Vitendo vya kihalifu nchini tishio kwa usalama wa raia na mali zao

Librarian 105

JF-Expert Member
May 6, 2023
239
325
Ukatili na matendo ya unyang'anyi kama vile panyaroad, tatu mzuka na uhalifu wa aina nyingine nchini tayari ni tishio kwa usalama wa raia na mali zao.

Hatua za kuudhibiti naona ni kama zinaenda kwa zimamoto huku vijana wengi wakizidi kujiingiza kwenye u-panya road, tatu mzuka, na matendo mengine ya uporaji.

Hili tatizo baadhi ya viongozi wa serikali wanaona ni kuporomoka kwa maadili ya jamii, lakini wanajisahaulisha "makusudi" kuwa ni tatizo la kimfumo na sera za kiuchumi kutokugusa ukuaji wa pato la familia nchini. Mabadiliko muhimu, lakini kwa mindset za viongozi wetu, ni kujiandaa tu na safari ndefu isiyo na uhakika wa kufika nchi ya ahadi.
 
Ukatili na matendo ya unyang'anyi kama vile panyaroad, tatu mzuka na uhalifu wa aina nyingine nchini tayari ni tishio kwa usalama wa raia na mali zao.

Hatua za kuudhibiti naona ni kama zinaenda kwa zimamoto huku vijana wengi wakizidi kujiingiza kwenye u-panya road, tatu mzuka, na matendo mengine ya uporaji.

Hili tatizo baadhi ya viongozi wa serikali wanaona ni kuporomoka kwa maadili ya jamii, lakini wanajisahaulisha "makusudi" kuwa ni tatizo la kimfumo na sera za kiuchumi kutokugusa ukuaji wa pato la familia nchini. Mabadiliko muhimu, lakini kwa mindset za viongozi wetu, ni kujiandaa tu na safari ndefu isiyo na uhakika wa kufika nchi ya ahadi.
"Blacks are born with an a half-mad mindsets and self esteems".
By Jan Smuts.

Kwa hiyo hilo unalotaka halitawezekana, it's just a pipe-dream.
 
"Blacks are born with an a half-mad mindsets and self esteems".
By Jan Smuts.

Kwa hiyo hilo unalotaka halitawezekana, it's just a pipe-dream.
Umelishwa tango pori na mindset za royal blood versus gentiles.
Soma historia za uwepo wa ancient kingdom zilizokuwepo Africa kabla ya colonialism. Hao "half-mad mindset and self-esteems" waliwezaje kujitawala kabla ya uvamizi wa hao weupe wako?!
 
Back
Top Bottom