Mbona sielewi???????

ISSA SHARAFI

JF-Expert Member
Apr 25, 2012
407
75
Wanajamvi
Ni kama wiki mbili sasa toka tumepandishiwa huduma ya umeme. Ila tatizo nashindwa kuelewa juu ya upandishaji huu kwani naona huduma haiko ya uhakika.
Ni sahihi kupandisha gharama ya umeme hali xa kuwa ni wa kusuasua ktk upatikanaji wake?


Ni mawazo yangu tu....tueleweshane kwa hili.
 
Back
Top Bottom