"Wimbo wa Jumuiya ya Afrika Mashariki" or "Jumuiya Yetu" (English: "East African Community anthem") is the national anthem of the East African Community. It is a Swahili language hymn.
"Kwa Roho ya Afrika Mashariki, Tusaidieni Kuadhibu Wanaharakati Wasiotii," Seneta Cherargei Aisifu Tanzania kwa Kushughulikia Wanaharakati wa Kenya
======================
In the spirit of East Africa, assist us discipline the ill-behaved activists,” Senator Cherargei praises Tanzania's handling...
Kwanza ilianza Arab Spring mwaka 2009/10 - 2012 ambapo nchi za Uarabuni zilishuhudia vuguvugu la Mabadiliko ya Tawala zake. Nchi za Tunisia, Libya, Misri zilipata Viongozi wapya.
Miaka ya 2020-2023 likaja vuguvugu la mabadiliko ya Utawala Afrika Magharibi. Nchi za Guinea, Mali, Niger, Gabon...
Waziri wa zamani wa Sheria nchini Kenya, Martha Karua, ameeleza masikitiko yake baada ya kuzuiwa kuingia nchini Tanzania akiwa na watetezi wengine wa haki za binadamu na mawakili wenzake, Lynn Ngugi na Gloria Kimani.
Kupitia ujumbe alioweka kwenye mitandao ya kijamii siku ya Jumapili asubuhi...
Habari zilizonifikia ni kuwa kuna Rais mmoja katika nchi zinazounda Jumuiya ya Afrika ya Mashariki yu mahututi na muda wowote Taifa lake linaweza kutangaziwa habari mbaya.
Tukiwa kama wana Jumuiya sio vibaya tukaelekeza maombi kwa Rais huyo ili arudi katika utimamu wake na aendelee kuwatumikia...
Wengi wetu tunaposema “Tanzania ni Ujerumani ya Afrika Mashariki”, wengine hucheka, wengine hushangaa, na wachache huelewa maana halisi ya kauli hii. Lakini kwa anayechambua historia, jiografia, diplomasia, uchumi, na nafasi ya kistratejia – Tanzania inaendelea kuwa kama Ujerumani katika Ulaya...
Nilikuwa naangalia Ramani ya Africa mashariki. Nikaangalia kwa makini Ramani ya Tanzania, unyoofu wake na kulinganisha unyoofu huo na Nchi zote zinazotunguka.Ni wazi Rwanda na Burundi ni Ndugu Zetu Kabisa.
Sijui ilikuwaje Mwalimu akawafata Wanzanzibari na kuwaacha hawa ndugu zetu. Hawa...
Kwa msiofahamu mambo ya tovuti kuna upande mwengine unaitwa Dark web huko kuna kila aina ya uchafu ambao ushindwe wewe.
Kwa matukio ambayo yanatokea nchini na wahusika wakijulikana wakiwa vitengo na salama na familia zao kwa nini tusitumie dark web kununua hitman na wengine mpaka wanaweka CV...
Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki anayeshughulikia masuala ya Afrika Mashariki, Balozi Stephen P. Mbundi leo tarehe 8 Mei, 2025 ameongoza ujumbe wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika kikao cha Makatibu Wakuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC)...
Serikali ya Rwanda imetangaza kwamba iko katika mazungumzo ya awali na serikali ya Rais Donald Trump kuhusu kuwapeleka nchini Rwanda wahalifu waliokamilisha adhabu zao magerezani nchini Marekani. Kauli hii imezua maoni mseto nchini Rwanda na hata kwa africa mashariki watu wenye historia ya...
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo amehitimisha ziara yake katika Jamhuri ya Kisoshalisti ya Viet Nam.
