account

A transaction account, also called a checking account, chequing account, current account, demand deposit account, or share account at credit unions, is a deposit account or bank account held at a bank or other financial institution. It is available to the account owner "on demand" and is available for frequent and immediate access by the account owner or to others as the account owner may direct. Access may be in a variety of ways, such as cash withdrawals, use of debit cards, cheques and electronic transfer. In economic terms, the funds held in a transaction account are regarded as liquid funds. In accounting terms, they are considered as cash.
Transaction accounts are known by a variety of descriptions, including a current account (British English), chequing account or checking account when held by a bank, share draft account when held by a credit union in North America. In the Commonwealth of Nations, United Kingdom, Hong Kong, India, Ireland, Australia, New Zealand, Singapore, Malaysia, South Africa and a number of other countries they are commonly called current or, before the demise of cheques, cheque accounts. Because money is available on demand they are also sometimes known as demand accounts or demand deposit accounts. In the United States, NOW accounts operate as transaction accounts.
Transaction accounts are operated by both businesses and personal users. Depending on the country and local demand economics earning from interest rates varies. Again depending on the country the financial institution that maintains the account may charge the account holder maintenance or transaction fees or offer the service free to the holder and charge only if the holder uses an add-on service such as an overdraft.

View More On Wikipedia.org
  1. Vien

    JamiiForums Tanzania Ifike mahali Vodacom na Airtel waige mfumo wa Yas kwenye Merchant Account

    Kuna wakati ushindani unatakiwa ukubali ukweli. Sio kila kitu unachotengeneza lazima kiwe tofauti. Kuna muda unatakiwa ujifunze kutoka kwa aliyefanya vizuri zaidi. Nimekuwa nikitumia Merchant Account za Yas, Vodacom na Airtel kwa biashara zangu, na kwa uzoefu wangu, upande wa Merchant Account...
  2. adriz de mbusii

    JamiiForums Tanzania Je , upo comfortable watu wako wa karibu , ndugu na marafiki waijue account yako ya Jf ?

    Moja kwa moja... Jf imekuwa tofauti na mitandaoni wengine watu wengi tunatumia majina na picha fake kama utambulisho wetu wachache sana wanaotumia utambulisho wao halisi , hali hii inaelekea ugumu kukutana na kuwajua Wana Jf mtaani tofauti na mitandao mengine. Na mtu anaweza kujutajia account...
  3. MakaveliTz

    JamiiForums Tanzania Escrow account mobile money

    Habari Biashara ya mtandaoni imekuwa kuwa sana sasa hivi ambapo wateja na wauzaji wanatafutana mtandaoni. Changamoto kubwa sana ni auminifu kati ya mnunuzi na muuzaji, Je kwanini kampuni za simu na zinachelewa kuanzisha Escrow account kwa wateja wa mitandao ya simu?
  4. HONOURABLE PETER

    JamiiForums Tanzania Kusajili account za bank

    Hivi kuwa agent au wakala wa kufungulia watu account za bank ni lazima uwe umesomea uhasibu?
  5. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Wateja wa CRDB Morogoro Manispaa wanaibiwa fedha zao kwenye akaunti bila wao kujua

    Kuna malalamiko kuhusu matukio ya upotevu wa fedha kwenye akaunti za baadhi ya wateja wa CRDB katika Manispaa ya Morogoro. Miongoni mwa walioathirika ni baadhi ya wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine (SUA) pamoja na wateja wengine, ambao wamejikuta fedha zikitolewa kwenye akaunti zao...
  6. N

    JamiiForums Tanzania CPA's, naomba kujua kuhusu under IAS 8 change on depression method

    CPA's Naomba kujua ety under IAS 8.change on depression method is it a chance on account policy au change on account Estimates
  7. Fbn

    JamiiForums Tanzania Kuna kikundi kinalipwa na CCM na serikali kwa jina cyber kinaitwa Farming Ghost Account.

    Farmin ghost account ilianza bara za asia sana kwa wale ambao mlikuwa mfahamu ni kwamba mtu mmoja au kundi la watu wanamiliki account kama email,mitandao ya kijamii zaidi ya moja. Mtindo huu umefanya makampuni ya mitandao ya kijamii kuanza kuzibiti mfano kama usajili wa simu sasa ila sio kote...
  8. Eli Cohen

    JamiiForums Tanzania Mtu ameamka tu akaandika "hezbollah anamchakaza israel vibaya mno". Mimi nafikiri ni wakati sahihi JF kuanzisha community notes ili kuuchamba uongo

    mtu ameamka na stress za chuki dhidi ya israel, so ili kuituliza nafsi yake ngoja atunge stori ambayo haina accuracy yoyote na picha za AI kuonesha operation kabambe za uongo😁 Point yangu kubwa kuna matango pori mengi sana humu JF na watu wanaishia kuwa mis-informed. Itengenezwe community...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Kuligana na uzito wa cv zao humu JF, haya ni makadirio ya bei za kuomba upigiwe debe biashara au jambo lako na hawa wanachama maarufu

    Ni makadirio tu kulingana na cv zao nzito humu JF Kuwaomba watu hawa wakutangazie biashara yako kwa kuiingiza kijanja kwenye post zao au kuwaomba wakusaidie field waliyobobea, waweza gharamika kiasi hiki Chief-Mkwawa - 200,000 electonics na tech Mshana Jr - 300,000 dawa za mitishamba na...
  10. A

