Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 12,417
- 30,926
Waswahili husema hakuna marefu yasiyo na ncha. Pia hakuna kitu kitadumu milele duniani.
Siasa
Siasa za ulaya na merikani zinatoa nafasi sawa ya haki kushundana bila mpinzani kupata kashkashi yoyote ile mfano marekani democrats na republic ni vyama kongwe sana huwezi kusikia mmoja akishika dola basi atatumia CIA au FBI kumsulubu oponent wake.
Kwa afrika hali ni tofauti mshindi akishinda uchaguzi hata kwa wizi basi atatumia dola na kila kilichomo kwenye mamlaka yake kuwasulubu wapinzani wake.
Tena mwenye mamlaka afrika anatumia ule msemo unaosema ukitaka kumuua mbwa mpe jina baya hivyo ataanza kuwaita wapinzani wake wasaliti traitors wasio wazalendo mawakala was mabeberu nk.
Jina hili la mbwa likishawakaa watawaliwa basi kifwatacho ni kufunguliwa kesi za ajabu kufilisiwa au risasi .
Haya ndio mazingira ya siasa za afrika.
Merikani siasa za namna hii zilishafutika miaka miambili iliyopita.
Uuma wa waafrika na ujuha
Kinachoshanga umma wa afrika unadanganywa na material things watu wakiahidiwa kujengewa karavati la barabara husahau mabaya yote yanayofanywa na hivi vyama kale.
Umma wa Afrika unasahau kanuni za kiutu mfano.
Usiuwe
Usimuonee mnyonge
Usiseme uongo
Nk
Vyama kale hivi vingi vimeshakufa afrika kwasababu watu wameshaamka japo bado kuna maeneo bado watu wake wamelala.
Chama kina miaka 60 ya uhai wake bado kina Sera ya kusambaza maji vijijini wakati kimsingi kwa uhai huo wa miaka 60 walitakiwa waje na sera za kurusha satellite àngani.
Mungu usiibariki afrika
Mungu iamshe afrika kwenye usingizi wa pono.
Siasa
Siasa za ulaya na merikani zinatoa nafasi sawa ya haki kushundana bila mpinzani kupata kashkashi yoyote ile mfano marekani democrats na republic ni vyama kongwe sana huwezi kusikia mmoja akishika dola basi atatumia CIA au FBI kumsulubu oponent wake.
Kwa afrika hali ni tofauti mshindi akishinda uchaguzi hata kwa wizi basi atatumia dola na kila kilichomo kwenye mamlaka yake kuwasulubu wapinzani wake.
Tena mwenye mamlaka afrika anatumia ule msemo unaosema ukitaka kumuua mbwa mpe jina baya hivyo ataanza kuwaita wapinzani wake wasaliti traitors wasio wazalendo mawakala was mabeberu nk.
Jina hili la mbwa likishawakaa watawaliwa basi kifwatacho ni kufunguliwa kesi za ajabu kufilisiwa au risasi .
Haya ndio mazingira ya siasa za afrika.
Merikani siasa za namna hii zilishafutika miaka miambili iliyopita.
Uuma wa waafrika na ujuha
Kinachoshanga umma wa afrika unadanganywa na material things watu wakiahidiwa kujengewa karavati la barabara husahau mabaya yote yanayofanywa na hivi vyama kale.
Umma wa Afrika unasahau kanuni za kiutu mfano.
Usiuwe
Usimuonee mnyonge
Usiseme uongo
Nk
Vyama kale hivi vingi vimeshakufa afrika kwasababu watu wameshaamka japo bado kuna maeneo bado watu wake wamelala.
Chama kina miaka 60 ya uhai wake bado kina Sera ya kusambaza maji vijijini wakati kimsingi kwa uhai huo wa miaka 60 walitakiwa waje na sera za kurusha satellite àngani.
Mungu usiibariki afrika
Mungu iamshe afrika kwenye usingizi wa pono.