Peter Dafi
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 388
- 271
Katibu Mwenezi Ndugu Paul Makonda amtembelea Mwadhama Kardinali Pengo Nyumbani kwake.
Lengo ni kumjulia hali na zaidi kuchota Hekima na Busara mbali na hayo!
Kubwa zaidi ni Kujikabidhi Mbele za Viongozi wa Dini ili nao wamuombee na Kumtakia Mema zaidi katika
utendaji kazi wake kwa nafasi hi ya Ukatibu Wenezi wa Chama cha Mapinduzi.
View: https://youtu.be/yiydu8e3Yxo?si=1Qf4V9wqHjsY7Z-i
Lengo ni kumjulia hali na zaidi kuchota Hekima na Busara mbali na hayo!
Kubwa zaidi ni Kujikabidhi Mbele za Viongozi wa Dini ili nao wamuombee na Kumtakia Mema zaidi katika
utendaji kazi wake kwa nafasi hi ya Ukatibu Wenezi wa Chama cha Mapinduzi.
View: https://youtu.be/yiydu8e3Yxo?si=1Qf4V9wqHjsY7Z-i