account

A transaction account, also called a checking account, chequing account, current account, demand deposit account, or share account at credit unions, is a deposit account or bank account held at a bank or other financial institution. It is available to the account owner "on demand" and is available for frequent and immediate access by the account owner or to others as the account owner may direct. Access may be in a variety of ways, such as cash withdrawals, use of debit cards, cheques and electronic transfer. In economic terms, the funds held in a transaction account are regarded as liquid funds. In accounting terms, they are considered as cash.
Transaction accounts are known by a variety of descriptions, including a current account (British English), chequing account or checking account when held by a bank, share draft account when held by a credit union in North America. In the Commonwealth of Nations, United Kingdom, Hong Kong, India, Ireland, Australia, New Zealand, Singapore, Malaysia, South Africa and a number of other countries they are commonly called current or, before the demise of cheques, cheque accounts. Because money is available on demand they are also sometimes known as demand accounts or demand deposit accounts. In the United States, NOW accounts operate as transaction accounts.
Transaction accounts are operated by both businesses and personal users. Depending on the country and local demand economics earning from interest rates varies. Again depending on the country the financial institution that maintains the account may charge the account holder maintenance or transaction fees or offer the service free to the holder and charge only if the holder uses an add-on service such as an overdraft.

View More On Wikipedia.org
  1. Dabil

    JamiiForums Tanzania CHAUMMA kuweni makini, John Mrema atahama na account za social media za chama

    John Mrema kahama na accounts za social media za CHADEMA na kuzibadili jina kuwa CHAUMA,siku akiondoka CHAUMA atazibadili tena majina,kuweni makini na huyu tapeli.
  2. W

    JamiiForums Tanzania Watu wanaongelea pesa za kichawi bila uthibitisho, Kama ni kweli zinapoingia kwenye account anaetuma ni nani ?

    Naweza kuamini pesa inaweza kupatikana kwa njia nyeusi na hatarishi kama ujambbazi lakini si nguvu za giza. Yani utoke tu huko kwa mganga uzikute zimedondoka chumbani kama furushi la magimbi, hizi bi hadithi za sungura na fisi. Kama ni muamala benki zinarekodi kila kitu, jina huwa ni la nani ...
  3. britanicca

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Account za CHADEMA kufungiwa !

    Wasalaamu Niliwaandikia mambo kadhaa na muda Mwingine napuuzwa Ila yakishatokea wanakuwa wanapuuza wanakausha, Nyuzi nyingi naziletaga ama kwa codes au Kama utani, au Kama swali kumbe ndo nakuwa nafikisha ujumbe 1. Niliwaandikia la Mbowe kutoa baraka kwa COVID 19 na watu wakahisi natania, 2...
  4. A

    JamiiForums Tanzania Tunanunua google Play console account

    Ikiwa kuna mtu ana account ya google play console iliyoundwa kuanzia mwaka 2023 kurudi nyuma, na yuko tayari kuiuza Naomba tuwasiliane kwa namba: 0710445448
  5. Mr Why

    JamiiForums Tanzania Ufafanuzi wa kina kuhusiana na kufungiwa kwa mtandao wa X na mingineyo kwa madai ya account za Serikali kudukuliwa

    Kwanza nitoe pole kwa mamlaka za Serikali kwa changamoto hii kubwa ya kudukuliwa kwa account za Serikali Tatizo hili limesababishwa na baadhi ya viongozi wa Serikali wasio na uadilifu walioamua kuwapa wahalifu nywila za kuingia kwenye kurasa za Serikali Taarifa inayosambaa mitandaoni kuhusiana...
  6. Fbn

    JamiiForums Tanzania Kuna kipindi kupitia redio ya Kenya radio47 kikijadili udukuzi wa Tanzania account za serikali

    Kama utapata mda kuna kipindi kina channel yake kikiitwa radio47 kuna mkenya mmoja kaeleza kama kafunguka kwa hasira. Anavyo dai tanpol kwenye account zake kwenye nywira (password) wametumia jina la diamond,zuchu au mama samia 1234 ndio zinatumika. Mpaka anaeleza haya inawezekana hata account...
  7. Mstahiki Mea

    JamiiForums Tanzania CRDB waja na Account maalumu ya uwekezaji faida 12%

    Mpango unaoendana na hadhi yako!🧳 Karibu uwekeze kiusalama kupitia akaunti ya muda maalumu tuliyokuandalia ambapo kuanzia kiwango cha shilingi milioni 20 na kuendelea kitakupa faida ya 12% kwa mwaka📈. wasiliana nao kwa taarifa zaidi
  8. Solo Traveller

    JamiiForums Tanzania Nawezaje kukwepa deni kwenye account Yangu.?

    Nilikopa boom advance bhana, Sasa hili boom ndio la mwisho na hela ikiingia tu kwenye account inakatwa automatically na system Wazee wa IT nitumie njia gani kukwepa deni hili ??
  9. Zee la michongo

    JamiiForums Tanzania Je inachukua muda gani hadi account kua banned?