Katika ziara hiyo ameshiriki Maadhimisho ya Miaka 50 ya Muungano wa Taifa hilo na kufanya mazungumzo na viongozi wa ngazi za juu...
afrikaafrikamashariki
balozi
balozi mahmoud thabit kombo
jamhuri
katika
mahmoud thabit kombo
mambo
mambo ya
mambo ya nje
mashariki
nje
thabit kombo
ushirikiano
ushirikiano wa afrikamashariki
waziri
ziara
Wakuu,
Suala la Lissu na uminywaji wa demokrasia na uhuru wa maoni Tanzania linazidi kusambaa, Watanzania huu ndio muda wa kuamka na kuhakikisha kuna utawala wa sheria wa haki.
=====
Mtafiti wa Kikanda wa Amnesty International kwa Afrika Mashariki, Roland Ebole akiwa katika mahojiano leo...
Kutokana na picha ya satelaiti ya eneo la Afrika Mashariki, Tanzania inaonekana kuwa mgombea bora wa uzalishaji wa mazao ya kilimo kutokana na mambo kadhaa ya kijiografia na kimazingira yanayoonekana kwenye picha:
1. Eneo Kubwa la Ardhi
Uchunguzi: Tanzania ina eneo kubwa la ardhi ukilinganisha...
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo amehitimisha ziara yake ya kikazi Umoja wa Ulaya (EU)
Katika ziara hiyo amefanya mazungumzo na viongozi wa ngazi za juu wa umoja huo akiwemo Rais wa Tume ya Ulaya na Mwakilishi wa Juu wa Masuala ya...
Katika siasa za Afrika, kuna tofauti kubwa kati ya majeshi ya baadhi ya nchi. Wengine hujiona kama watumishi wa dola, wengine kama watumishi wa watawala, na wachache kama wakombozi wa kweli. Nimekuwa nikifuatilia mifano mbalimbali, na hii ndiyo taswira niliyoona:
1. Madikteta wengi huweka watu...
Ukikusanya haya majinga manane(8) ya Afrika Mashariki
●Tanzania
●Kenya
●Uganda
●Rwanda
●Burundi
●Somalia
●D.R.C
●South Sudan
Yote kwa pamoja hayafikii GDP ya kanchi kadogo kabisa ka Singapore.
Mind you Singapore ina jumla ya ukubwa wa 735km² na population isiyozidi 6Mln wakati haya majinga...
Ni mewaza na kuwazua nini kina tu tafuta Africa Mashariki.?
Je ni hofu ya watawala au ndio utawala Bora?
Viongozi waupinzani Tanzania Uganda na Susan wote wako kwenye mikono ya polisi. Je hii ni hofu ya watawala au ndio utawala Bora?
Daraja la Pangani ni mradi muhimu unaoendelea kujengwa ili kuunganisha mikoa ya Tanga na Pwani kupitia barabara ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC). Daraja hili litakuwa na urefu wa mita 525 na linatarajiwa kuwa daraja la sita kwa urefu nchini Tanzania.
Nimesikitishwa niliposikia kumbe Tanzania ni ya mwisho kiteknolojia nyuma ya
Kenya
Uganda
Rwanda
Nataka kujua hii taarifa inaukweli wowote, na kama ni kweli imekuaje tukabaki nyuma wakati Tunaambia Tech ndio Kila KITU?
Je ni matokeo ya ujamaa?
Je ni hofu za wanasiasa?
Je sisi ni vilaza na...
Kampuni kubwa za Kichina zinazojihusisha na uzalishaji wa saruji zimeibuka kuwa tishio kubwa kwa wazalishaji wa ndani katika Afrika Mashariki. Kwa kutumia mitaji mikubwa na mbinu za ushindani wa bei, kampuni hizo zinaelezwa kupunguza nafasi ya kampuni za ndani kukua na kuhimili ushindani...
Simba SC, wameweka rekodi kwa kuwa klabu pekee kutoka Afrika Mashariki kuwemo kwenye orodha ya vilabu vya kihistoria ya Global Database Club (GDC).
Simba SC sasa inajiunga na vigogo wa soka barani Afrika kama Al Ahly (Misri), Wydad AC (Morocco), Raja CA (Morocco), TP Mazembe (DR Congo)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.