Kwanini Afrika hujengwa na Waliofeli shule ila wasomi huibuka tegemezi?

Astrum27

Senior Member
Nov 28, 2016
140
201
Kama kawaida kabla hatujaanza chochote, tutumie sekunde chache kumshukuru Mwenye enzi Mungu kwa kutupa kibali tena. Pia nikushukuru ndugu msomaji unaeambatana nami katika makala yangu hii na mengine mengii yatakayo kuja mbeleni.. Naanza hivi...

kabla ya kuandaa makala yangu narudi miaka ya chuo kikuu, mida ya class presentation, I mean miaka ya nyuma kidogo wakati wa kuandaa class presentation. Wakati wa uwasilishwaji tulitegemea wale bright students, namaanisha A students wafanye wonders katika kupresent cause mitihani na matokeo yao hutuaminisha wao ndio nucleus na wanajua vitu vingi zaidi, ila tukiangalia kwa undani, wale high performers na wale wenye GPA za kishujaa, huwa na takriban similar performances kwenye presentation na D students. Sali juilize ni kwanini?

Baada ya kufanya uchunguzi wangu wa kijasusi, nilifanikiwa kuja na jibu moja ambalo ndio suluhisho wa changamoto hizi. Hadi inafika kipindi Mama yetu mpendwa Mama Samia kucrash wasomi kusema hawana uwezo. kwa upande mmoja yuko sawa ila kwa upande wa pili hayuko sawa.

Pia tunasikia vijana mtaani wanasema kuliko umuajiri msomi, tafuta kijana anaeelewa mapema ajiri uone matokeo, kwa upande mmoja wako sawa, ila upande wa pili wanakosea kabisa.

Niliskia Bungeni wanazungumza na kusema mifumo yetu ya elimu haiendani na soko la ajira duniani so tufundishe wanafunzi ujasiriamali vyuoni, kwa upande mmoja wako sawa ila kwa upande wa pili, wamekosea sana.

Kuna baadhi ya wanafunzi wanavyorudi mtaani wakihojiwa hujitetea kuwa koz ni nyingi sana, kwa upande mmoja wakp sawa upande wa pili wamekosea sana.

JE, NINI HASA NDIO CHANZO YA SINTOFAHAMU KWA WAHITIMU WETU?
Baada ya Utafiti kwa Takribani miaka miwili nimegundua tatizo lipo kwenye KUJIAMINI. Tukumbuke kuwa lengo kuu la kuweza kufanikiwa katika Kila tunachokifanya ni kujua kila kitu kina kinyume. Katika elimu yetu hatuaminishwi kuna kufeli, Namaanisha wenye GPA kubwa tu ndio wanakuwa considered kwenda mbele, na ndio factor moja wapo wanazotumia ku assess performance ya mwanafunzi.

Nachomaanisha, huenda kuna mwanafunzi mwenye GPA 4.0 na kumuuliza asimame mbele ya hadhara na kuelezea nini hasa anachokijua kuhusu hilo na lina impact kwa jamii. Wengi huwa wanameza na kutema kwenye mitihani. Ila mtafute yule aliyeanguka na kusimama tena mlete mtaani. mwezi hauishi utaskia kafungua biashara, kapata kazi, kawa mbunge, kawa na familia. kwanini? kwa sababu anajiamini.

USHAURI

Ushauri wangu kwa serikali endapo wanataka wasomi haswaa, wasi judge performance kupitia mitihani ya mwanafunzi, bali watumie presentation skills, confidence na wacheck impact ya mwanafunzi kwa jamii kulingana na alichokisoma. Ni Imani yangu sio kila swali lina jibu moja, Mfano kuna mtu akiona mti anaona mbao, mzingine anaona meza, mwingine anaona mmea, mwingine anaona boti. hivyo tutumia maarifa ya wanafunzi katika jamii na uwezo wao wa kujiamini kuwapangia ufaulu.

Mfano hai,
Bungeni wanajadili wahitimu wawe wajasiriamali, na kama kuna mjasiriamali hapa anipinge, kuwa ujasiriamali ni jambo zuri ila linahitaji moyo sana kuna siku nzuri na kuna kufeli pia, tuku,bike kuwa wahitimu wetu hatujawafundisha cha kufanya akitokea kafeli, swali je wataweza ujsiriamali? Mwanafunzi wa chuo boom lilichelewa wiki mbili tu ni vurugu, huyo anaweza ujasiriamali.. hivyo ushauri kwa serikali watengeneze mazingira ya wanafunzi kuweza kujiamini na kutofikiri ni mwisho wakifeli, tunaweza jenga taifa imara.
 
