afrika

  1. Victor Mlaki

    JamiiForums Tanzania Je, mtu anapokaribia kufa huhisi chochote?

    Licha ya suala hili kubaki kuwa la muhanga na tukio lenyewe la kifo bado zipo tafiti za kitabibu zilizofanyika miaka ya karibuni zinazotoa majibu changamani ya wahanga yanayoweza angalau kudokeza kiasi juu ya nini kinachoendelea. Upo utafiti ulifanywa kwa manusura wa shambulio la moyo 140...
  2. kavulata

    JamiiForums Tanzania Watengeneza chanjo bandia ya Covid-19 walivyonaswa Afrika Kusini, China

    Polisi nchini China na Afrika Kusini wamekamata maelfu ya dozi bandia za chanjo ya Covid-19 na kuwakamata wahusika, Polisi wa kimataifa, Interpol wameeleza. Polisi wamewakamata watu 80 kwenye kiwanda nchini China kwa madai ya kutengeneza chanjo bandia , ambapo dozi 3,000 zilibainika tayari...
  3. Shadida Salum

    JamiiForums Tanzania Ligi ya Mabingwa Afrika: Mamelodi Sandowns yang'ara kwa Mkapa, Yaipiga CR Belouizdad goli 5 kwa 1

    Michezo miwili ya Klabu bingwa Afrika itapigwa hii leo . Mchezo wa kwanza ni wa kundi B ambao utaikutanisha CR Belouizdad dhidi ya Mamelodi Sundowns katika Dimba la Benjamin Mkapa majira ya saa kumi kwa saa za Afrika Mashariki. Katika mchezo huo watazamaji hawatoruhusiwa kuingia uwanjani...
  4. MK254

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Rais Uhuru aukwaa uenyekiti wa Kamati ya Usalama Afrika, hii ni mara tu baada ya kuchukua usukani EAC

    Ikumbukwe pia Kenya imepata uanachama kwenye kamati ya usalama ya Umoja wa Mataifa, ndio maana imebidi kupigiwa simu na rais wa Marekani bwana Biden ili wajadili udhabiti wa Afrika. President Uhuru Kenyatta signs the Finance Bill 2018 at State House, Nairobi. PSCU President Uhuru Kenyatta has...
  5. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Dkt. Peter Mathuki Atangazwa Kuwa Katibu Mkuu Wa Jumuiya Ya Afrika Mashariki

    Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Paul Kagame amemtangaza Dkt. Peter Mathuki kuwa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Dkt. Mathuki ambaye ni mkenya ni mtaalamu wa Uchangamano wa Kikanda, pia aliwahi kuwa Mbunge wa Afrika Mashariki (EALA) ambapo alikuwa mwenyekiti wa kamati ya...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Je, nami nikija kuwa Mwanasiasa Kiongozi Afrika nikiwa nafanya Umafia huu wa Kikatili kwa nitakaowateua nitakuwa nakosea au napatia?

    Kwa mfano ikitokea nikawa na Msaidizi wangu ndani ya Ikulu ambaye nilimwamini mno ila baadae akaanza Kunikosoa, Kuchukizwa na Utendaji wangu na tabia zangu za Ukatii wa Kurithi huku nikagundua huwa anavujisha pia Siri zangu na Kuwaamuru Wasaidizi wangu ( Wana Usalama ) wammalize Kiuhai ila...
  7. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania EACSOF yashauri kuwe na hatua za kikanda za kukabiliana na COVID19 ikiwemo kuwa na chanjo itakayotengenezwa chini ya Africa-CDC

    EACSOF ilikaa Februari 26 kujadili muelekeo wa COVID19 na kushauri njia za pamoja za kukabilina na janga hilo Haya ni Mapendekezo ya EACSOF kwa Marais wa Jumuiya ya Afrika Mashariki siku moja kabla ya Marais hao kukutana 1. Wameshauri kuwa na hatua za kikanda dhidi ya gonjwa hili, hasa kuwa na...
  8. L

    JamiiForums Tanzania Hoja kuhusu China kuweka mtego wa madeni barani Afrika ni habari za uwongo zinazotungwa na nchi za magharibi

    Katika karne ya 21, kutokana na mahitaji ya fedha kwa ajili ya maendeleo ya kijamii na kiuchumi, kiwango cha madeni cha nchi za Afrika kimeongezeka sana, na shida ya madeni ya Afrika inafuatiliwa sana na jamii ya kimataifa na nchi za Afrika. Pamoja na kwamba kiwango cha ushirikiano kati ya...
  9. L

    JamiiForums Tanzania Afrika yakabiliwa na utata katika kupambana na ugaidi wakati wa kuishi na COVID-19

    Gazeti la The Nation la Kenya liliripoti kuwa kundi la kigaidi la al-Shabaab hivi karibuni limetekeleza mfululizo wa mashambulizi katika kaunti ya Mandera, nchini humo na kusababisha vifo vya watu wengi na uharibifu mkubwa, na huenda nusu ya ardhi katika kaunti hiyo inadhibitiwa na kundi hilo...
  10. M

    JamiiForums Tanzania Je, Viongozi wa Afrika kuwatumia Wananchi wao Masikini kama turufu yao Kisiasa Wakihutubia ndiyo Siasa bora, Uadilifu na Maendeleo?

