Mkogoti
TAPELI Mkubwa
- May 3, 2020
- 2,416
- 3,911
Habari ndugu zangu, kwa jina naitwa Mkogoti ni mzaliwa wa mkoa wa Mara nina shida na Ajira, yani natafuta kazi ama kibarua maana sina Elimu yoyote ya kuniajiri ofisini.
Maisha ni magumu sana kwa upande wangu MUNGU ndo anajua ninavyopitia sina maneno mengi ya kusema ila niseme tu.
Natafuta kazi naomba nipate msaada kwenu.
Nb: nina matatizo ya kubeba au kunyanyua vitu vigumu.
Maisha ni magumu sana kwa upande wangu MUNGU ndo anajua ninavyopitia sina maneno mengi ya kusema ila niseme tu.
Natafuta kazi naomba nipate msaada kwenu.
Nb: nina matatizo ya kubeba au kunyanyua vitu vigumu.