Mimi pia najiuliza ni kwanini wanaograduate chuo ni wachache kuliko walioanza shule ya msingi, maana yake ni kwamba wengi wanaishia kupata elimu ya kujua kusoma na kuandika badala ya vyuo ili hali bado taifa asilimia kubwa ya watu ni maskini ina maana wale wengi walioshia darasa la saba na wanaoaminika kwa kuzalisha haswa haswa na kuajiri wasomi mbona hawalikwamui taifa kwenye umaskini? Wao ndio wengi wanafail wapi?
 
Kwanza kabisa nilipenda uweke Mtaala wa Nchi kabla ya yote uliosema?
 
Mimi pia najiuliza ni kwanini wanaograduate chuo ni wachache kuliko walioanza shule ya msingi, maana yake ni kwamba wengi wanaishia kupata elimu ya kujua kusoma na kuandika badala ya vyuo ili hali bado taifa asilimia kubwa ya watu ni maskini ina maana wale wengi walioshia darasa la saba na wanaoaminika kwa kuzalisha haswa haswa na kuajiri wasomi mbona hawalikwamui taifa kwenye umaskini ? ili hali wao ndio wengi wanafail wapi?
Kubwa unalopaswa kujua Mtaala wa nchi unasemaja?
 
Kwenye hoja yanguu wakuu, kama mmeupitia vizuri, sikuhukumu chombo chochote, ila ni kuijulisha serikali kuwa wanafunzi wanaomaliza vyuo vikuu wengi hawana confidence, hawajajengewa mazingira ya ku take risks, na maanisha wasikaririshwe na majibu ya vyuo yasiwe moja ila kuangalia mtahiniwa anajidefend vipi.
 
Kwenye hoja yanguu wakuu, kama mmeupitia vizuri, sikuhukumu chombo chochote, ila ni kuijulisha serikali kuwa wanafunzi wanaomaliza vyuo vikuu wengi hawana confidence, hawajajengewa mazingira ya ku take risks, na maanisha wasikaririshwe na majibu ya vyuo yasiwe moja ila kuangalia mtahiniwa anajidefend vipi.
Labda nikujulishe tena mtaala wa nchi yako unaujua?
 
Nchi inajengwa vipi?

Kila Mwananchi Consumer anajenga nchi (kutokana na kodi anazolipa) labda ungesema since watunga policies na wapanga mikakati lazima wanapata hizo kazi through their certificates basi ni kwamba hao ndio wanaotuangusha sababu ambao hawana hizo certificates ni vigumu kupewa chance ya kutengeneza policies.
 
Serikali kusema vijana na wasomi wajiunge na ujasiriamali na kuachana na kutafuta ajira ni hoja ambayo kimsingi inalenga kuficha au kutetea uzembe wa serikali kushindwa kutafuta dawa na tiba ya ukosefu wa ajira.

Kwa taifa letu ambalo ni almost 70% linaweza kufuta shida ya ajira kwa kusimamisha sekta ya kilimo na fursa zake. Serikali hii hii ikiweza kuamsha vema sekta ya uvuvi wa bahari na sekta hiyo ikiwa hai basi ni dawa kali sana ya kuua kwa kasi ukosefu wa ajira.

Sekta ya usafiri kama wa reli hii ikiratibiwa vema pia na kutanuliwa. Mtakuja kunambia hapa.

Pia serikali ifanye sana partnership na sekta binafsi tutakuja kuona.
 
Hiyo ina apply kote Duniani mkuu, sio kuwa walifeli. ila waliona shule ni irrelevant to reach their goals. Refer mark zuck, Bill Gates Et al.
work less earn more
 
Kama kawaida kabla hatujaanza chochote, tutumie sekunde chache kumshukuru Mwenye enzi Mungu kwa kutupa kibali tena. Pia nikushukuru ndugu msomaji unaeambatana nami katika makala yangu hii na mengine mengii yatakayo kuja mbeleni.. Naanza hivi...

kabla ya kuandaa makala yangu narudi miaka ya chuo kikuu, mida ya class presentation, I mean miaka ya nyuma kidogo wakati wa kuandaa class presentation. Wakati wa uwasilishwaji tulitegemea wale bright students, namaanisha A students wafanye wonders katika kupresent cause mitihani na matokeo yao hutuaminisha wao ndio nucleus na wanajua vitu vingi zaidi, ila tukiangalia kwa undani, wale high performers na wale wenye GPA za kishujaa, huwa na takriban similar performances kwenye presentation na D students. Sali juilize ni kwanini?

