USSR/ Urusi wana legacy gani Afrika?

Red Giant

JF-Expert Member
Mar 9, 2012
15,658
20,889
USSR na Urusi ya leo wana legacy gani Afrika? Nimeona juzi kati kuwa wakati mambo yamemfika kooni, Patrice Lumumba aliomba msaada USSR kuweka nchi sawa. Nchi ikatulia. Bahati mbaya akapinduliwa na Mobutu akawatimua wa Soviets.

Hapa karibuni, waasi na wababe wa kivita walijaa karibu CAR yote, eneo la serikali halikuzidi 10%. Rais wao akaomba msaada Urusi.

Kwa ruhusa ya UN warusi wakaenda. Wamesambaratisha wababe wa kivita, leo karibu 90% ya nchi ipo serikalini. Inaonekana hawa jamaa wanajua jinsi ya kustabilize nchi.

Sasa historia na matendo ya hawa jamaa katika Afrika haitajwi sana. Ni mambo gani mengine yalifanywa/ yanafanywa na hawa jamaa barani Africa? Mambo ya maendeleo, kiusalama au kijamii.
 
Russia hakuna kitu Cha ajabu imefanya CAR,Kule Imepeleka Military Instructors tu.

Ungeeleza huko CAR Kuna majeshi ya kutoka nchi gani na nchi gani ili tuone wanapewa sifa warussi ambao Ni instructors tu au watu walioko kwny battle. ?
 
Russia hakuna kitu Cha ajabu imefanya CAR,Kule Imepeleka Military Instructors tu.

Ungeeleza huko CAR Kuna majeshi ya kutoka nchi gani na nchi gani ili tuone wanapewa sifa warussi ambao Ni instructors tu au watu walioko kwny battle. ?
CAR wapo wanajeshi wa Rwanda, hao hadi wanamlinda Rais. Na hawa warusi ambao wanapambana.
 
Russia wameuza sana silaha Afrika na bado wanaendelea kuuza japo sasa silaha zao nyingi za kisasa zinakuwa nje ya uwezo wa nchi nyingi za Afrika kumudu kununua.

Kando ya hapo, hakuna zaidi cha kuweza kusema kuhusiana na legacy ya Russia katika bara la Afrika.
 
USSR na Urusi ya leo wana legacy gani Afrika? Nimeona juzi kati kuwa wakati mambo yamemfika kooni, Patrice Lumumba aliomba msaada USSR kuweka nchi sawa. Nchi ikatulia. Bahati mbaya akapinduliwa na Mobutu akawatimua wa Soviets.

Hapa karibuni, waasi na wababe wa kivita walijaa karibu CAR yote, eneo la serikali halikuzidi 10%. Rais wao akaomba msaada Urusi.

Kwa ruhusa ya UN warusi wakaenda. Wamesambaratisha wababe wa kivita, leo karibu 90% ya nchi ipo serikalini. Inaonekana hawa jamaa wanajua jinsi ya kustabilize nchi.

Sasa historia na matendo ya hawa jamaa katika Afrika haitajwi sana. Ni mambo gani mengine yalifanywa/ yanafanywa na hawa jamaa barani Africa? Mambo ya maendeleo, kiusalama au kijamii.
Red Giant, unakikumbuka chuo cha MTC kule Iyunga?
 
Russia haipo kwenye kundi la mataifa wafadhili, swala la ufadhilii haijawahi kuwepo kwenye sera yao ya nje, wao ni biashara tu nipe nikupe.

Baada ya vita vya pili vya dunia kumalizika yale mataifa yote yaliyojiunga na mrengo wa kushoto kwa maana ya Urusi yalibaki kuwa maskini hadi leo na huwezi kuzilinganisha zile nchi 17 zilizofuata mrengo wa kulia kwa maana ya Marekani.

Kama Urusi yenyewe tu imeshindwa kujiweka juu kiuchumi pamoja na rasilimali lukuki ilizonazo sasa sembuse washirika wake.

Nafikiri Urusi wana mfumo mbovu sana uliowekwa na akina dikteta Vladimir Lenin ambao wameshindwa kuachana nao miaka nenda rudi ambao ndio mchawi wao mkubwa na umejikita sana kwenye mindset za wananchi wake na inahitaji Complete Radical Change ili kuuondolea mbali.
 
USSR na Urusi ya leo wana legacy gani Afrika? Nimeona juzi kati kuwa wakati mambo yamemfika kooni, Patrice Lumumba aliomba msaada USSR kuweka nchi sawa. Nchi ikatulia. Bahati mbaya akapinduliwa na Mobutu akawatimua wa Soviets.

Hapa karibuni, waasi na wababe wa kivita walijaa karibu CAR yote, eneo la serikali halikuzidi 10%. Rais wao akaomba msaada Urusi.

Kwa ruhusa ya UN warusi wakaenda. Wamesambaratisha wababe wa kivita, leo karibu 90% ya nchi ipo serikalini. Inaonekana hawa jamaa wanajua jinsi ya kustabilize nchi.

Sasa historia na matendo ya hawa jamaa katika Afrika haitajwi sana. Ni mambo gani mengine yalifanywa/ yanafanywa na hawa jamaa barani Africa? Mambo ya maendeleo, kiusalama au kijamii.
Walijenga Chuo Kikuu Cha Mbeya MUST
 
Russia haipo kwenye kundi la mataifa wafadhili, swala la ufadhilii haijawahi kuwepo kwenye sera yao ya nje, wao ni biashara tu nipe nikupe.

Baada ya vita vya pili vya dunia kumalizika yale mataifa yote yaliyojiunga na mrengo wa kushoto kwa maana ya Urusi yalibaki kuwa maskini hadi leo na huwezi kuzilinganisha zile nchi 17 zilizofuata mrengo wa kulia kwa maana ya Marekani.

Kama Urusi yenyewe tu imeshindwa kujiweka juu kiuchumi pamoja na rasilimali lukuki ilizonazo sasa sembuse washirika wake.

Nafikiri Urusi wana mfumo mbovu sana uliowekwa na akina dikteta Vladimir Lenin ambao wameshindwa kuachana nao miaka nenda rudi ambao ndio mchawi wao mkubwa na umejikita sana kwenye mindset za wananchi wake na inahitaji Complete Radical Change ili kuuondolea mbali.
Msipende vya bure
 
Back
Top Bottom