Kuchasoni Kuchawangu
JF-Expert Member
- Aug 21, 2012
- 603
- 340
Mkuu, uko serious au unatania??Wakuu salaam.
Naomba wajuzi wa vyombo vya anga watujuze ubora wa ndege za ATCL zilizotua hivi karibuni na ndege ya Askofu Gwajima wa Ufufuo na Uzima.
Mkuu huyo hata levo ya ujinga hajafika, bado ipo juu mno kwakeMkuu, uko serious au unatania??
Kama uko serious, hii nchi bado ina kiasi kikubwa cha wajinga.
Kwa taarifa yako: Hakuna ndege inayoruhusiwa kuruka bila kuwa na uboraWakuu salaam.
Naomba wajuzi wa vyombo vya anga watujuze ubora wa ndege za ATCL zilizotua hivi karibuni na ndege ya Askofu Gwajima wa Ufufuo na Uzima.
Gulf Stream unafananisha Na mapanga?Wakuu salaam.
Naomba wajuzi wa vyombo vya anga watujuze ubora wa ndege za ATCL zilizotua hivi karibuni na ndege ya Askofu Gwajima wa Ufufuo na Uzima.
Kwa maana hiyo ubora uko sawa na ya Geajima?Kwa taarifa yako: Hakuna ndege inayoruhusiwa kuruka bila kuwa na ubora
Ni wa chadomo tu wenye iyo asili!Mkuu, uko serious au unatania??
Kama uko serious, hii nchi bado ina kiasi kikubwa cha wajinga.
Kwani umesahau kwamba tangu 1961 mpaka leo tunapambana na hao maadui watatu na Bado hatujawatokemeza?Mkuu, uko serious au unatania??
Kama uko serious, hii nchi bado ina kiasi kikubwa cha wajinga.
Ok.Kwani umesahau kwamba tangu 1961 mpaka leo tunapambana na hao maadui watatu na Bado hatujawatokemeza?
Mkuu unasema mapanga! Angalia vizuri hiyo pichaGulf Stream unafananisha Na mapanga?
Acha hizo zako bwana, Ila hiyo pichani sio ndege ya Gwajima. Ya Gwajima ni private jet
Tujitahidi kupambana na hao maadui tuwatokomeze kabisaMkuu huyo hata levo ya ujinga hajafika, bado ipo juu mno kwake
huyo ni mbumbumbu mzungu wa reli.
Sana. Na huenda za ATC zina ''ubora'' zaidi kwa sababu ni mpya kulinganisha ya Gwajima.Kwa maana hiyo ubora uko sawa na ya Geajima?
Tanzania watu wengi ufahamu wao kuhusu ndege ni finyu mno. Wao ndege ni kama bajaji au hizi pikipiki za boada boda na huwa wanatumia vigezo na uelewa wao kuhusu hivyo vyombo ku-asses ndege!Mkuu, uko serious au unatania??
Kama uko serious, hii nchi bado ina kiasi kikubwa cha wajinga.
Nimeita watalaam wa Mambo haya watusaidie sisi tunaoonekana mazezeta juu ya vyombo hivi vya anga ili tuuondoe huo ujinga. Maana kitu usichokijua ni mjinga kwa kitu husika.Tanzania watu wengi ufahamu wao kuhusu ndege ni finyu mno. Wao ndege ni kama bajaji au hizi pikipiki za boada boda na huwa wanatumia vigezo na uelewa wao kuhusu hivyo vyombo ku-asses ndege!