Search results

  1. Librarian 105

    Nani anafanya vetting dhidi ya wateule wa Rais? Chalamila alifukuzwa shule sasahivi ni mkuu wa mkoa

    Hadi umeona hilo tambua sasa rushwa na ufisadi umeshahodi njia za utawala na uongozi
  2. Librarian 105

    Nani ameiua hotel ya kifahari ya Ngurdoto Mountain Lodge-Arusha kiasi cha kubaki magofu?

    Tupo nje ya duara la kufahamu yaliyojiri hata ikafa, hivyo wengi tunaongozwa na dhana.
  3. Librarian 105

    Msaada: Biashara unayoweza kufanya kwa mtaji wa Tsh. Milioni 20

    Biznes bila stress=life bila umri ; ni kitu isiyowezekana. Angalau ngeuliza bizness yenye potential kubwa kisoko na economic profits
  4. Librarian 105

    SoC03 Maadili na uwajibikaji ukokotezwe katika utamaduni wa Mtanzania kustaarabisha mifumo ya kisiasa na kijamii nchini

    UTANGULIZI Ukarimu ni mfano mmojawapo wa kete wanayotumia wanasiasa na viongozi wa serikali kusisitiza Watanzania kuuenzi utamaduni wa Mtanzania. Kimsingi ni malengo yetu sote tuufikie ustaarabu wa kijamii ambao binafsi siuoni ukikidhi kikamilifu vipengele vya utamaduni huo. Isitoshe una kasoro...
  5. Librarian 105

    Mo Dewji: Karibuni nitaikatia tamaa Simba

    Ningemwelewa kama angebainisha eneo ambalo hiyo transformation imekwamia. Hapo ni katupa jiwe gizani na huenda linaweza kumrudia hata yeye mwenyewe. Poor tweet!
  6. Librarian 105

    Kufanya biashara ya ubia partnership na mbongo bora pesa yako ujenge nyumba ya wapangaji

    Ndo mana mi ubia na ndugu ni kumfungulia genge la mboga na matunda au kijiwe cha kahawa tu. Ili mizinga ipungue
  7. Librarian 105

    Vitendo vya kihalifu nchini tishio kwa usalama wa raia na mali zao

    Umelishwa tango pori na mindset za royal blood versus gentiles. Soma historia za uwepo wa ancient kingdom zilizokuwepo Africa kabla ya colonialism. Hao "half-mad mindset and self-esteems" waliwezaje kujitawala kabla ya uvamizi wa hao weupe wako?!
  8. Librarian 105

    Vitendo vya kihalifu nchini tishio kwa usalama wa raia na mali zao

    ni majanga kwa kweli. Hiyo kausha damu utasema ni mmomonyoka wa maadili?! Umasikini wa raia imekua fursa kwa wanyang'anyi wa kalamu, serikali nyuti kimya.
  9. Librarian 105

    Vitendo vya kihalifu nchini tishio kwa usalama wa raia na mali zao

    Ni ukibaka maarufu hapa arusha wa kutumia bodaboda nyakati za usiku, vijana wanakua watatu kwy pikipiki moja na visu na mapanga
  10. Librarian 105

    Vitendo vya kihalifu nchini tishio kwa usalama wa raia na mali zao

    Ukatili na matendo ya unyang'anyi kama vile panyaroad, tatu mzuka na uhalifu wa aina nyingine nchini tayari ni tishio kwa usalama wa raia na mali zao. Hatua za kuudhibiti naona ni kama zinaenda kwa zimamoto huku vijana wengi wakizidi kujiingiza kwenye u-panya road, tatu mzuka, na matendo...
  11. Librarian 105

    Watanzania milioni 60 tumeshindwa kununua Crane za kushusha mizigo kwa ufanisi bandarini?

    Hayo ukistaajabu leo mie nimeshastaajabu zaidi ya ha yo: kama vile hisani za matundu ya choo, tasaf za kulea kaya maskini,
  12. Librarian 105

    Wanawake wamekuwa maadui na vikwazo vya maisha yangu hapa duniani

    Vipi ukikuta mama yako ndio jirani yako huko mbinguni!?
  13. Librarian 105

    Nani ungempendekeza awe Rais wa Tanzania?

    System ndo mbovu, watu sio tatizo bali wanalishwa ubovu kutokana na matokeo ya system.
  14. Librarian 105

    Ogopa Teknolojia: Nimeweka mkataba wa bandari kwenye Chat-GPT, Imejibu kwamba bandari zitakuwa za DP World Milele!

    Tuliambiwa tutaisoma namba : na bado hata hatujafika elfu tano!!!!!!
  15. Librarian 105

    Mkataba wa Bandari, Wabunge wasema waliburuzwa

    Inaweza kuwa fiction au non-fiction. Ukizingatia solid evidence hakuna, tukutane kwy roundtable kugonga cheers ku enjoy siku ya leo, ya nini kujichosha na siasa za kusadikika?! Tutafute hela za kuhudumia familia zetu, kelele tumeshapaza, kama hawajasikia tufanyaje?!
Back
Top Bottom