Search results

  1. ISSA SHARAFI

    Tuwe makini na wanawake tunaitaka kuwaoa

    Ilikuwa hivi....... Jamaa mmoja aliishi mjini kwa muda mrefu toka alipotoka kijijini hakuwahi kurudi hadi ikafikia akaamua kuoa. Baada ya ndoa aliamua kwenda kijijini kwa wazazi wake kumwaonyesha mkwe wao. Kumbe wazazi wa jamaa walikuwa vikongwe sana. Alipofika walikaribishwa na kuandaliwa...
  2. ISSA SHARAFI

    Tunaangalia elimu na sio pesa sawaa!

    Hii ilikuwa nipo mitaa fulani nmetulia na pembeni yangu kulikuwa madenti wawili. Mara akafika jamaa na kuanza kuomba mgegedu kwa denti mmoja. Yule jamaa alijitangazia sifa za kuwa na pesa....denti alimjibu hivi...sasa hivi kwenye mapenzi tunaangalia elimu na sio pesa.... Je wadau hivi kuna...
  3. ISSA SHARAFI

    Nauliza Nauliza

    Napenda kuuliza hivi tikiti za mechi ya Simba na Yanga zimeanza kuuzwa na lipid ni kiwango cha chini
  4. ISSA SHARAFI

    Nani bingwa wa UEFA 2013/2014

    Ikiwa draw ya clab bingwa ulaya imepangwa leo....iko hv Buyern v Real Madrid na Chelsea v Atletico Madrid......Je unafikiri timu gani itaibuka kuwa bingwa kati ya hizo.
  5. ISSA SHARAFI

    Tutafakari juu ya hii kitu

    Wanajamvi... Nmekuwa nikipatwa na maswali mengi juu hii kitu kinachoendelea kwa wanafunzi wa sekondari hususani kwa wasichana wa shule za mjini. Nashangaa kuwaona wakienda shule wakiwa hawana hata mfuko (begi) wa daftari badala yake huwa wanabeba vipochi ambavyo hata daftari ndogo inayotumiwa na...
  6. ISSA SHARAFI

    Msaada Tafadhari

    Nasumbuliwa na sikio ambalo linanifanya nijisikie vibaya pia linapelekea kuuma kwa kichwa kutokana na kuvutika kwa misuli ya sikio hlo. Isitoshe limeziba kabisa (halisikii chochote). Je nitumie dawa gani niweze kupona?
  7. ISSA SHARAFI

    Ugumu wa Tatizo likufike

    Kutokana na kupandishwa kwa umeme na TANESCO imepelekea sasa kuibuka kwa chuki kati ya wamiliki wa nyumba na wapangaji. Naishi katika nyumba ya kupanga na nilikuwa sipo kwa muda wa siku nne na leo nikarudi nyumbani, nilipofika tu nikakabidhiwa karatasi yenye ujumbe juu ya upandishwaji wa bili ya...
  8. ISSA SHARAFI

    Mbona sielewi???????

    Wanajamvi Ni kama wiki mbili sasa toka tumepandishiwa huduma ya umeme. Ila tatizo nashindwa kuelewa juu ya upandishaji huu kwani naona huduma haiko ya uhakika. Ni sahihi kupandisha gharama ya umeme hali xa kuwa ni wa kusuasua ktk upatikanaji wake? Ni mawazo yangu tu....tueleweshane kwa hili.
  9. ISSA SHARAFI

    Ama kweli mapenzi ya sasa ni gusa unase.

    Naweza kusema hvi kwa sababu dunia ya sasa imekumbwa na mabadiliko mengi ktk siasa, uchumi na jamii ambayo mengine ni chanya na mengine ni hasi. Ktk mada: ktk mapenzi ya usione ajabu mwanaume anakuwa na wanawake zaidi ya wawili ambao sio rasmi na kwa upande wa pili pia. Hii ni kwa wanawake ambao...
  10. ISSA SHARAFI

    Inashangaza sana.

    katika mtazamo wa kawaida tu tunategemea kuona maisha ya msomi (awe wa form 4 hadi ngazi ya elimu ya juu) yanakuwa ya kuigwa katika jamii ili kuwasaidia wale wasiobahatika kupata elimu hiyo. Lakini cha kushangaza msomi huyo ndo kwanza anakuwa na taswira mbovu katika jamii hususani katika mavazi...
  11. ISSA SHARAFI

