ISSA SHARAFI
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 407
- 75
Najiuliza: Ni majibu yapi yamefikiwa juu ya ile tume ya uchunguzi wa lile bomu lililolipuliwa kule Arusha may 15 2013.
Pia kutokana na ile pesa iliyoahidiwa na serikali, je nani kajitokeza kumtaja mhusika wa ule mlipuko?
Naomba mniambie kwa maswali yangu hayo mawili.
Pia kutokana na ile pesa iliyoahidiwa na serikali, je nani kajitokeza kumtaja mhusika wa ule mlipuko?
Naomba mniambie kwa maswali yangu hayo mawili.