mufti

A Mufti (; Arabic: مفتي) is an Islamic jurist qualified to issue a nonbinding opinion (fatwa) on a point of Islamic law (sharia). The act of issuing fatwas is called iftāʾ. Muftis and their fatwas played an important role throughout Islamic history, taking on new roles in the modern era.Tracing its origins to the Quran and early Islamic communities, the practice of ifta crystallized with the emergence of the traditional legal theory and schools of Islamic jurisprudence (madhahib). In the classical legal system, fatwas issued by muftis in response to private queries served to inform Muslim populations about Islam, advise courts on difficult points of Islamic law, and elaborate substantive law. In later times, muftis also issued public and political fatwas that took a stand on doctrinal controversies, legitimized government policies or articulated grievances of the population.Traditionally, a mufti was seen as a scholar of upright character who possessed a thorough knowledge of the Quran, hadith and legal literature. Muftis acted as independent scholars in the classical legal system. Over the centuries, Sunni muftis were gradually incorporated into state bureaucracies, while Shia jurists in Iran progressively asserted an autonomous authority starting from the early modern era.With the spread of codified state laws and Western-style legal education in the modern Muslim world, muftis generally no longer play their traditional role of clarifying and elaborating the laws applied in courts. However, muftis have continued to advise the general public on other aspects of sharia, particularly questions regarding religious rituals and everyday life. Some modern muftis are appointed by the state to issue fatwas, while others serve on advisory religious councils. Still others issue fatwas in response to private queries on television or over the internet. Modern public fatwas have addressed and sometimes sparked controversies in the Muslim world and beyond.The legal methodology of modern ifta often diverges from pre-modern practice. While the proliferation of contemporary fatwas attests to the importance of Islamic authenticity to many Muslims, little research has been done to determine to what extent the Muslim public continues to acknowledge the religious authority of muftis or heeds their advice.

View More On Wikipedia.org
  1. H

    Shekh Zuberi Mufti wa Tanzania ni wazi anahitaji msaada

    Leo kwa bahati nzuri nimepitia sehemu nikakuta kuna issue ya msikiti wa Mtoro wakimuoba msamaha Mufti, nikataka kuangalia nini kimetokea tarehe 29 ya Ramadhan. Nikarudi kutafuta clip nikaipata kumbe kuna Shekh msikitini alisahihisha kauli ya kidini aliyotoa siku alipoenda kufunga darsa wanaita...
  2. Uzalendo wa Kitanzania

    Mufti afungua rasmi dua kubwa ya kimataifa

    Hatimaye siku adhimu na tukio muhimu, nyeti na lenye kupendeza kwa Allah na mtume wake, Muda wa kuanza dua kubwa umewadia. Samaha Mufti wa Tanzania, Mujaddidul Asri, amefungua Dua Kubwa ya Kimataifa leo Alhamisi Alfajiri kwenye msikiti mkuu Bakwata makao makuu, msikiti wa Mfalme Mohammed...
  3. Peter Dafi

    Mufti Watanzania Dkt. Abubakari Zuberi Ally amfanyia dua maalum Paul Makonda

    Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi, Itikadi, Uenezi na Mafunzo ndugu Paul Makonda leo tarehe 1 December 2023 amemtembelea na kumshukuru Mufti wa Tanzania Dkt. Abubakary Zuberi bin Ally kwa kumuombea na kuanae katika nyakati zote alizo zipitia Ndg Makonda na kuendelea kupata Baraka...
  4. Uzalendo wa Kitanzania

    Hotuba nzito na muhimu ya Mufti Shekh Abubakar Zubeir

    HOTUBA MZITO NA MUHIMU YA MUFTI SHEKH ABUBAKAR ZUBEIR Kutoka Ukurasa wa Sheikh Ibrahim Ghulaam Asema BAKWATA ndiyo mama wa Taasisi zote za Kiislamu nchini Taarifa kwa hisani ya Harith Nkussa Mwandishi maalumu wa Mufti 🔷Ofisi ya Mufti yawataka Viongozi wa taasisi za kiislamu kote nchini na...
  5. Buenos Aires

    Neno la Mufti wa Oman kuhusu Sweden

    Neno la Mufti wa Oman Samaahat Sheikh Ahmad Bin Hamad Al-khalil (Rahimahullah), kuhusu Sweden
  6. mama D

    Wajukuu wa Ibrahimu katika picha, Kuhani na Mwalimu Musa Richard Mwacha na Sheikh Mkuu Mufti Abubakar Zubeir

    Upendo + Umoja + Mshikamano = Amani MWANZO 17: 1-22 "Abramu akaanguka kifudifudi. Mungu akamwambia, akasema, Mimi, agano langu nimefanya nawe, nawe utakuwa baba wa mataifa mengi. Agano langu nitalifanya imara kati ya mimi na wewe, na uzao wako baada yako, na vizazi vyao, kuwa agano la...
  7. Sol de Mayo

    Mufti Al Khalil: Mapambano ya Rais wa Uganda dhidi ya ushoga

    Allah amjaalie Mufti huyu afya njema na umri mrefu wa kuishi, Aamiin! Museven, Mwenyezi Mungu akubariki, hakika upo 💪🏽 huyumbishwi na wamagharibi. Moderator kwa hisani yenu, mmeshanifutia nyuzi zangu zaidi ya moja, nimeongea hamkunielewa, basi kwa leo nawaombeni muiache hii Waabheja sana bhabhaa
  8. Ex Spy

