ISSA SHARAFI
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 407
- 75
"Chama tawala (CCM) hakijafanya chochote"....hii ni kauli ambayo watu mbalimbali wakiwemo wasomi na wanasiasa huwa hupenda kutamka pindi wanapotaka kutoa mapungufu ya chama tawala.....kwa upande wangu naipinga kauli hii kwan kuna mambo mengi ambayo yamefanyika tokea uhuru hadi sasa ktk nyanja tofauti kma vile elimu, barabara,mawasiliano na afya na mengine mengi ambayo tukianza kutaja hatuwez kumaliza.
Hoja yangu naitoa kwa kujaribu hali ya hvyo baadhi nilivyojaribu kuvitaja.
Cha msingi: Je wametufikisha pale tulipostahili kufika kama taifa lililoazmisha miaka 52 tokea uhuru? Jibu, kwangu hapana wameshindwa kutufikisha ktk mafanikio ya kuwa ktk maendeleo jambo ambalo hata nchi zilizopata uhuru nyuma yetu kma Afrika kusini nchi ambayo imetoka ktk orodha ya nchi za dunia ya tatu, Angola n.k.
Yapo mazuri wameyafanya ila hatukustahili hadi leo kuwa ktk hali hii........ni mawazo yangu tu Tuache hyo kauli.
Hoja yangu naitoa kwa kujaribu hali ya hvyo baadhi nilivyojaribu kuvitaja.
Cha msingi: Je wametufikisha pale tulipostahili kufika kama taifa lililoazmisha miaka 52 tokea uhuru? Jibu, kwangu hapana wameshindwa kutufikisha ktk mafanikio ya kuwa ktk maendeleo jambo ambalo hata nchi zilizopata uhuru nyuma yetu kma Afrika kusini nchi ambayo imetoka ktk orodha ya nchi za dunia ya tatu, Angola n.k.
Yapo mazuri wameyafanya ila hatukustahili hadi leo kuwa ktk hali hii........ni mawazo yangu tu Tuache hyo kauli.