Duh! Africa bado safari ni Ndefu: Safari kutoka Addis hadi Nairobi

Ethiopia bana... ila upande wa Kenya wamekwenda poa, barabara shwari, kero ni vuzuizi vya mapolisi ila wamefurahi...napenda sana hitchhiking, yaani hunipa raha sana.
Anyway tuendelee kukomaa, tutafika, sisi ni mashujaa!!
 
Ethiopia bana... ila upande wa Kenya wamekwenda poa, barabara shwari, kero ni vuzuizi vya mapolisi ila wamefurahi...napenda sana hitchhiking, yaani hunipa raha sana.
Anyway tuendelee kukomaa, tutafika, sisi ni mashujaa!!
Kabisa..
 


Ieleweke lakinni kwamba upande wa Ethiopia, bara bara bado inajengwa. Tumepiga hatua kama Africa lakini bado tuna changamoto kibao sana!
Africa au Kenya?...
Zipo nchi upande wa barabara wanafanya vizur at wamefanya vizur na hawapigi kelele
 
Nchi za Afrika Mashariki zinajitahidi kwa barabara ila huko Sudan, Ethiopia ndo wanatuangusha
 
Africa au Kenya?...
Zipo nchi upande wa barabara wanafanya vizur at wamefanya vizur na hawapigi kelele
Angalia hyo video vizuri halafu ucheki barabara kutoka moyale hadi nairobi...kilichowakwaza ni mziki na hko kusimamishwa na polisi tu...

Sasa cheki upande wa ethiopia, duh!! Tangu barabara mpka usafiri ni balaa walai..hta nmeshangaa m mwenyewe
 
Kafrican,

Afrika gani unayosema? Labda nchi wanachama wa IGAD .

Lakini nchi za SADC Unaweza kuendesha gari kupitia barabara za lami toka Namanga au Bukoba Tanzania mpaka Cape Town. Pia unaweza kusafiri kwa reli toka Dar es Salaam mpaka Cape Town kwa njia ya reli moja kwa moja siyo tu Afrika ya Kusini bali hata Benguela Angola ktk pwani ya bahari ya Atlantic.
Kenyan transporter, Joel Wachira, has done over 200 trips between Nairobi and Gaborone

Source: CHAMS MEDIA TV
Afrika ya matatizo ya nchi wanachama wa IGAD inayojumuisha nchi za Kenya, Ethiopia, Eritrea, Somalia, the Sudan, South Sudan na Uganda ndiyo kuna matatizo makubwa ya miundombinu / miundomsingi ya barabara na reli.
Road trip to South Africa

Source: Farhana orbeson
 
IGAD ni tofauti na SADC usilinganishe viwili igad inahusika sana na usalama Wala sio biashara,SADC level yake ni COMESA.
Kafrican,

Afrika gani unayosema? Labda nchi wanachama wa IGAD .

Lakini nchi za SADC Unaweza kuendesha gari kupitia barabara za lami toka Namanga au Bukoba Tanzania mpaka Cape Town. Pia unaweza kusafiri kwa reli toka Dar es Salaam mpaka Cape Town kwa njia ya reli moja kwa moja siyo tu Afrika ya Kusini bali hata Benguela Angola ktk pwani ya bahari ya Atlantic.

Afrika ya matatizo ya nchi wanachama wa IGAD inayojumuisha nchi za Kenya, Ethiopia, Eritrea, Somalia, the Sudan, South Sudan na Uganda ndiyo kuna matatizo makubwa ya miundombinu / miundomsingi ya barabara na reli.
 
Africa au Kenya?...
Zipo nchi upande wa barabara wanafanya vizur at wamefanya vizur na hawapigi kelele

Utakua hujatazama video, unajibu kwa kusoma comments, wacha uvivu itazame, lini umeskia hatujafungua mpaka na Ethiopia, pia humo kwenye video inaonyesha barabara upande wa Ethiopia ni majanga, mwandishi amelalamika tangu alipotoka Addis, ila baada ya kuvuka mpaka akawa anatiririka bila matatizo, sema kulikua na vizuizi vingi vya polisi upande wa Kenya, ambalo ni jambo la kueleweka maana raia wengi wa Ethiopia huitoroka nchi.
 
