Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Balozi Nchimbi akizungumza na Wanachama na Wananchi wa Mkoa wa Dar es Salaan Leo amesema.
Mkiwaona CHADEMA wana Andamana Mjue wameamua kutumia Miguu Kufikiri Badala ya Akili/Ubongo.
https://www.instagram.com/reel/C2UvdMwtYtD/?igsh=ZWNpZmN3OW8wdHJq
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi, Itikadi, Uenezi na Mafunzo ndugu Paul Makonda leo tarehe 1 December 2023 amemtembelea na kumshukuru Mufti wa Tanzania Dkt. Abubakary Zuberi bin Ally kwa kumuombea na kuanae katika nyakati zote alizo zipitia Ndg Makonda na kuendelea kupata Baraka...
Katibu Mwenezi Ndugu Paul Makonda amtembelea Mwadhama Kardinali Pengo Nyumbani kwake.
Lengo ni kumjulia hali na zaidi kuchota Hekima na Busara mbali na hayo!
Kubwa zaidi ni Kujikabidhi Mbele za Viongozi wa Dini ili nao wamuombee na Kumtakia Mema zaidi katika
utendaji kazi wake kwa nafasi hi ya...
Katibu Mwenezi wa CCM ana Majukumu ya Kujenga Chama Tanzania na Kuimarisha Matawi yote ya Nje ya Nchi. Nakukumbusha tu kuwa Katazo la hao Mabeberu halina Maana yoyote kwa CCM wala kwake Paul.
Anaichapa kazi na Maisha yake yanakwenda vyema sana bila hilo Taifa la Marekani.
Wewe angalia Siasa ya...
MAPOKEZI YA PAUL C. MAKONDA KULISIMAMISHA JIJI LA DAR ES SALAAM SIKU YA ALHAMISI.
Siku ya Alhamisi 26/10/2023 Saa 03:00 Asubuhi, Katibu mwenezi wa Taifa Ndugu Paul C. Makonda anatarajiwa kupokelewa Rasmi Ofisi Ndogo ya Makao Makuu Lumumba, Mkoani Dar es Salaam.
Viongozi, Wanachama wa CCM...
Prof Maluma hapaswi Kulaumiwa kabisa, Binafsi namuelewa sana shida ni Mkataba ambao unamlazimu autetee kwa Vifungu kinzani ambavyo vinazidi Nguvu ya Mkataba wake hata ungekuwa wewe ungefanyaje apo.
Tunapaswa Kumpongeza kwa Ujasiri na Uimara wake kuendelea Kutetea na Kusimamia Misimamo ya...
SAKATA LA MAKONDA! WAKO WAPI WAANDISHI WA HABARI ZA KIUCHUNGUZI?
Jamaa anaedai Kumdai Alokuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Ndugu, Paul Makonda kumbe ni Tapeli na Kashatapeli wengi tu Hapa Nchini Tanzania.
Cha Ajabu ni Waandishi wetu kuandika Habari Nyepesi nyepesi na Kuacha Mambo ya Msingi...
Ni Mambo ya Aibu sana haya!
Lakini kama wewe hautumii wala hauishi kando mwa Mto ama hautegemei Kipato chochote kutokana na Mto Huu Busara ni kuthamini wenzio wanaotumia Mto huo.
Wananchi wanalalamika kwa kuumia na Maji hayo alafu Mbunge unasimama na kutetea kwa kuwahamasisha waendelee...
UZINDUZI WA UVCCM JOGGING CLUB CHAMWINO WAFANA SANA.
Mapema leo UVCCM Wilaya ya Chamwino wamezindua UVCCM JOGGING CLUB kisha wakafanya BONANZA la Michezo mbalimbali ikiwemo cricket, Kula Matikiti, Kunywa Soda, woodball nk.. zaidi zoezi la Uchangiaji Damu Salama Salama pia lilifanyika. Michezo...
Kila siku huwa tunawaambia Vijana wenzetu kuwa CHADEMA na Vyama Vingine sio Vyama Makini vinavyojenga Taasisi ambayo ina Malengo Chanya na Mlengo wakufanya siasa Bora naza kujipanga kiuongozi. Viongozi wa CDM wamekaa Kimaslahi na Kila wanachokifanya kina mlengo waupigaji tu, Ndio Maana utagundua...
Na. Egla Mamoto
Wakati Serikali Ya Awamu ya Tano Ya Rais Dr.John Pombe Joseph Magufuli ikilaumiwa na Baadhi ya wapotoshaji eti imejikita katika ujenzi wa Uchumi wa Vitu Badala ya Uchumi wa watu, napenda kuifahamisha Jamii kuwa "Serikali inapojenga UCHUMI WA VITU ni wakati huo huo ndipo inajenga...
NAONGEZA SAUTI, PART 3
Nawashangaa sana wale ambao mnafuata mkumbo bila kujua mnachokifuata
Chadema ni mradi
Chadema ni biashara kama biashara nyingine
Mimi naijua chadema vyema kuliko wewe unaetukana na kubeza juhudi anazofanya JPM kulijenga Taifa letu.
Mimi nikiwa Mwenyekiti wa Chadema UK...
Mgombea wa Urais wa Tiketi ya CHADEMA amekuwa hana Sera anazozinadi mbele ya wananchi wanaojitokeza kwenye Mikutano yake zaidi ana agenda za Matusi, Kejeli, Dhihaka nk... dhidi ya Mgombea wa CCM ndg Magufuli.
Anaiponda Serikali ya CCM kuleta Maendeleo ya Vitu hapo hapo anasema nayeye ataleta...
Hili ndio Nyomi la Uzinduzi wa Mampezi za Kitaifa za Urais za Chama cha ACT Wazalendo.
Na naambiwa kuna Changamoto za Malipo ya Jukwaa mpaka sasa kwamba Jukwaa halijalipiwa sasa sijui Kweli [emoji2305] aaah[emoji23]
Vipi wazee!
wataweza Mziki wa CCM hawa ACT?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.