afrika mashariki

"Wimbo wa Jumuiya ya Afrika Mashariki" or "Jumuiya Yetu" (English: "East African Community anthem") is the national anthem of the East African Community. It is a Swahili language hymn.

View More On Wikipedia.org
  1. Ojuolegbha

    JamiiForums Tanzania Diplomasia ya Kiuchumi imepewa nguvu, Balozi Mahmoud Thabit Kombo ashika usukani Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki

    Diplomasia ya Kiuchumi imepewa nguvu Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo ashika usukani Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki
  2. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania GE2025 Amnesty Kenya yatangaza kufungua kesi dhidi ya Tanzania Mahakama ya Afrika Mashariki na Umoja wa Afrika (AU)

    Amnesty Kenya imetoa tamko la kuitaka Tanzania kurudisha mwilj wa mwl wa Kenya aliyeuawa Tanzania pia kuruhusu mawasiliano ya mkenya anayeshikiliwa na polisi Tanzania. Kwa mwl aliyefariki wametama uchunguzi dhidi ya kifo chake ufanywe mbele ya ndugu, wanaharakati wa haki za binadam na asasi za...
  3. M

    JamiiForums Tanzania GE2025 Waangalizi wa Uchaguzi wa Afrika Mashariki na Pembe ya Afrika: Serikali ya Tanzania isitishe amri ya kutotoka nje na kurejesha huduma za Intaneti

    TAARIFA YA AWALI KUHUSU UCHAGUZI MKUU WA TAREHE 29 OKTOBA 2025 KATIKA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Leo, tarehe 31 Oktoba 2025 - Sambamba na dhamira yake ya kukuza chaguzi za kuaminika, amani, huru, na haki kupitia uangalizi wa kikanda usio na upendeleo na uchambuzi kote Afrika Mashariki na...
  4. britanicca

    JamiiForums Tanzania MAONO: Mauaji ya viongozi na ugaidi kushamiri nchi moja Afrika mashariki 2025-2030 kama kisasi kutoka kwa raia

    kuna scenario 3 endapo protest haitafanikiwa 1.Mauaji ya polisi kushika kasi 2.Mauaji ya viongozi wa chini wa chama tawala wenye viti wa mtaa na wajumbe 3.Matukio ya kigaidi kuihujumu serikali Kwenye Scenerio ya 1&2, kawaida human nature ya binadamu, akishindwa ku-attack wale wanaoonekana ni...
  5. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania GE2025 Samia: Vijana wa Kitanzania, msidanganywe. Ukichukua Afrika Mashariki, pengine na kusini kidogo na kati, Tanzania ni pepo

    Jamani njooni mmsikie mama kizimkazi, Mama anabwebwe huyu za mdomoni. Kama kweli Tanzania ni pepo mbona shida zipo nyingi, utekaji umeshamili, ufisadi ndio maisha ya vigogo. Embu tuache kidogo. ============ “Lakini vijana wa Kitanzania, msidanganywe. Ukichukua Afrika Mashariki, pengine na...
  6. Mashamba Makubwa Nalima

    JamiiForums Tanzania Wamasai wamekuwa nembo ya Nchi, Ukanda wa Afrika Mashariki na Afrika kwa Ujumla ila leo mnataka kuwashushia Thamani! Huu ndiyo UTU?

    Huwezi ukataka kushusha thamani ya mtu mwingine alafu tukakukalia kimya eti kwasababu ya cheo chako, hilo haliwezi kutokea. Na tutakuthibitishia kuwa haliwezi kutokea. Nchi yetu imejengwa kwenye misingi ya kuheshimu mtu bila kujali kabila lake au dini yake, ila leo mnataka kuleta mgawanyiko...
  7. stakehigh

    JamiiForums Tanzania Kwa nchi zetu za afrika mashariki vitamin D inapatikana kwenye jua tu kukidhi mahitaji ya mwili (Punguza kutumia usafiri unaoziba jua)

    Ukiachana na JUA vitamin D inapatikana zaidi kwenye samaki ambao east afrika hawapo, kuna njia zingine kama mayai ama maini ya ngombe lakini hizi hutoa asilimia chache sana ya vitamin D zinazohitajika na mwili kwenye shuhuli zake za kukinga mwili hivo basi kwa wale mnaopenda sana kutumia usafiri...
  8. Lord Denning

    JamiiForums Tanzania Niko tayari kubet: Viongozi Wakuu 2 wa Nchi za Afrika Mashariki watatolewa hati za kukamatwa na Mahakama ya ICC kabla ya 2029

    Wiki chache zilizopita Umoja wa Mataifa wametoa taarifa za vikosi vya Wanamgambo wa M23 kuua raia nchini Congo. Taarifa hiyo imefuata taarifa rasmi iliyotolewa na Kikundi kazi cha Umoja wa Mataifa kuwa Majeshi ya Rwanda yanawaunga mkono M23 na kutoa msaada wa kijeshi kwao. Aidha miezi miwili...
  9. Dalton elijah

    JamiiForums Tanzania Deni la tanzania ukilinganisha na nchi nyingine za afrika mashariki

    Hivi sasa Tanzania imaeanza mchakato wa kampeni kuelekea uchaguzi mkuu wa Tanzania mwezi oktoba 2025 hivi majuzi Mgombea Urais kwa tiketi ya Chama Cha mapinduzi (CCM)na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan amesema kuwa deni la Tanzania mpaka kufikia 2024 ndilo deni...
  10. PLOII

    JamiiForums Tanzania AFRIKA MASHARIKI WE LACK FOOTBALL CIVILIZATION, COURTESY & COMMON PRINCIPLES; goli la tatu na la ushindi kwa Morocco ni tafsiri ya perfect brain.

