NACTE, tangazo lenu limekuja kwa kuchelewa

NACTE, tangazo lenu limekuja kwa kuchelewa

Kuchasoni Kuchawangu

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2012
Posts
623
Reaction score
378
Nimeona tangazo la NACTE la leo tarehe 29 July linalowaomba walioomba vyuo vya ualimu vya serikali wasifute machaguo yao wasubiri utaratibu utakaotolewa hapo baadaye. Wengine tayari wameshafuta na kufanya machaguo mapya na bahati mbaya vyuo vya ualimu vya serikali havionekani tenà.

Hao mnawasaidieje?
 
Kiukweli watu waendelee kufikiria zaidi juu ya education maana hali bado tete...kina vyuo vingine tayari vimejaa maana yake havitachukua kabisa wanafunzi,kwahiyo vilivyobaki ni vichache so lazima wanafunzi wawe dynamic
 
Nimeona tangazo la Nacte la Leo tar 29 July linaloowaomba walioomba vyuo vya ualimu vya serikali wasifute machaguo yao wasubiri utaratibu utakaotolewa hapo baadaye. Wengine tayari wameshafuta na kufanya machaguo mapya na bahati mbaya vyuo vya ualimu vya serikali havionekani tenà hao mnawasaidieje?
Hivi kaka naweza kusoma diploma ya banking and finance kwa marks za CCCDDDDEE form four? ...D za math & bookkeeping
 
Mimi nilifuta siku ile ile ajabu ni kwamba baada ya siku kama tatu niseach index no ikawa selected mwalimu nyerere momerial academy lakani profile wameandika weit for selection sasa hapo cjui nifanyeje
 
Kwa staili hii ni haki rais Magufuli aendelee kuwatumbua watu wazembe kama NACTE, haiwezekani washindwe kutoa tangazo mapema kuhusu selection za ualimu hadi watu wameisha futa profaili zao ndio wanakuja na gia eti msifute mlikuwa wapi hilo tangazo lenu kulijumuisha na lile la tarehe 22/7/2016?. Kwa tabia hii ya ubabaishaji munatutia wasiwasi upande wa utendaji kazi wenu.Kwa ufupi nyinyi ni MAJIPU uchungu na kwa uzembe mlioufanya wa kusababisha watu wafute machaguo yao kwa upande wa elimu nawaombea mtumbuliwe ili siku nyingine muwe makini na kazi zenu.
 
Kwa staili hii ni haki rais Magufuli aendelee kuwatumbua watu wazembe kama NACTE, haiwezekani washindwe kutoa tangazo mapema kuhusu selection za ualimu hadi watu wameisha futa profaili zao ndio wanakuja na gia eti msifute mlikuwa wapi hilo tangazo lenu kulijumuisha na lile la tarehe 22/7/2016?. Kwa tabia hii ya ubabaishaji munatutia wasiwasi upande wa utendaji kazi wenu.Kwa ufupi nyinyi ni MAJIPU uchungu na kwa uzembe mlioufanya wa kusababisha watu wafute machaguo yao kwa upande wa elimu nawaombea mtumbuliwe ili siku nyingine muwe makini na kazi zenu.
Ni kweli wengi wamefuta machaguo na kuselect vyuo vya private wakizani vimejaa vyuo vya serikali
 
Ni kweli wengi wamefuta machaguo na kuselect vyuo vya private wakizani vimejaa vyuo vya serikali

NIKIWEMO MIMI, Nimefuta machaguo ya awali nikidhani tayari sina nafasi tena kwenye vyuo vya serikali, nimeapply private wameniselect alafu ndiyo nakuja kuona hili Tangazo, hapa nawaza sijui nifute au niache@
 
NIKIWEMO MIMI, Nimefuta machaguo ya awali nikidhani tayari sina nafasi tena kwenye vyuo vya serikali, nimeapply private wameniselect alafu ndiyo nakuja kuona hili Tangazo, hapa nawaza sijui nifute au niache@
[emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115] chunga kukosa vyote
 
Hivi kaka naweza kusoma diploma ya banking and finance kwa marks za CCCDDDDEE form four? ...D za math & bookkeeping
samahani mkuu naulizia hivi form four kuna daraja E na ni mwaka gani lilianza kutolewa???
 
Kibaya zaidi ukiwapigia simu zao ambazo ziko kwenye website yao baadhi hazipatikani, nyingine muda wote ziko bize nyingine zinaita weee lakini hazipokelewi mh rais waangali NACTE kwa jicho la makini sana
 
Back
Top Bottom