    Viongozi wa Tume ya Marekebisho ya BAKWATA wajiuzulu. Mufti Abubakar Zubeir adaiwa kuiendesha kama genge

    Mufti Abubakar Zubeir amedaiwa kuwa hajui namna ya kuendesha BAKWATA kiutawala na kwa hivyo tokea ameingia madarakani amekuwa akiendesha ofisi yake na BAKWATA kama duka lake au genge. Endapo mamlaka ikiamua kufanya uchunguzi wa kina itaona kuwa hiyo ndio hali ilivyo ndani ya BAKWATA...
  9. T

    Rais Samia: Nilipoingia ofisini tu Mufti alinijia na furushi la migogoro ya mali za BAKWATA, ila tatizo wamelitengeneza wenyewe

    Nilimsikia Rais akihutubia Baraza la Eid alisikika akisema alipoingia madarakani tu Mufti alimjia na lundo la mafaili ya migogoro ya mali za Waislamu. Akasema kwa bahati mbaya alipochunguza mafaili yale yana utata kwa kuwa wahusika wakubwa wa hizo sintofahamu ni wahusika wenyewe. Naomba kwa...
  10. ChoiceVariable

    Mufti Zubeir: Serikali inunue chombo cha kutazamia mwezi

    Swali, Je ni jukumu la Serikali kufanya masuala ya dini? Pili,Kuomba Serikali ifanye sio vibaya maana ni ombi. === Mufti wa Tanzania, Sheikh Abubakar Zubeir amekemea ufisadi, akihimiza jamii kulinda maadili, umoja na mshikamano, huku akiwaomba viongozi wa Serikali na wadau kusaidia upatikanaji...
  11. Rwetembula Hassan Jumah

    Napata mashaka ya kwamba uisalam ulikuwepo kabla ya Mtume Mohammad japo mimi ni muislamu, Mufti nijuze

    Dini na siasa, tena serikali ya shetani na viongozi wa dini wamezama kwenye dimbwi. Halafu kuna hadith pamoja na aya wanatupiga nazo kuwa tuwatii viongozi wetu. Hapa kweli uislamu utarudi mgeni! Nchi ya Saudia inaongozwa na Sunni (Mtume alikuwa muislamu hakuwa na dhehebu, Iran waislam wengi...
  12. Rwetembula Hassan Jumah

    Waislamu wa Tanzania wanasubiri Mufti atangaze Mwezi hadithi inasemaje?

    Waislamu wa Tanzania mnaomfuata Mufti Eid yenu ni lini. Kesho ni Eid fitri Saudi Arabia, UAE announce Eid al-Fitr will start on Friday Amani Hamad, Al Arabiya English Published: 20 April ,2023: 05:26 PM GSTUpdated: 20 April ,2023: 07:53 PM GST The first day of Eid al-Fitr will begin on Friday...
  13. BARD AI

    Mufti Zubeir amteua Sheikh Ngeruka kuwa Naibu Kadhi Mkuu

    Mufti wa Tanzania, Sheikh Mkuu, Abubakari Zubeir amemteua Sheikh Ally Ngeruka kuwa Naibu Kadhi Mkuu wa Tanzania na ustaadh Said Mwenda Anayekuwa Kaimu Naibu Katibu Mkuu wa Utawala na Fedha wa Bakwata. Taarifa iliyotolewa jana Jmatano Aprili 13, 2023 na Msemaji wa Mufti, Sheikh Khamis Mataka...
  14. Replica

    BAKWATA yawataka Watanzania kukataa ndoa za jinsia moja, Mufti ashangazwa wanaume kulawitiana ilhali wanawake wa kuolewa wapo

    Mufti wa Tanzania, Abubakar Zuberi ameshangazwa na watu wanaoshiriki mapenzi ya jinsia moja kutokemewa lakini badala yake wanalindwa na kutafutiwa uhalali wa ndoa akiwataka Watanzania wote kulaani na kukataa ndoa za jinsia moja nchini. Mufti alitoa hadithi ya nabii Lut ambapo jamii yake...
  15. Roving Journalist

    Mufti wa Tanzania aivunja Kamati ya Mwezi na kuunda Mpya. Aiongezea nguvu

    BAKWATA inapenda kuufahamisha Jamii ya Waislam kuwa Mheshimiwa Mufti wa Tanzania ameivunja kamati ya Mwezi iliyokuwepo na kuunda kamati Mpya na kuoongezea nguvu.
  16. D

    Dodoma: Mapokezi ya Alhad Musa Salum yazua Taharuki, Waislam Wamwandikia barua Mufti

    Barua ya Wazi Assalaam Alaykum, Sheikh Mkuu, Mufti wetu wa Tanzania, nimeguswa kukuandikia barua hii ya wazi ama kwa kuhoji na kutaka ufafanuzi, ama kwa kushangazwa na nilichokiona. Kama nilivyoshangazwa, nimefuatilia kwa ndugu zetu wengi katika imani, ama kwa hakika, tukio ninalolileta kwako...
Back
Top Bottom