Utakua hujatazama video, unajibu kwa kusoma comments, wacha uvivu itazame, lini umeskia hatujafungua mpaka na Ethiopia, pia humo kwenye video inaonyesha barabara upande wa Ethiopia ni majanga, mwandishi amelalamika tangu alipotoka Addis, ila baada ya kuvuka mpaka akawa anatiririka bila matatizo, sema kulikua na vizuizi vingi vya polisi upande wa Kenya, ambalo ni jambo la kueleweka maana raia wengi wa Ethiopia huitoroka nchi.

Tanzania Tunapakanana Nchi Nane, yaani Kenya, UG, DRC, RW, BU, Malawi , Zambia na Mozambique,
Na zote hizi tumeziunganisha kwa Barabara Safi,
Yaani Utatoka DSM kwenda, Lusaka, Blantyre au Lilongwe, Utatoka Dar Kwenda Pemba hadi Nampula au Kwenda Kigali hadi Bujumbura Kote huko Lami swafi,
Na kwa upande wa Kenya ndio usiseme, Uamue tu kupitia Namanga au Holoholo/Lungalunga, au Tarakea,

Vipi kuhusu Kenya -Sudan-Somalia-Ethiopia???
 


Ieleweke lakinni kwamba upande wa Ethiopia, bara bara bado inajengwa. Tumepiga hatua kama Africa lakini bado tuna changamoto kibao sana!
Wakenya wenzako wakishangaa Barabara za tz kuelekea tanga, ukizingatia tz inamikoa mingi kuliko Kenya na imepakana na nchi nyingi kuliko Kenya na mikubwa kuliko Kenya ila barabara ni safi mkeka wa kupendeza
 
Tanzania Tunapakanana Nchi Nane, yaani Kenya, UG, DRC, RW, BU, Malawi , Zambia na Mozambique,
Na zote hizi tumeziunganisha kwa Barabara Safi,
Yaani Utatoka DSM kwenda, Lusaka, Blantyre au Lilongwe, Utatoka Dar Kwenda Pemba hadi Nampula au Kwenda Kigali hadi Bujumbura Kote huko Lami swafi,
Na kwa upande wa Kenya ndio usiseme, Uamue tu kupitia Namanga au Holoholo/Lungalunga, au Tarakea,

Vipi kuhusu Kenya -Sudan-Somalia-Ethiopia???

Barabara zote hizo na kainchi ketu kadogo tunawazidi kwenye urefu wa paved roads kwa maelfu ya kilometers, hivi huwa mnakwama wapi kwa kweli, ni uvivu uliopitiliza.
Anyway, sisi jukumu letu linaishia kwenye kutengeneza barabara hadi mpakani, huko kwengine ni kazi ya Ethiopia kujua wanaanzaje.
Sasa hivi tumeanza kutumia ardhi ya Tanzania kufikia hayo mataifa ya huko kupitia Voi-Taveta-Singida-Kobero
 
Barabara zote hizo na kainchi ketu kadogo tunawazidi kwenye urefu wa paved roads kwa maelfu ya kilometers, hivi huwa mnakwama wapi kwa kweli, ni uvivu uliopitiliza.
Anyway, sisi jukumu letu linaishia kwenye kutengeneza barabara hadi mpakani, huko kwengine ni kazi ya Ethiopia kujua wanaanzaje.
Sasa hivi tumeanza kutumia ardhi ya Tanzania kufikia hayo mataifa ya huko kupitia Voi-Taveta-Singida-Kobero

Hizo maelfu za Kilometa mmejenga kwa papers? barabara zenu zipo Nairobi pekee na Central kule Kwa kabila la Kikuyu,
Wewe sihitaji kukuelezea sana maana umesafiri Tanzania unaelewa.
The Question is Vipi kuhusu Sudan na Somalia? Huko Lamu ni Isolated, Garisa, Kote huko Matope tupu,
 
Back
Top Bottom