Nimekusudia kuwapeleka Mahakamani Vodacom Tanzania

Kuchasoni Kuchawangu

JF-Expert Member
Aug 21, 2012
604
340
Wakuu salam,
Nimekusudia kuwafungulia mashtaka Vodacom Tanzania kwa kushindwa kulipa Mpesa faida yangu ya mwezi uliopita bila maelezo yoyote suala ambalo limeleta usumbufu katika shughuli zangu za kiuchumi

Ifike mahali tukatae kudanganywa na Vodacom, ninakamilisha kuongea na wanasheria wangu ili suala hili lifike mahali panapostahili kisheria.
 
Hahaha, hivi sheria ikoje? Kama unashindwa kesi kama iyo usije ukalipia wewe gharama za kesi.
 
Mi mpaka leo tarehe 4-7-2016 wananiambia nitapata gawio langu kabla ya tarehe 31-06-2016. Sasa najiuliza hiyo tarehe ni ya jupiter au! Manake huku kwetu ishapita.
 
Du hi mitandao amna aja ya mwanasheria yani nenda mahakama kampe hakimu simu yako nunu vocha ya buku ten alafu msihitumie after 5 day balance zero trust me
 
  • Thanks
Reactions: y-n
M nilipata Buku eti daaah yaan kwenye mabilioni napewa Buku

Inalipwa kutokana na faida uliyotengeneza kutokana na transactions ulizofanya kwa kipindi husika.

Kuna ambao wamefanya transactions zilizoingizia kampuni faida ya malaki au mamilioni.

Gawio lao sio sawa na wewe uliefanya transaction zilizoingizia kampuni faida ya 5000.
 
Wakuu salam,
Nimekusudia kuwafungulia mashtaka Vodacom Tanzania kwa kushindwa kulipa Mpesa faida yangu ya mwezi uliopita bila maelezo yoyote suala ambalo limeleta usumbufu katika shughuli zangu za kiuchumi

Ifike mahali tukatae kudanganywa na Vodacom, ninakamilisha kuongea na wanasheria wangu ili suala hili lifike mahali panapostahili kisheria.


Ungefanya kimyakimya, kwa kuleta uzi hapa wanajipanga kukuzidi nguvu
 
Laini ya voda tu kwangu ni ya ushahidi, voda na huduma zao za nini, ujanja ujnja mwingi sitaki, utafikiri ni machinga
 
Back
Top Bottom