    Ukipokea pesa ndefu kutoka nje ya nchi like USA as a remmittance money mfano 100+million TSh . Inaweza chukua muda gani hadi account wakaiban ? Je mtu anaweza fanya someexpenditure kabla hawajaiban? Je unaweza kuspend like 20m then ukareport account? 😁😁 Msije sema bangi wakuu lete...
  10. Bei Rahisi Electronics

    JamiiForums Tanzania Anayeuza account Tiktok, Instagram, Twitter, Facebook page

    Wapwa anayeuza Account Twitter x TikTok Instagram Facebook page Pesa ipo, Onyo Matapeli kaeni mbali.
  11. SPONSA

    JamiiForums Tanzania MDAs na LGAs afisa hesabu wasaidizi (assistant account officer) hatujui hatma yetu kuhusu kufanya interview???!

    Naomba kuwasilisha maulizo yangu kwa wadau kuhusu sisi maafisa wasaidizi wa hesabu (assistant account officer), ambao tuliomba nafasi za kazi MDAs na LGAs ni lini tutaitwa kufanya interview kiuhalisia tumekata tamaaa wengi wetu tukifikiria kwamba tumetengwa maana kila kada karibia zote...
  12. Heritage123

    JamiiForums Tanzania Pata Status views wengi Katika Whatsapp Account Yako !

    Kwenye dunia ya leo ya kidigitali, WhatsApp siyo tena app ya kuwasiliana tu na marafiki — ni fursa ya biashara. Ukiitumia vizuri, unaweza kujenga audience kubwa ya watu wanaoaminika, wanaojali bidhaa/huduma zako, na ambao wako tayari kununua. 👇🏽 Hapa chini nitakuonesha hatua kwa hatua jinsi ya...
  13. wete

    JamiiForums Tanzania DOKEZO X Wamefunga account yangu msaada tafadhali hii ya A current, dated and signed statement on official company letterhead conforming that you're an autho

    Mnisaidie nitoke kwenye hii kitu wazee nilibadilishaga profile picture ndo yote haya yakatokea nimeshatuma email kibao bila mafanikio Kwa anaeweza kunisaidia tafadhali wakuu
  14. haszu

    JamiiForums Tanzania Nilifuta account ya Facebook kutokana na kutongozwa na wanaume wenzangu.

    Nilikua natuma picha zangu kawaida tu, na zinaonesha kabisa mimi ni mwanaume ila kilichonitokea ikabidi nifute account, pia nikajifunza Kenya kuna watu mafilauni wa waziwazi. Yani mtu anakutumia meseji, “Et we ni mzuri, uko wapi?” Yani anakutongoza kama vile mtoto wa kike. Miongoni mwa watu...
  15. M

    JamiiForums Tanzania Nimetengwa kanisani baada ya kuomba account namba ya Yesu ama Mungu nimuwekee Zaka zake, fungu la kumi. Wanalazimisha wao ndio wampokelee Mungu hela

    Kanisani walikuwa wanasisitiza sana kila muumini lazima atoe fungu la kumi, maana ni la Mungu, binafsi nikawa tayari kumtolea mungu hela zake hizo za fungu la kumi ila kwa kumpatia Mungu mwenyewe ili kuepusha watu wa kati kumlia Mungu hela zake. hivyo nikaomba account namba ya Mungu ama namba...
  16. Arsenal Gunner

    JamiiForums Tanzania Wakuu meridian bet ni matapeli au siwaelewi nimeshinda milioni 10 jana wamefunga account

    Yaani Hawa jamaa nashindwa kuwaelewa mpaka sasaa hivi nimeshinda milioni 10 tangia Jana Kila nikiingia kwenye account inakataa kumbe Hawa jamaa ni matapeli aisee modds naombeni msiunganishe na jukwaa la wazee wa kubet
  17. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Chief GodLove ulikuwa huwajui Wakenya naona sasa utawajua kwa Nguvu yao ya Kimtandao. Pole kwa Kufungiwa TikTok Account yako

    Kuna siku nilikuja na Uzi hapa JamiiForums wa kuulizia huyu Chief GodLove ni nani ukafutwa haraka sana na sijui kwanini.
  18. D

    JamiiForums Tanzania Kukodisha account ya linked in

    Habari wanajukwaa samahani kuna mlipuko wa watu saivi wanakufuata kukodisha account ya linked in je hawa watu wako kweli au ni scammers? Wakichukua Account wanafanya yao
  19. Crucifix

    JamiiForums Tanzania Need assistance: SUSPENDED FACEBOOK ACCOUNT

    Anyone here who can help me unsuspend my facebook account? Please inbox for arrangements
  20. KING MIDAS

    JamiiForums Tanzania Mwamposa ni mkweli sana, Mungu hatumii hela ndio maana account zote za sadaka ziko kwa jina la Mwamposa

    Niko ugenini, usiku nikakaribishwa chakula cha jioni, wenyeji wangu ni watu wa imani kali, tukiwa tunaendelea na kula huku tukitazama tv ya Mwamposa akawa anasisitiza na kuhimiza watu watoe sadaka. Akaorodhesha namba nyingi sana za voda, tigo, airtel, halotel, na mabenki mbalimbali. Accounts...
Back
Top Bottom