afrika

  1. HaMachiach

    Afrika yaanza vita ya wenyewe kwa wenyewe tena

    Sina mda na salamu. Kiza kimetanda, wananchi wanahaha mitaani, hawajui watakula nini kesho. Mama anaamka, huku amelala na njaa ya siku mbili. Maziwa ya mtoto yamekata. Anajikokota kutafuta unga apike uji wa mwanae wa miezi 7. Ikiwa takribani wiki mbili tangu rais Museveni atangaze lockdown...
  2. Ng'wamapalala

    Je, Rais Magufuli alikuwa na Pacemaker au Defibrillator? Ilidukuliwa?

    Nimejiuliza na kufikiria sana sana kuhusu kifo cha Rais Magufuli kilichosababishwa na mfumo wa umeme wa moyo uliokuwa unaratibiwa na pacemaker/defibrillator. Kujiuliza na kufikilia kwangu kumetokana onyo la Wizara ya Mambo ya Ndani ya Marekani (Department of Homeland Security-DHS) lililotolewa...
  3. L

    Pendekezo la “Ukanda Mmoja, Njia Moja” lairudisha Marekani Afrika

    Hivi karibuni jarida ya Foreign Policy la Marekani lilikuwa na makala yenye kichwa “The United States Returns to Africa” kikiwa na maana Marekani inarudi tena Afrika. Yaliyoandikwa chini ya makala hiyo yametaja baadhi mambo ya kipaumbele kuhusu sera ya serikali ya Rais Joe Biden kwa Afrika...
  4. Tajiri wa kinyankole

    Ugonjwa wa COVID-19 unaonekana nchi za Afrika kuwa wakutisha kuliko Nchi za Magharibi

    Wadau kama niwafatiliaji wa michuano ya mpira uefa euro 2020 inayoendelea utaona kwamba wenzetu janga hili haliwagusi watu wamejazana uwanjani na hawana barakoa kulikoni sisi huku Afrika. Nini kinaendelea nyuma ya pazia kuhusiana na janga hili la corona? Sisi kama watanzania hili swala...
  5. Analogia Malenga

    Tanzania yachaguliwa kuwa katika Bodi ya Shirikisho la Wahasibu Afrika

    Shirikisho la Wahasibu la Afrika (PAFA) lilifanya Mkutano Mkuu wa Mwaka huko Catonou, Benin Ijumaa tarehe 18 Juni 2021. Kati ya dondoo zilizojadiliwa ilikuwa ni kuteua Bodi mpya ya PAFA. Tanzania ikiwakilishwa na Mkurugenzi Mtendaji wa NBAA, CPA. Pius Maneno, iliteuliwa katika Bodi ya PAFA kwa...
  6. L

    Mtazamo wa vijana wa Afrika kuhusu China waendelea kuboreka

    Elias Gebreselassie alilelewa Addis Ababa, mji mkuu wa Ethiopia, na kama wenzake, amekuwa na fikra kuwa kwamba majengo marefu, maduka makubwa na barabara kuu zinaweza kuwa maonyesho tu katika sinema za Hollywood. Lakini katika kipindi cha muongo mmoja uliopita Gebreselassie amejionea kwa hakika...
  7. L

    Mtazamo wa vijana wa Afrika kuhusu China waendelea kuboreka

    Elias Gebreselassie alilelewa Addis Ababa, mji mkuu wa Ethiopia, na kama wenzake, amekuwa na fikra kuwa kwamba majengo marefu, maduka makubwa na barabara kuu zinaweza kuwa maonyesho tu katika sinema za Hollywood. Lakini katika kipindi cha muongo mmoja uliopita Gebreselassie amejionea kwa hakika...
  8. Ben Zen Tarot

    Historia ya dunia bila Afrika haipo

    Dar Iseeh katika Maisha huwa tunapitia Vitu vingi sana, vigumu na vyepesi mpaka vya kati Usimdharau mtu aiseeh, usimdharau mtu usie Mjua maana hujui juu yake, na hii haina maana kwamba umdharau unae mjua, hapana sina maana hiyo nataka kusema tu kuwa 𝗧𝘂𝗵𝗲𝘀𝗵𝗶𝗺𝗶𝗮𝗻𝗲. Katika maisha siku zote...
  9. Sky Eclat

    Viongozi waliopigania Uhuru wa Afrika, wapumzike kwa amani

    Ninaona Samora Matchel alimuiga Fidel Castro kuanzia mavazi. Dhamira yake ilikua kuifanya Msumbiji kuwa kama Cuba.
  10. Prof Koboko

    Task TRA force Bado wananyanyasa watu, wavamia Bar ya Mpo Africa wabeba kreti za bia Usiku huu

    Nchi hii sijui imelaaniwa wapi, ni juzi tu Rais wetu mpendwa Mama Samia aliwaonya Task forces TRA waache kutumia nguvu kudai kodi lakini usiku huu wamevamia Mpo Afrika bar iliyopo Temeke na kubeba crates za bia wakiwa wameambatana na polisi wengi wenye silaha.Hivi unapomvamia biashara ya mtu...
  11. beth