Baada ya kufanya uchunguzi wangu wa kijasusi, nilifanikiwa kuja na jibu moja ambalo ndio suluhisho wa changamoto hizi. Hadi inafika kipindi Mama yetu mpendwa Mama Samia kucrash wasomi kusema hawana uwezo. kwa upande mmoja yuko sawa ila kwa upande wa pili hayuko sawa.

Pia tunasikia vijana mtaani wanasema kuliko umuajiri msomi, tafuta kijana anaeelewa mapema ajiri uone matokeo, kwa upande mmoja wako sawa, ila upande wa pili wanakosea kabisa.

Niliskia Bungeni wanazungumza na kusema mifumo yetu ya elimu haiendani na soko la ajira duniani so tufundishe wanafunzi ujasiriamali vyuoni, kwa upande mmoja wako sawa ila kwa upande wa pili, wamekosea sana.

Kuna baadhi ya wanafunzi wanavyorudi mtaani wakihojiwa hujitetea kuwa koz ni nyingi sana, kwa upande mmoja wakp sawa upande wa pili wamekosea sana.

JE, NINI HASA NDIO CHANZO YA SINTOFAHAMU KWA WAHITIMU WETU?
Baada ya Utafiti kwa Takribani miaka miwili nimegundua tatizo lipo kwenye KUJIAMINI. Tukumbuke kuwa lengo kuu la kuweza kufanikiwa katika Kila tunachokifanya ni kujua kila kitu kina kinyume. Katika elimu yetu hatuaminishwi kuna kufeli, Namaanisha wenye GPA kubwa tu ndio wanakuwa considered kwenda mbele, na ndio factor moja wapo wanazotumia ku assess performance ya mwanafunzi.

Nachomaanisha, huenda kuna mwanafunzi mwenye GPA 4.0 na kumuuliza asimame mbele ya hadhara na kuelezea nini hasa anachokijua kuhusu hilo na lina impact kwa jamii. Wengi huwa wanameza na kutema kwenye mitihani. Ila mtafute yule aliyeanguka na kusimama tena mlete mtaani. mwezi hauishi utaskia kafungua biashara, kapata kazi, kawa mbunge, kawa na familia. kwanini? kwa sababu anajiamini.

USHAURI

Ushauri wangu kwa serikali endapo wanataka wasomi haswaa, wasi judge performance kupitia mitihani ya mwanafunzi, bali watumie presentation skills, confidence na wacheck impact ya mwanafunzi kwa jamii kulingana na alichokisoma. Ni Imani yangu sio kila swali lina jibu moja, Mfano kuna mtu akiona mti anaona mbao, mzingine anaona meza, mwingine anaona mmea, mwingine anaona boti. hivyo tutumia maarifa ya wanafunzi katika jamii na uwezo wao wa kujiamini kuwapangia ufaulu.

Mfano hai,
Bungeni wanajadili wahitimu wawe wajasiriamali, na kama kuna mjasiriamali hapa anipinge, kuwa ujasiriamali ni jambo zuri ila linahitaji moyo sana kuna siku nzuri na kuna kufeli pia, tuku,bike kuwa wahitimu wetu hatujawafundisha cha kufanya akitokea kafeli, swali je wataweza ujsiriamali? Mwanafunzi wa chuo boom lilichelewa wiki mbili tu ni vurugu, huyo anaweza ujasiriamali.. hivyo ushauri kwa serikali watengeneze mazingira ya wanafunzi kuweza kujiamini na kutofikiri ni mwisho wakifeli, tunaweza jenga taifa imara.

Hebu weka hapa andiko la utafiti wako tuone methodology
 
1)Top 20 ya matajiri Duniani 90% wasomi

2)Top 20 matajiri Africa 90% wasomi

3)Top 20 matajiri Tanzania 90% wasomi

4)100% Kampuni mpya Tz zinazoenda kukua Founders wasomi

5)100% wanao Found system na mifumo nakuuza kwa mabillion wasomu i.e Kopagas Tz....

9) 90% Successful Politicians wasomi

10) 90% wenye uchumi wa kati wasomi

11)90% wanao Operate daily activities za kampuni kubwa ie Posta na kijitonyama wasomi

NI DARASA LASABA GANI UNAO WAZUNGUMZIA WANAENDELEZA AFRICA...

95% ya raia wa Tz sio wasomi na 5% tu...LOOK 95% YA RAIA TZ MASIKINI NA ONLY 5% WAKO VIZURI.

Watu dizaini yenu wanaangalia Graduate aliyehitimu chuo na kutafuta loophole ya kutoboa maisha...yupo kwenye msoto munaleta mambo ya ajabu kumpambanisha na watoto zenu wa lasaba waendesha bodaboda.....

Hakuna ufahari wowote kuwa ujasoma upuuzi na upumbavu
 
Back
Top Bottom