    JamiiForums Tanzania KERO Walimu Temeke hatujalipwa fedha za likizo tangu 2019, nasikia zimewekwa Fixed Account ziwazalishie

    Walimu Temeke hela za likizo hatujalipwa toka 2019, Ni huzuni tupu. Pesa nasikia wanazo ila wanaziweka fixed acc ziwazalishie, ni maumivu makubwaa. Tunaomba mtupazie Sauti. Mimi ni mwalimu, Temeke Manispaa, Dar es Salaam.
  11. instinct desire

    JamiiForums Tanzania Moderators achieni account ya Kimbesa where is the freedom of expression

    Huyu kimbesa amepotea muda mrefu sana it seems account yake mmeiblock moderators. Mara ya mwisho niliona Mshana Jr anampa onyo la kumfungia account yake. Punde si punde account ikasizi. Uccm wake usimkoseshe uhuru wa kutoa maoni yakr Please adhere with principles of freedom of expression
  12. B

    JamiiForums Tanzania Nawezaje kuuza account yangu ya Instagram?

    Habari, Kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu, nahitaji kuuza account yangu ya instagram yenye followers 16.4k kwa kiask cha 200,000/= Tsh. Nahitaji msaada wa kujua namna gani nitaweza kuiuza kwa haraka. Kwa mwenye uhitaji usisite kunipigia 0714657573. Ahsante
  13. Dogoli kinyamkela

    JamiiForums Tanzania NAROGA : Account za mange kimambi zirudishwe ...

    NAROGA : Account za mange kimambi zirudishwe ... Ili ndio zoez langu la kwanza baada ya kutoka ujinini
  14. Fbn

    JamiiForums Tanzania Hivi mnafahamu baada USA kumkamata raisi wa Venezuela kulikuwa na ajenda ambao walijitokeza wakiwa upande wa CCM na account zao,Haya angalia na hii

    Huu mtandao wa propaganda ambao unatumika sana CCM ulipoona delta force imemkamata raisi wa Venezuela nao wakaja kwa njia hii . Kama walikuwa wameona hiyo ndo habari mbona ya Venezuela wajaweka. Hili group la CCM lina amrisha sana .
  15. Genius Man

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Siri zimevuja kuna wimbi la account fake mpya za wanafunzi wa chuo mitaondoni lazima tujiulize hivi kweli tumefika hapa sisi ?

    :
  16. Kimbesa11

    JamiiForums Tanzania Watu wanatumia Jina la CHADEMA kuendesha donation za kitapeli wanaweka account zao binafsi ili waishi na familia zao siyo chama huu ni wizi

    Nashangaa mtu anaamka asubuhi kwa kutumia jina la chadema anaweka account number yake binafs anaanza kutafuta hela za mwaka mpya kwaajili ya kula na familia yake na watu wanamchangia kweli hii ni aibu mno huu ujinga utaisha lini, acheni kuwalisha hawa matapeli ya chadema na ikumbukwe kuwa hizo...
  17. Fbn

    JamiiForums Tanzania Hii account mtandao X ya raisi inawezekana inaongozwa na mtoto wala sio yeye wala ikulu.

    Hivi mjawahi kujiuliza account ya raisi anatumia yeye au mtu maalumu kama sio mwanae,basi mtu wake wa karibu. Tumeona account ya Dolnad trump na viongozi wengi. Hata wajibiwe vipi uwezi kuona wana kublock labda kuwepo na shida kubwa sana. ila ya huyu yani ukimpa challenge na spana unaingizwa...
  18. Fbn

    JamiiForums Tanzania Serikali ya Tanzania imeiponza META kwa kukubali kufungia akaunti za wanaharakati. Elon Musk kaanza kuwasagia kunguni

    Kuna mambo yanaweza kuonekana madogo ila sasa yanaanza kuwafanya wengine kujutia huko walipo na makampuni yao. Ila jambo la Tanzania sio dogo yani duniani sasa linajulikana kuwa nchi iliyojaa mkono wa chuma na mauwaji. Mnakumbuka META ilishawahi kufunga account ya Trump na wengine wengi kisha...
  19. Pakome

    JamiiForums Tanzania META ina Wanasheria wakubwa sana duniani, haifanyi maamuzi kwa kukurupuka, kuuliza kwanini imefunga account ni sawa na kujidhalilisha

    META ina Wanasheria wakubwa sana duniani, haifanyi maamuzi kwa kukurupuka, kuuliza kwanini imefunga account ni sawa na kujidhalilisha Kabla ya kufunga account za watumiaji inahakikisha ina vielelezo vya kimataifa vya Kisheria ambavyo itatoa Mahakamani endapo kama vitahitajika Wanasheria wa...
  20. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ninatoa elfu 50 Kurejesha Account ya Instagram

    Habari kwa mtu yeyote ambae anaweza kunisaidia kurejesha Account yangu ya Instagram nina toa shillingi elfu 50 cash kama upo njoo DM uaminifu ndo kitu mhimu account baada ya kufungwa inasomeka We disabled your account, cee Hi ce__ We reviewed your account and found that it still doesn’t...
Back
Top Bottom