    Afrika Kusini: Jeshi kusaidia mapambano dhidi ya Virusi vya Corona

    Serikali inawapeleka Wataalamu wa Afya kutoka Jeshini kwenye Jimbo la Gauteng ambalo ni idadi kubwa ya watu na ni kitovu cha Biashara, ili kusaidia mapambano dhidi ya Corona Virus. Afrika Kusini ambayo imeathiriwa zaidi ya mlipuko huo Barani Afrika inakabiliwa na wimbi la tatu ambapo maambukizi...
  12. L

    Mzee Kaunda na mchango wake kwenye ukombozi wa Afrika, na uhusiano kati ya China na Afrika

    Aliyekuwa Rais wa kwanza wa Zambia mzee Kenneth Kaunda amefariki dunia katika hospitali ya jeshi mjini Lusaka, alikokuwa amelazwa kutokana na kuumwa. Kuumwa na kuaga dunia kwa Mzee Kaunda, sio tu kumewafanya watu wengi wakumbuke mchango wake katika ukombozi wa eneo la kusini mwa Afrika, na...
  13. S

    Is it true that the telecast of covid-19 horrible situation in Uganda is just a propaganda?

    ABOUT THE FOOTAGE below:- In Uganda, people of Kasese almost killed health officials following their illicit move of burying an empty coffin which they claimed to be carrying the Covid-19 dead body. This came after the long lived and widespread rumours in Uganda, that the government is...
  14. beth

    WHO: Afrika inakabiliwa na ongezeko la maambukizi ya Corona

    Mkurugenzi wa Shirika la Afya (WHO) Afrika, Matshidiso Moeti amesema Afrika inakabiliwa na wimbi la tatu la mlipuko wa COVID-19 ambapo maambukizi mapya yameongezeka kwa 30% wiki iliyoisha na vifo kwa 15%. Asilimia 76 ya maambukizi mapya yametajwa kutokea katika Nchi tano za Afrika Kusini...
  15. L

    Utaratibu wa pande nyingi unaotetewa na China unahakikisha Afrika inapata haki katika sekta ya afya

    Tarehe 17, Juni mwaka 2020, mkutano wa kilele wa mshikamano dhidi ya COVID-19 kati ya China na Afrika ulifanyika, ambapo rais Xi Jinping wa China alitoa pendekezo la “kujenga jumuiya yenye hatma ya pamoja katika sekta ya afya kati ya China na Afrika”. Katika mwaka mmoja uliopita, China imekuwa...
  16. M

    Tuwakumbuke Marais waliopita katika nchi mbalimbali za Afrika waliokuwa na misimamo thabiti isiyoyumbishwa!

    Wa kwanza ni Nkwame Nkrumah wa Ghana!! Mabeberu hawana hamu naye! Alipigania uhuru wa Afrika na kukataa kuburuzwa na mabeberu!! Ni alama ya kwanza kwa mashujaa wa Afrika. Karibuni tuendeleze orodha! Nkrumah defined his belief system as "the ideology of a New Africa, independent and absolutely...
  17. L

    Nchi za magharibi hazipaswi kuusemea vibaya ushirikiano kati ya China na Afrika kwenye sekta ya habari

    Katika miaka ya hivi karibuni suala la ushirikiano kwenye sekta ya habari kati ya China na Afrika limekuwa likifuatiliwa na nchi za magharibi, na kuongezeka kwa uwepo wa China kwenye sekta ya habari barani Afrika kunachukuliwa kama ni uingiliaji wa China kwenye himaya ya habari ya vyombo vya...
  18. beth

    Wanadiplomasia wa Malawi Nchini Afrika Kusini wafukuzwa kufuatia skendo ya biashara haramu ya pombe

    Afrika Kusini imewafukuza wanadiplomasia kadhaa wa Malawi baada ya kupatikana na hatia ya kujihusisha na biashara haramu ya kuuza pombe bila kulipa tozo. Taifa hilo pia limefukuza Wanadiplomasia kadhaa kutoka Lesotho kwa sababu hizo Wizara ya Mambo ya Nje ya Malawi imesema Afrika Kusini iliwapa...
  19. demigod

    Eng. Hersi Said ndani ya Afrika Kusini: Je, ni kuhusu usajili wa Lazarous Kambole?

    Mambo vipi wanajangani? Leo asubuhi nilikuwa pande za Kariba Lodge hapa mkabara na barabara ya Devland road, kusini kabisa ma jiji la Johannesburg. Nikashangaa sana kumuona mtu mzima Eng. Hersi Said ndani ya Chevrolet Nyeusi akielekea kwenye ofisi za Kaizer Chief. Je? inawezekana baada ya...
  20. L

    Marekani yailaumu China kwa kutotoa fursa za ajira kwa Afrika? Takwimu hazidanganyi

    Hivi karibuni, waziri wa mambo ya nje wa Marekani Antony Blinken alitoa kauli inayokwenda kinyume na ukweli, akizilaumu kampuni za China kupeleka wafanyakazi wake wengi barani Afrika na kunyima fursa za ajira wanazoweza kupata wenyeji wa Afrika. Alipozungumza na wahitimu wa “Mpango wa Viongozi...
Back
Top Bottom