ISSA SHARAFI
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 407
- 75
Wanajamvi
Ni kama wiki mbili sasa toka tumepandishiwa huduma ya umeme. Ila tatizo nashindwa kuelewa juu ya upandishaji huu kwani naona huduma haiko ya uhakika.
Ni sahihi kupandisha gharama ya umeme hali xa kuwa ni wa kusuasua ktk upatikanaji wake?
Ni mawazo yangu tu....tueleweshane kwa hili.
Ni kama wiki mbili sasa toka tumepandishiwa huduma ya umeme. Ila tatizo nashindwa kuelewa juu ya upandishaji huu kwani naona huduma haiko ya uhakika.
Ni sahihi kupandisha gharama ya umeme hali xa kuwa ni wa kusuasua ktk upatikanaji wake?
Ni mawazo yangu tu....tueleweshane kwa hili.