    Na Kinachoniuma kama siyo Kunisikitisha hata hao Masikini wenyewe (ama kwa Kujua au Kutokujua) wakiwa wanatajwa katika Mikutano ya Hadhara ya Viongozi wa Kiafrika (Afrika) kuwa ni Masikini na Wasibughudhiwe hufurahia kweli kweli. Nijuavyo kwa Kiongozi mchapakazi, makini na anayejitambua kamwe...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Ni kwanini Viongozi wa sasa Barani Afrika hawapendi kukosolewa na ni wazuri sana kwa vitisho na visasi?

    Hapa nchini Afrika ya Kati (CAR) yalipo Makazi yangu Kikazi (japo Tanzania huko ni Nyumbani) kuna Mauzauza mengi kutoka kwa Rais wa hapa. Kwanza japo ni Katili na ana Chuki kwa Watesi (Critics) wake ila pia ana Sifa kubwa ya Uwoga na Uwoga wake zaidi unazidi katika ugonjwa huu wa Tauni uliopo...
  12. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Hapa sasa Wazungu ni wazi Wameishiwa Mbinu. Tanzania tumewaweza Afrika itakombolewa na Sisi

    Kwa jinsi ambavyo nmemsikiliza mh rais naona amewakaba vibaya mabeberu.hawa mabeberu wameshindwa kutuua,kutunyong'onyesha kwa njia zote sasa wanataka kutumia barakoa. TFDA na TBS nadhani watakuwa wamewabana sana hawa waingiza barakoa fake zenye vijidudu,sumu,bakteria,virus,fungae n.k tena...
  13. and 998 others

    JamiiForums Tanzania Corona yasitisha Vita Bara Afrika

    Wababe wa Vita barani. Wamejipa lockdown kiaina kusikilizia Kirusi Cha Korona. Hakuna Cha Somalia, Congo wala Central African Republic. **Hakuna mbabe kwenye kubanwa mbavu.
  14. EvilSpirit

    JamiiForums Tanzania Afrika kusini si nchi salama sana kwa wageni

    Hapa anaonekana mmozambiki akichomwa kisu.Huyu jamaa alifariki dunia baada ya kuchomwa kisu cha moyo
  15. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Tarehe 19 February ni Birthday ya Meneja bora wa Kampeni za Mgombea Urais Barani Afrika , Amani Golugwa

    Binafsi namtakia kila la heri na namuomba Mwenyezi Mungu ampe Maisha marefu . Huyu mtu mambo aliyoyatenda kwenye ule ulioitwa uchaguzi mkuu wa octoba 2020 nchini Tanzania yatakumbukwa Daima
  16. MSAGA SUMU

    JamiiForums Tanzania Tupa kule Mondi, kutana na Grand P celeb anayemiliki mtoto mkali Afrika nzima

    Grand P katika pozi Kiboko ya Grand P anaitwa Eudoxie Mtot mkali akiwa paris, shukrani kwa Grand P
  17. Replica

    JamiiForums Tanzania TANESCO kujenga bwawa la kufua umeme mto Malagarasi litakaogharimu bilioni 330 kwa ufadhili wa Benki ya Afrika

    Baada ya kupata ahadi ya ufadhili wa kifedha wa mradi wa bwawa la kufua umeme mto Malagarasi, shirika la umeme nchini limetangaza tenda ya kumtafuta mshauri kukamisha mradi huo. Mradi huu wenye thamani ya zaidi ya dola za kimarekani milioni 144 utajengwa kwenye maporomoko ya Igamba kwenye mto...
  18. Joseverest

    JamiiForums Tanzania Klabu bingwa Afrika: As vita club 0-1 Simba dimba la Stade de Martyrs 12/2/2021

    Naaaaam Barabara kabisa, Ndugu wadau wa Michezo wa hapa Jamiiforums na kwingineko karibuni katika Live updates(Matukio Mubashara) kutokea hapa Kinshasa katika Dimba la Stade De Martyrs, uwanja wa nyumbani wa Timu ya AS VITA CLUB ambapo kuna "patashika nguo kuchanika" au unaweza kusema kipute...
  19. Red Giant

    JamiiForums Tanzania Bila malaria wazungu wangetuangamiza na kukaa Afrika

    Kila sehemu walikoenda, lengo kuu la wazungu ilikuwa na kuanzisha makazi napya na kuangamiza jamii ya hapo. Wamewaangamiza wa Aborigines wa Australia hadi wamebaki wa kuhesabu. Huko Amerika wamewaangamiza Wahindi Wekundu na leo Wahindi Wekundu ni wa kuhesabu hapa na pale. Walitumia magonjwa...
  20. Elius W Ndabila

    JamiiForums Tanzania Msimamo wa Rais Dkt Magufuli dhidi ya ugonjwa wa Corona ndio ulikuwa mpango wa Mungu kwa Afrika

    MSIMAMO WA RAIS DKT MAGUFULI DHIDI YA UGONJWA WA CORONA NDIO ULIKUWA MPANGO WA MUNGU KWA AFRIKA. Na Elius Ndabila 0768239284 Leo nitazungumza mambo makubwa ambayo yatapambwa na ushahidi wa kiimani. Hivyo kwa wasomaji wangu ili uweze kunielewa juu ya makala hii utahitaji utulivu mkubwa wa...
Back
Top Bottom