Librarian 105
JF-Expert Member
- May 6, 2023
- 239
- 325
Ukatili na matendo ya unyang'anyi kama vile panyaroad, tatu mzuka na uhalifu wa aina nyingine nchini tayari ni tishio kwa usalama wa raia na mali zao.
Hatua za kuudhibiti naona ni kama zinaenda kwa zimamoto huku vijana wengi wakizidi kujiingiza kwenye u-panya road, tatu mzuka, na matendo mengine ya uporaji.
Hili tatizo baadhi ya viongozi wa serikali wanaona ni kuporomoka kwa maadili ya jamii, lakini wanajisahaulisha "makusudi" kuwa ni tatizo la kimfumo na sera za kiuchumi kutokugusa ukuaji wa pato la familia nchini. Mabadiliko muhimu, lakini kwa mindset za viongozi wetu, ni kujiandaa tu na safari ndefu isiyo na uhakika wa kufika nchi ya ahadi.
Hatua za kuudhibiti naona ni kama zinaenda kwa zimamoto huku vijana wengi wakizidi kujiingiza kwenye u-panya road, tatu mzuka, na matendo mengine ya uporaji.
Hili tatizo baadhi ya viongozi wa serikali wanaona ni kuporomoka kwa maadili ya jamii, lakini wanajisahaulisha "makusudi" kuwa ni tatizo la kimfumo na sera za kiuchumi kutokugusa ukuaji wa pato la familia nchini. Mabadiliko muhimu, lakini kwa mindset za viongozi wetu, ni kujiandaa tu na safari ndefu isiyo na uhakika wa kufika nchi ya ahadi.