    Tuition..Tuition..Tuition

    Wanajf Napenda kutangazia kuwa kituo cha Jiangalie Tuition Center kinatangaza kutoa huduma ya kufundisha masomo ya kuanzia ngazi ya cheti, shahada (diploma) na stashahada (degree) kwa gharama nafuu. Kituo kipo Tandika mabatini Mawasiliano: 011185000000 Karibu sana.
  12. ISSA SHARAFI

    Mniondelee utata huu

    Mada yangu kuhusu usajili wa aliyekuwa winga wa simba mganda Emmnuel Okwi kwenda Yanga. Utata wangu: Yanga wamemsajili Okwi kutokea timu gani Etoile, Simba au Sc Villa. Kama kutokea Etoile ya Tunisia je Simba wamelipwa pesa zao? Pia kulikuwa na suala kamati moja ya FIFA ilikuwa inasimamia hli...
  13. ISSA SHARAFI

    Kusema hivi tunakosea waungwana

    "Chama tawala (CCM) hakijafanya chochote"....hii ni kauli ambayo watu mbalimbali wakiwemo wasomi na wanasiasa huwa hupenda kutamka pindi wanapotaka kutoa mapungufu ya chama tawala.....kwa upande wangu naipinga kauli hii kwan kuna mambo mengi ambayo yamefanyika tokea uhuru hadi sasa ktk nyanja...
  14. ISSA SHARAFI

    Nani wa kumlaumu kati ya hawa

    Wanajamvi kwa cku nyingine mungu katujalia pumzi kwa wale alowapenda.... Naomba ushauri juu ya hli Kuna rafiki yangu nasoma naye ktk chuo fulan hapa Dsm. Cku za hv karibun katutambulisha msichana mmoja kuwa ni mchumba wake na anataraji kufunga nae ndoa na huyo msichana pia ni collegue mwenzetu...
  15. ISSA SHARAFI

    Big result now kuondoa tatizo la kutojua kusoma na kuandika

    Ni miezi michache tu baada ya serikali kuingiza slogan ya Big result now (matokeo makubwa sasa) ktk ofisi zake za umma. Na sasa wameamua kuingiza ktk upande wa elimu ili kuondoa tatizo la wanafunzi kutojua stadi tatu za kkk (kusoma, kuandika, na kuhesabu) hadi wanapomaliza darasa la saba. Je...
  16. ISSA SHARAFI

    Seriously...seriously...seriou sly

    Ktk maisha mapenzi hayaepukiki (jua hlo) Hivyo basi kuna msichana nmetokea kumpenda sana kimapenzi, nilimwambia kwa jinsi ninavyompenda alikubali kupokea upendo wangu ila tatizo sasa huwa anabadilika cku ananipenda cku ananichukia. Na cjawahi kusex naye na nikimwambia ananikasirikia tu bla...
  17. ISSA SHARAFI

    Ni unafiki au kutojikubali

    Habari za saa hizi wanajamvi Iko hv ktk hali ya kushangaza kwa watanzania ni pale mtu anapoongea lugha ya kiingereza anajihisi kma shujaa aliyemwondoa Gaddaf madarakan kuliko pale anapotumia lugha ya kiswahili. Inaonekana wazi kwamba kiswahili sasa kmekua ni lugha ya watu wasienda shule. Kwann...
  18. ISSA SHARAFI

    Kijue kinachokwamisha maendeleo ya Taifa letu

    Wanajf habari zenu Naamini kabisa mambo mengi yamezungumzwa na yanazidi kuzungumzwa juu ya kwann tunashindwa kufikia maendeleo ya taifa kwa ujumla......nilichogundua mm japo wataalamu wengi wameongea mengi ni ukosefu wa usimamizi uliobora kwa ile mipango na sera tulizoziweka ndio kikwazo kikubwa...
  19. ISSA SHARAFI

    Naomba msaada wa hili

    Najiuliza: Ni majibu yapi yamefikiwa juu ya ile tume ya uchunguzi wa lile bomu lililolipuliwa kule Arusha may 15 2013. Pia kutokana na ile pesa iliyoahidiwa na serikali, je nani kajitokeza kumtaja mhusika wa ule mlipuko? Naomba mniambie kwa maswali yangu hayo mawili.
  20. ISSA SHARAFI

    Hivi wanasiasa wetu wanaijua siasa kweli

    Waungwana wanaJF nimejaribu kufuatilia baadhi ya viongozi (wanasiasa) wetu nikiwa na lengo kutaka kujua je ni kweli wanaijua siasa au ni wanasiasa tu wenye nia ya kurahisisha kula yao kupitia mgongo wa siasa. Kwa baadhi ya niliyojaribu kuwasikiliza na kusoma kauli zao nikagundua kuwa walio wengi...
Back
Top Bottom