Miaka 28 mmh!!!
Kutafuta kazi na sehemu ya kujitolea hakuna tofauti katika Hustling za kupata msoto wa kupata kwa kujitolea almost the same tu na ule wa kupata kazi jumla.Kanuni rahisi ya kupata kazi ni Kutafuta sehemu Uwe unajitolea kwanza. Wajuzi wanasema Tafuta Nafasi Kwanza.
Then kupitia nafasi uliyoipata onyesha uwezo, namaanisha piga kazi kuzidi kiwango kinachotakiwa,
Utakuwa umetengeneza jina, sasa Acha jina liongee, ukiwa kazini Usiwe mtu wa kulalamika umekosea? kiri makosa Omba msamaha.
Kupitia jina ulilolitengeneza ni rahisi kupata kazi ata kama sio kampuni hiyo utakuwa na uzoefu ambao ni mtaji tosha utakapoenda kuomba kazi kwingine
Shida kubwa vijana wanapenda taasisi za mijini tu mikoani uko uhitaji ni mkubwa na huwezi KukosaKutafuta kazi na sehemu ya kujitolea hakuna tofauti katika Hustling za kupata msoto wa kupata kwa kujitolea almost the same tu na ule wa kupata kazi jumla.
umeAdrress kujitolea kama sehemu ipo tu unaenda.
Kanuni rahisi ya kupata kazi ni Kutafuta sehemu Uwe unajitolea kwanza. Wajuzi wanasema Tafuta Nafasi Kwanza.
Then kupitia nafasi uliyoipata onyesha uwezo, namaanisha piga kazi kuzidi kiwango kinachotakiwa,
Utakuwa umetengeneza jina, sasa Acha jina liongee, ukiwa kazini Usiwe mtu wa kulalamika umekosea? kiri makosa Omba msamaha.
Kupitia jina ulilolitengeneza ni rahisi kupata kazi ata kama sio kampuni hiyo utakuwa na uzoefu ambao ni mtaji tosha utakapoenda kuomba kazi kwingine
data science mpaka ajue programmingAnzisha tuition mkuu uwe unapiga pindi, au kama unaona jau kwa kozi uliyosomea jifunze mambo ya Data Science utatoboa sana.
Nikweli . Lakini changamoto kubwa upande wakujiajili ni mtajiJiajiri tu mkuu mambo ya Kazi kwa tz Hii ni magumu Sana
DaahNikweli . Lakini changamoto kubwa upande wakujiajili ni mtaji
And vice versa is true, kwahiyo kila mtu inabidi ajifunze cha ziada tu have full benefit from it.data science mpaka ajue programming
Mimi ni mtanzania mwenye umri wa miaka 28. Elimu yangu ni shahada ya Takwimu na hisabati GPA 3.5 . Nikotayari kufanya kazi/ kibarua yoyote/chochote mahali popote.
Natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu wa dau
Sio kweli. Changamoto ni lack of imagination, determination and guts to take action..! Mfano ukiuza hiyo simu yako tiyari mtaji wa kuuza matunda, kuchoma mahindi! Kijiwe cha shoe shine , kuuza chenji, kutafuta deli na kuuza vinywaji etc the list is endless. Sisi ni wavivu trust me.Nikweli . Lakini changamoto kubwa upande wakujiajili ni mtaji
MTAJI WA MASIKINI NI NGUVU ZAKE MWENYEWENikweli . Lakini changamoto kubwa upande wakujiajili ni mtaji