Anakuomba Hela Ili Kukupima..
  3. Abdul Ghafur

    Unajenga? Tuna aina mpya ya vifaa vya ujenzi vinavyokupunguzia gharama za ujenzi na kukuokolea muda

    Kama unajenga au una plan kujenga au u fundi ujenzi au unataka kuongeza nafasi kwenye nyumba ya bati uliyonnayo sasa, wasiliana na na sisi kwa ushauri wa bure na kujionea aina mpya kabisa ya ujenzi unaokupunguzia sana gharama za ujenzi. Mafundi wote ujenzi tunawapatia masomo ya bure kabisa kwa...
  4. J

    Elimu yangu ni shahada ya Takwimu na Hisabati, natafuta kazi yoyote halali

    Mimi ni mtanzania mwenye umri wa miaka 28. Elimu yangu ni shahada ya Takwimu na hisabati GPA 3.5 . Nikotayari kufanya kazi/ kibarua yoyote/chochote mahali popote. Natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu wa dau
  5. D

    Aina nyingine ya wizi mpakani Tunduma

    Habari ya asubuhi wanajamii, sasa naomba vyombo vya dola viangalie hili tatizo pale Tunduma border. kumezuka kikundi cha watu wanajiita umoja wa madriver wa IT. Yaani gari zinazovuka mpaka wetu, hawa jamaa wanachukua eti ushuru wa shs 5000/ kila gari tena ni lazima, ukiwauliza wanasema ni...
  6. Bujibuji Simba Nyamaume

    Zijue aina za mitambo mikubwa zinazotumika kwenye shughuli mbalimbali za miradi ya ujenzi mkubwa

    Aina mbalimbali za mitambo itumikayo kwenye tasnia ya ujenzi. Excavators Backhoe Dragline Excavator Bulldozers Graders Wheel Tractor Scraper Trenchers Loaders Tower Cranes Pavers Compactors Telehandlers Feller Bunchers Dump Trucks Pile Boring Machine Pile Driving Machine 1.Excavators Fig 1...
  7. Mwita Mtu Mrefu

    INAUZWA PIKIPIKI AINA YA TVS cc 150 kwa 1.3 mil

    Hello jf Hiki chombo kina kina document zote za umiliki Chombo kinafanya kazi vizuri Karibu tufanye biashara 0744033555 Loc: Dar es salaam
  8. moudytz

    Naomba kufahamu bei ya pikipiki aina ya XR 250 mpya

    Wakuu naomba kujua bei ya hii pikipiki ikiwa bado mpya kabsa kwa hapa Tanzania naipenda kuliko hata gari
  9. J

    Wananchi kata ya Mkoma wilayani Newala mkoani Mtwara hawajawahi kuona gari aina ya Fuso!

    Kwanza nauliza mbunge wa Newala ni nani na anatokea chama gani cha siasa? Nimeona kupitia kipindi cha Taarifa ya habari ITV wananchi wa kata ya Mkoma wilayani Newala mkoani Mtwara wakilalamikia ubovu wa barabara katika kata yao na kwamba hawajawahi kuona Fuso zaidi ya kuziona luningani...
  10. J

    MALEZI: Aina za Kutelekeza Mtoto

    Kutelekeza watoto hufafanuliwa kama "aina ya unyanyasaji ambao unamaanisha kutompa mtoto huduma ya malezi inayohitajika na inayostahili kulingana na umri wa mtoto ingawaje kifedha mlezi au mzazi anaweza kufanya hivyo." Mara nyingi watu hushindwa kutofautisha kati ya umasikini na kutelekeza...
  11. M

    Simba SC ni lini mtatoa tamko lenu kali dhidi ya Utangazaji wa Chuki na Kiuchochezi wa Maulid Kitenge na Wasafi FM yake?

    Sasa imekuwa ni kawaida kila ambapo Mtangazaji huyu Maulid Kitenge akiwa katika Kipindi tegemea kusikia Habari mbaya (negative) tu ya Kuihusu Simba SC. Na hata kwa wale mliobobea vyema katika Saikolojia hasa ya Kimwonekano (Body Language) tu ukimuangalia Maulid Kitenge kupitia YouTube utaona...
  12. Pongo Pongo

    Simu na aina zote za komputa zina athari gani kiafya?

