account

A transaction account, also called a checking account, chequing account, current account, demand deposit account, or share account at credit unions, is a deposit account or bank account held at a bank or other financial institution. It is available to the account owner "on demand" and is available for frequent and immediate access by the account owner or to others as the account owner may direct. Access may be in a variety of ways, such as cash withdrawals, use of debit cards, cheques and electronic transfer. In economic terms, the funds held in a transaction account are regarded as liquid funds. In accounting terms, they are considered as cash.
Transaction accounts are known by a variety of descriptions, including a current account (British English), chequing account or checking account when held by a bank, share draft account when held by a credit union in North America. In the Commonwealth of Nations, United Kingdom, Hong Kong, India, Ireland, Australia, New Zealand, Singapore, Malaysia, South Africa and a number of other countries they are commonly called current or, before the demise of cheques, cheque accounts. Because money is available on demand they are also sometimes known as demand accounts or demand deposit accounts. In the United States, NOW accounts operate as transaction accounts.
Transaction accounts are operated by both businesses and personal users. Depending on the country and local demand economics earning from interest rates varies. Again depending on the country the financial institution that maintains the account may charge the account holder maintenance or transaction fees or offer the service free to the holder and charge only if the holder uses an add-on service such as an overdraft.

View More On Wikipedia.org
  1. Minjingu Jingu

    Mdogo wa Rafiki yangu ameingiziwa kitu kwenye account ili aende Mkutanoni Kawe

    Kwa kweli Mama mikumi tena. Dogo anasema Weekend kesho tutamtafute yeye kuanzia Biriani mpaka wale walevi Mkojo wa Shetani. Mimi allahamdulilah sinywi vitu kharamu ila najua kaka yake mjaa laana kesho atakunywa sana. Naambiwa mapolisi walio mafunzo pia wamepewa nguo za kiraia na kuingiziwa...
  2. LiFe 2-point-0

    Mfumo (software) Kusomana na NMB account

    Wakuu na wadau wa jukwaa hili la Tech habari ya majukumu? Kama mdau mwenzenu kwenye upande huu nimekuja kuomba kusaidiwa namna naweza pata mwongozo. Nimekutana na challenge ambayo katika software wateja wangu wanatumia, kunahitajika namna ya kuweza kuona malipo yanayofanyika kwenye account moja...
  3. excel

    Airtel Money sio salama. Nimebadili neno la siri bila Kuhojiwa taarifa zozote Muhimu na wahudumu kuhusu Account yangu

    Airtel kama mpo humu JF mjitafakari sana kuhusu hili. Mna uthibitisho gani kama mimi mmiliki wa simcard ndio nimeomba Kubadili neno la siri na sio mtu mwingine? Nimefuata muongozo kwa kupiga 100, sijaongea na muhudumu ila mmeniruhusu kubadilisha PIN ya Airtel Money😭😭😭😭 Sidhani kama...
  4. DIGARAH Madman

    Ni Sahihi kuwa na Pesa nyingi kwenye account ya Benki ikiwa ndugu zako ni hohehae?

    Habari ya asubuhi waungwana Dependency ratio inachukua nafasi kubwa sana Huku kwetu Afrika. Unaweza Kuta Mtu anapesa Ila kunae ndugu anaumwa, anasomesha mtoto wa marehemu shangazi yake, Anauguza Baba yake wa Kambo huku Pia ana mlea Mtoto wa Baba yake mdogo aliyepewa ujauzito na kijana...
  5. B

    GE2025 Kwanini account za Ikulu zinarusha tukio la Mgombea Samia kuchukua fomu ya kugombea? Watarusha na wagombea wa vyama vingine?

    Wakuu, Hili ni tukio la kichama, katika shughuli ambayo kama atafanikiwa basi acc hizo za ikulu ndio zitatumika kirusha matukio yake. Kwanini zinatumika leo Samia akienda kuchukua fomu kama mgombea wa CCM, ni kwamba wameshapitisha kwamba yeye ameshakuwa Rais? Vyama vingine vikienda kuchukua...
  6. T

    INAUZWA Instagram account inauzwa

    Account ndogo ya Instagram inauzwa, Followers 5800, nicheki 0743546090 Call/text ama WhatsApp
  7. T

    Naona ikitungwa sheria ya serikali kujimilikisha account za mitandao ya kijamii ya viongozi na social influencers wote

    Kwa mambo yanayoendelea Kuna uwezekano kuna sheria zinatungwa serikali kujimilikisha account za viongozi na social influencers, maana yake hata kama account ni yako binafsi, as long as we ni public figure au kiongozi, utatakiwa ku handle credentials kwa serikali Ili ukija kuhasi, basi usipate...
  8. DR HAYA LAND

    Ili wazungu tuwaone wapo makini naomba zile Account za wanasiasa za bank ambazo zimejaa mabilion wazifilisi zote

