Peter Dafi
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 388
- 270
SAKATA LA MAKONDA! WAKO WAPI WAANDISHI WA HABARI ZA KIUCHUNGUZI?
Jamaa anaedai Kumdai Alokuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Ndugu, Paul Makonda kumbe ni Tapeli na Kashatapeli wengi tu Hapa Nchini Tanzania.
Cha Ajabu ni Waandishi wetu kuandika Habari Nyepesi nyepesi na Kuacha Mambo ya Msingi sana yanayo Muhusu Bwana Kamwelwe.
Taarifa zinaonesha kuwa Kamwelwe ni Tapeli wa Kimataifa na Kwao ni Burundi, Watu waliotapeliwa na Mrundi huyo ni wengi sana. Lakini mshangao ni Kwanini tapeli aonekane Malaika wakati taarifa zake zinajulikana huko Mtaani?
Sio Wema tu aliewahi kulalamika wala siyo wafanya biashara wa Madini, Muhuni Kamwelwe kashawaliza Wengi sana Hapa Nchini mpaka akakimbia Tanzania baada ya Kujua anakaribia Kukamatwa kwa Utapeli wake.
Yani kila kona anatapeli huku akisafishwa ma magazeti wakati kumbe hata nchini kwake ni BURUDI.
Na Inasemekana huko Burundi kwao haruhusiwi kukanyaga Sababu Serikali ina Taarifa za Utapeli wake na Imemtimua.
Sasa Ajabu ni Mkimbizi anasumbua Raia wa Nchi yao na Taariza za Uchafu wake watu hawazichimbui.
Tizama hizi Nyaraka Muhuni alivyo Gushi.
Sauti kutoka Nyikani