    Habari za wakati huu. Samahanini kwa usumbufu wapendwa. Leo nahitaji kufahamu athari za kulala karibu na simu wakati wa usiku. Mara kadhaa nimekuwa nikijisahau na kulala na simu karibu yangu, haya yafuatayo yamekuwa yakiniumiza kila ninapoamka. Kwa nini unapoamka asubuhi unajisikia kuchoka sana...
  13. J

    Ijue Afya yako kupitia aina ya kinyesi unachokitoa

    Chati ya kinyesi ya Bristol ilitengenezwa mnamo 1997 kama zana ya tathmini ya kliniki. Kuna aina saba za kinyesi kulingana na Chati ya hiyo. Chati ya kinyesi ya Bristol ni msaada wa matibabu ulioundwa na kuainisha kinyesi katika vikundi saba. Baada ya kujisaidia, kile unachokiona chooni...
  14. sky soldier

    Waafrika kusini wanatuonaje Watanzania tunaoishi nchini mwao, hutuona ni watu wa aina gani?

    Unavyoenda nchi za watu ni vema ukajua watu wa nchi hizo wanawaonaje watanzania ili kujua mapema hali ilivyo na kama kuna matatizo ujue mapema jinsi ya kuyakwepa au kama ni positivity uijue mapema. Kuna dogo hapa anataka kwenda huko kusoma na hatimae kuishi huko.
  15. D

    Naomba muongozo wa matumizi ya dawa za jamii ya viagra

    Wakuu mimi nasumbuliwa na tatizo la nguvu za kiume kwa muda mrefu. Nimejaribu kutumia dawa nyingi sana za kienyeji pamoja na vyakula bila ya mafanikio. NImejaribu kutumia vumbi la congo pia limenitupa mkono. Sasa nimebakisha mawili tu. Nimenza mazoezi takriban wiki ya pili sasa na naendelea...
  16. Abu Haarith

    Msaada jinsi ya ku unlock simu aina ya amazon fire

    Habari za majukumu wandugu, naombeni msaada wa program itakayoweza kunisaidia kuondoa simlock katika simu aina ya amazon au kama kuna mtu anaweza kufanya kazi hii aje PM Natanguliza shukrani.
  17. Mkogoti

    Ni aina gani ya mmea au kitu gani kinaweza kutoa harafu ya pombe mdomoni hata kama umekunywa mtu asigundue?

    Habari za Mida hii jamaa zangu wa humu na dada wa humu. Naomba kujua jinsi ya kutoa harafu ya pombe mdomoni sitaki ajue mtu kwamba nimekunywa pombe? Je, inawezekana hiyo, maana leo nisipoweza hiyo mtanikuta Kusikojulikana🤭 Msaada jamani uwiiii🤦😜🏃
  18. Suley2019

    Indonesia: Ndege aina ya Boeing 737 jet iliyokuwa na watu 62 yapata ajali na kupotelea ndani ya bahari

    Sriwijaya Air,Ndege ya abiria ya Indonesia ambayo iliripotiwa kupoteza mawasiliano mda mfupi baada ya kupaa kutoka uwanja wa ndege wa Jakarta,imeanguka ikiwa na abiria 62, Wizara ya usafirishaji ya Nchi ya Indonesia imethibitisha. Mashuhuda wanasema wameiona Ndege ikilipuka karibu na Kisiwa cha...
  19. The Sheriff

    MAGARI YA UMEME: Fahamu Faida Zake, Aina na Namna Yanavyofanya Kazi

    Magari ya umeme ndiyo magari yanayotazamiwa kutumika zaidi siku za usoni. Serikali nyingi barani Ulaya zinaahidi kusaidia utengenezaji wa magari yenye kiwango cha chini cha uzalishaji wa hewa sumu, huku makampuni ya Mazda na Maserati yakiwa tayari yametengeneza au kuweka mipango ya kutengeneza...
  20. Shamili benedicto

    Naweza fanya kazi ya aina Gani baada ya kusomea IT?

    Habar zenu jamani mi ni mgeni humu ndan nina shauku ya kujua kuwa naweza fanya kazi ya aina gani baada ya kusomea it?. Na pia kama nilisoma mchepuo wa arts o- level na mathematics nilifeli je yawezekana kusomea hiyo koz?
Back
Top Bottom