    Ikiwa wazungu wana nia ya kuikomboa Africa waanze na hili swala . MTU anafunguaje account nchi za ulaya na anaweka mabilioni ya fedha huko. Mshahara wa waziri na Mbunge na wa viongozi wa juu unajulikana , ikiwa MTU anamiliki Mali amabazo haziendani na kipato chake , achunguzwe na kufungiwa...
  9. P

    Unauthorized action of CRDB Bank Plc of opening a company's account to unauthorized persons without the consent of the rightful owners

    PEACHY VILLAGE COMPANY LTD "To the people of Tanzania, the Government, the Bank of Tanzania, international rights and financial institutions, and all defenders of justice and transparency— My name is Adam Kheri Famao, Chief Executive Officer of Peachy Village Company Limited. Today, I speak on...
  10. Machimbo Explorer

    Welcome to the Official Machimbo Explorer Account – Expert Mining Consultancy

    Hello JamiiForums Community, We are excited to join JamiiForums, a firm specializing in providing expert consultancy services in the mining sector here in Tanzania. We pride ourselves on delivering high-quality advice and support to all miners, from small-scale to large-scale operations...
  11. Saba_Spare supplies

    Naomba support ya kufollow Insta Account yetu

    Habarini wadau naomba support yenu kufollow our insta Account 🙏🏾 hapo kwenye picha AU Bonyeza link hii kuingia https://www.instagram.com/7spares?igsh=bWx5dDB5c3BqazU5 Nashukuru kwa Mda wenu, Mungu awabiriki✨
  12. Internet-Money

    Je unafutaje account ya JF

    Nilihitaji nifute ID ya Internet Money(ambayo natumia) , ila sijaweza. Au kama naweza kupata usaidizi jinsi ya kubadilisha ID
  13. La Quica

    Unafungia mtandao wa X, lakini wewe upo na unatuma maudhui! 😳

    Wakuu kuna jambo ambalo nimelitafakari bila kupata majibu toka serikali ilipofungia mtandao wa X almaarufu Twitter. Nimeshindwa kuelewa hii serikali inaendeshwa na wendawazimu ama vichaa kwakuwa kwa yanayoendelea ni udhihirisho tosha kuwa ni watu wasio na weledi, reasoning na hata common sense...
  14. Brave_Idiot

    Anae uza Adsterra account?

    hello kama adstera account yako ina weekly payouts enabled na hauitumii nicheki PM, tuongee biashara!
  15. Dennis Robert Shughuru

    Nitahakikisha watanzania zaidi ya million 40 wanakuwa na account ambazo zipo active

    Moja ya changamoto kubwa sana ya structure ya uchumi wetu ni kuwepo kwa idadi ndogo ya watu wenye account bank na ambazo zipo active Kwa sababu hata hizo account zilizopo bado ni chache sana ambazo ni active., nyingi ni inactive account nikimaanisha mtu anaweza akawa na account na akaa hata...
  16. Knock life

    Mtibeli naomba ufanye mpango uwe na Account You Tube

    Mtibeli fungua account You tube tuwe tunakupata vizuri . Ahsante
  17. Dabil

    CHAUMMA kuweni makini, John Mrema atahama na account za social media za chama

    John Mrema kahama na accounts za social media za CHADEMA na kuzibadili jina kuwa CHAUMA,siku akiondoka CHAUMA atazibadili tena majina,kuweni makini na huyu tapeli.
  18. W

    Watu wanaongelea pesa za kichawi bila uthibitisho, Kama ni kweli zinapoingia kwenye account anaetuma ni nani ?

    Naweza kuamini pesa inaweza kupatikana kwa njia nyeusi na hatarishi kama ujambbazi lakini si nguvu za giza. Yani utoke tu huko kwa mganga uzikute zimedondoka chumbani kama furushi la magimbi, hizi bi hadithi za sungura na fisi. Kama ni muamala benki zinarekodi kila kitu, jina huwa ni la nani ...
  19. britanicca

    Tetesi: Account za CHADEMA kufungiwa !

    Wasalaamu Niliwaandikia mambo kadhaa na muda Mwingine napuuzwa Ila yakishatokea wanakuwa wanapuuza wanakausha, Nyuzi nyingi naziletaga ama kwa codes au Kama utani, au Kama swali kumbe ndo nakuwa nafikisha ujumbe 1. Niliwaandikia la Mbowe kutoa baraka kwa COVID 19 na watu wakahisi natania, 2...
  20. A

    Tunanunua google Play console account

    Ikiwa kuna mtu ana account ya google play console iliyoundwa kuanzia mwaka 2023 kurudi nyuma, na yuko tayari kuiuza Naomba tuwasiliane kwa namba: 0710445448
Back
Top Bottom