Kwa kile nilichokishuhudia uwanja wa uhuru jana na leo, na kile kinachokwenda kufanyika Dodoma, Zanzibar, Mwanza na Chato cha watu kutokuchukua tahadhali ya ugonjwa wa Corona. Tutarajie nchi yetu kukumbwa na maambukizi mapya ya COVID-19.
Ninasihi sana viongozi wetu tuchukue tahadhali kabla...
Habari zenu wakuu,
Nina shamba la mpunga Nzega vijijini, nategemea kuanza kuvuna mwezi wa tano.
Kama kuna mtu ana combine harvester ipo mikoa ya karibu na Tabora naomba tuwasiliane tufanye kazi maana nina ekari nyingi. Gharama ya kuisafirisha kutoka ilipo mpaka shambani kwangu ni juu yangu.
Make: Toyota
Model: Carina
Colour: Red
Engine: 7AFE
Engine capacity: 1800
Fuel used: Petrol
Body type: Saloon
Year: 1996
Manual
Bei 6.5 ml mawasiliano 0787360301.
Gari ni Mpya, full documents
Wakuu, Salaam
Mimi ni mdau wa usafirishaji wa Mifugo East Africa. Kutokana na sheria mpya ya usafirishaji wa mizigo iliyoanza kutumika kuanzia mwezi wa tatu mwaka huu, kumekuwa na changamoto nyingi sana husususani kwenye ukataji wa vibali vya mizigo inayohamahama. Mwanzoni kulikuwa na kipengele...
Wakuu salaam
Binti kapata Div 2 point 12 mchepuo wa HGK katika matokeo yake ya kidato cha sita 2018. Masomo aliyofaulu ni Geography D Kiswahili C, Kidato cha nne masomo yote mawili alipata C. Ndoto zake Chuo kikuu ni kusomea Education. Nini ushauri wako kwake kwa matokeo haya na Chuo gani aende?
Tofauti na TADB inayohitaji vikundi vya muda mrefu kuanzia miaka mitatu kuvikopesha. Ni taasisi gani nyingine za kifedha zinazokopesha vikundi vya wakulima Tanzania? Mwenye kujua atufahamishe.
Wakuu salam
Naomba mwenye ujuzi na utalaam was kufunga/kuzuia sms husasani za Huduma kwa wateja kujirudiarudia hata zaidi ya mara 100 kwenye simu yangu ya smartphone anisaidie. Maana nimeshaenda Tigo customers care waka swap line yangu lakini tatizo linaendelea hata kama ukitoa line ya Tigo na...
Wakuu salam
Naomba ufafanuzi wa sheria hasa kuhusu Kesi ya madai ambayo inamhusisha mtumishi wa umma baada ya kushindwa Kesi na kuamuriwa kulipa gharama na mahakama. Je anaweza akahatarisha ama kupoteza ajira yake pindi akishindwa kulipa gharama za kesi? ama kuna madhara gani anaweza yapata...
Wakuu salaam.
Mimi ni mhanga wa mikopo toka taasisi za kifedha ambapo niliposhindwa kurejesha mkopo baadhi ya Mali zangu ziliuzwa kwa mnada na dalali wa benki husika. Taratibu zote za mnada zilifanyika na baada ya mnunuzi kufika being kubwa kuzidi kiasi nilichokuwa nadaiwa na benki na kutangazwa...
Nimeona tangazo la NACTE la leo tarehe 29 July linalowaomba walioomba vyuo vya ualimu vya serikali wasifute machaguo yao wasubiri utaratibu utakaotolewa hapo baadaye. Wengine tayari wameshafuta na kufanya machaguo mapya na bahati mbaya vyuo vya ualimu vya serikali havionekani tenà.
Hao...
Msaada kwa huyu binti ambaye hajapata selection ya form five wala NACTE wakati ana div III.25. Namba take ya mtihani ni S4279/0029 tatizo liko wapi?
Je aki apply tena atachajiwa pesa ya kutuma maombi? Mwenye ufahamu juu ya hili anisaidie.
Wakuu salam,
Nimekusudia kuwafungulia mashtaka Vodacom Tanzania kwa kushindwa kulipa Mpesa faida yangu ya mwezi uliopita bila maelezo yoyote suala ambalo limeleta usumbufu katika shughuli zangu za kiuchumi
Ifike mahali tukatae kudanganywa na Vodacom, ninakamilisha kuongea na wanasheria wangu...
Wakuu, nilii root simu yangu na kui upgrade kutoka 4.4.2 kwenda 4.4.4 tangu nimeibadili imekuwa na tatizo LA kuchagua baadhi ya laini na kuandika invalid imei. Baadhi ya laini siwezi kupiga wala kutuma SMS isipokuwa kuchat internet tu. Nimejaribu kurestore tatizo liko palepale. Mwenye utaalamu...
Wakuu salamu,
Naombeni msaada wa kisheria kuhusu suala hili.
Nimekopa benki ikafika kipindi nikashindwa kurejesha vizuri marejesho yangu kwa sababu ya kupata hasara katika biashara yangu. Nikamwomba jamaa yangu aniazime pesa ambayo nitailipa kwa riba nilipe benk ili wanipe mkopo mwingine...
Ni wazi kabisa ufisadi wa Lowasa juu ya Richmond haujathibitishwa na mahakama yeyote hapa Tanzania na hata nje ya nchi. Mara nyingi amekuwa akituhumiwa kuhusika na kashfa ya Richmond na yeye kukataa kuwa hakuhusika, na hili halina ubishi kwani hata CCM hawana ushahidi wa moja kwa moja juu ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.