    Happy Sunday Wana JF, Sina maneno mengi nadhani Wana sports fainali tulitazama wote iliyofanyikia pale Kenya. Nilishawahi kusema Morocco ni football brain na Jana wameonyesha hicho kitu, nawaza tu kwa wachezaji wetu nani angewaza ku- shoot vile ( out of sarcasm). Tuna Cha kujifunza kutoka kwa...
  11. Uwesutanzania

    JamiiForums Tanzania Niliwaambia Afrika mashariki kuongoza group za CHAN ni maajabu saba ya dunia mkanibeza na kunitukana sana aya kikowapi?

    Itoshe kusema Afrika mashariki mliongoza group za CHAN ni kwa bahati na kimaajabu tu, leo hii mumeona kilichotokea. Wengine wakasema sijui Afrika mashariki mnatimu imara kwa wachezaji wa ndani, Wengine mkasema ni home advantage Wengine mkasema soka la Afrika mashariki linakua,. Haya kiko...
  12. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Hatimaye Wajuaji wawili wa Afrika Mashariki watema Bungo la CAF, ila kwa Sisi Waganda (Uganda Cranes) kesho ni mwendo mdundo hadi Fainali na Ubingwa

    Hovyo kabisa Kocha Hemed Suleiman Morocco yaani unaona kabisa Sopu na Nado wameshachoka na wanarukaruka tu Uwanjani unawaacha hadi dakika ya mwisho. Fei Toto alikuwa akifanya nini zaidi ya Kurukaruka tu huku akimpa wakati mgumu Kagoma kuweza Kulitawala vyema Dimba lake Kati. Hata huyu Fei Toto...
  13. PLOII

    JamiiForums Tanzania Huyu ENG. Hersi wamzuie mapema ataleta mtikisiko wa Kidiplomasia Afrika Mashariki na kati

    It's a Joke like but in real sense Mwamba kaonyesha ana tamaa sana. Nawaza anataka nini huko mbona title yake ni kubwa kuliko hata Mbunge kwa level ya kiutendaji na kimaslahi pia. Je kuna access anatafuta ya kibiashara? Au ndio mtandao kula resources za nchi? Naomba Chair wangu mzuie huyu...
  14. B

    JamiiForums Tanzania CAF RELEASES 2025 CLUB RANKINGS: Simba yaongoza Afrika mashariki na kati yashika nafasi ya 5 Yanga nafasi ya 12

    Katika viwango vipya vya Shirikisho la mpira Afrika CAF 2025, simba sc imeibuka kinara wa afrika mashariki na kati huku ikishika nafasi ya 5 barani afrika, wakati yanga sc ikishika nafasi ya 12 kwenye orodha hiyo ya vilabu bora.
  15. Just Pray

    JamiiForums Tanzania GE2025 Polepole: Kuongea na watanzania Agost 6, saa 2:00 kuhusu mustakabali wa taifa

    Huu ni ujumbe wa Humphrey Polepole kupitia ukurasa wa Instagram asubuhi hii. Leo Jumatano saa 2:00 Usiku saa za Afrika Mashariki nitasema nanyi kwa Habari ya Mambo mawili;- 1. Mustakabali wa mbele wa Nchi yetu na Taifa katikati ya Mkwamo tulionao, na, 2. Nitatumia muda huo kumjibu Mwana CCM...
  16. N

    JamiiForums Tanzania Yas kutoa huduma kituo cha Biashara, Usafirishaji Afrika Mashariki (EACLC)

    Afisa Mtendaji Mkuu wa Yas, Pierre Canton Bacara (katikati), akisalimiana na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo (kulia), wakati wa hafla ya uzinduzi rasmi wa Kituo cha Biashara na Usafirishaji Afrika Mashariki (EACLC), iliyofanyika hivi karibuni jijini Dar...
  17. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Rais Samia anafungua Kituo cha Biashara na Usafirishaji Afrika Mashariki (EACLC) - Ubungo, leo Agosti 1, 2025

    Rais wa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani, Dkt. Samia Suluhu Hassan Akifungua Kituo cha Biashara na Usafirishaji Afrika Mashariki (EACLC) Ubungo Dar es Salaam, leo tarehe 1 Agosti, 2025. https://www.youtube.com/live/khT-HcF4C3w Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu...
  18. Alloyce PR

    JamiiForums Tanzania Afrika Mashariki utata kazi kwa wageni na wazawa

  19. N

    JamiiForums Tanzania Je, Tanzania inaweza kuwa kitovu cha utalii wa kitabibu Afrika Mashariki na Kati?

    Tanzania ina mazingira bora ya kuwa kituo kikuu cha huduma za kiafya kwa Afrika Mashariki na Kati. Kwa amani tuliyonayo, hospitali zinazoboreshwa kama Muhimbili, KCMC, Bugando, na fursa ya tiba asilia, nchi yetu inaweza kuvutia maelfu ya wagonjwa kutoka nchi jirani kama Burundi, DRC, Rwanda...
Back
Top Bottom