Nashida ya kazi, nilipokua nafanya kazi Kampuni imefungwa.
Jamani hata iwe ya maslahi madogo ile iwe ya uhakika tu, hata kazi ya usaidizi ofisini, hata dukani.
Hata kazi ya kusimamia choo cha sokoni.
Napatikana Dar es Salaam.
Ndoa Ina gharama yake kabla ya kuwa ndoa wanawake wengi hawalipi hio gharama at first baadae wanapostuka wanataka kufanya janjajanja wanaishia kupigwa tu na wengine kuishia kuwa single mother
Mahusiano yanapoanza yanakuwa motomoto katika kipindi Cha miezi mitatu ya mwanzoni kila mtu anakuwa...
Wazee kwani huku KIMARA kupoje? Nimekuja mara kadhaa huu mwezi lakini nashangaa bei za vyakula hasa vitafunwa, yaani vile vitu huku Temeke na viunga vyake vinauzwa 100 TZS mfano andazi, mihogo ya mia huku KIMARA wanauza 200 alafu kumekaa kama sio DSM kama mkoani fulani hasa Kimara Suka.
Ndugu Nina Hali mbaya Sana.
Naomba kibarua chochote sio kazi ya kuajiriwa ukiwa na kazi Kama hizi nafanya
1)Udobi (kazi ya kufua au kupiga pasi)
2)Kufyeka nyasi
3)Kunituma/Kuniagiza kitu DSM
4)NK
Napatikana DSM
Upatikani wa kazi kwa njia ya kutuma CV ONLINE imekuwa ngumu Sana kupata kazi
Nataka kuanza kwenda kuomba kazi physical changamoto yake inabidi ujitoe ufahamu kwenda sehemu wajasema wanataka wafanya kazi unaenda nahitaji kazi at least tuwe wawili aise nani aungane na Mimi 😂
Niko Temeke Kama...
Habari wapenzi wa movie, ni mwaka mwengine wa 2023 kuna movie mbalimbali kali zinategemewa kutoka huu mwaka kwa wapenzi wa movie huu mwaka ni wamoto sana
Mwaka 2022 zimetoka movie kali sana asilimia 90 ya movie zilizotoka mwaka jana hasa zile maarufu nimefanikiwa kuziangalia kwasababu...
Kulingana na tupo kwenye era ya teknolojia napenda kuanzisha mjadala.
Mjadala:
Endapo kijana/vijana wana aina zifuatzo za mtaji
1)Mtaji pesa
2)Digital devices(Computer, Smartphone nk)
3)Basic Computer skill mf Ms Office
Kijana/Vijana hawa wanaweza kuanzisha mradi gani kama Side Hustle ambao...
Habari,
Video Subtittling ni moja Soft Skills ambayo inahitajika sana katika majukwaa ya kazi za mtandaoni (Freelancing Platforms), kwa anayehitaji kuanza Skills hii ya video Subtittling nimeandaa training fupi na rahisi Zaidi kuelewa.
Mafunzo utalipia 20,000 TZS pesa ambayo ukiipata Skills...
Anayetaka kujifunza Sub-tittles ili afanye kazi zake au kuuza kama ujuzi kupitia Freelancing.
Nafundisha uso kwa uso hapo hapo mpaka unaelewa
Nafundisha kwa 20,000 tu ndani ya siku moja una-Master na naku Direct baadhi ya Software za kuwa nazo.
*Jinsi ya kuweka Sub-tittles
*Jinsi kuiweka...
Habari
Tumefanikiwa kufungua kituo cha Tuition maeneo ya Charambe Majimatitu, mwezi ujao tunafanya programu ya Pre-Form One kwa wanaomaliza darasa la saba.
Tumefanikiwa kuweka matangazo ya kitambaa na karatasi.
Cost zilizobaki
A) kwenda mashuleni (shule 5).
B) Vipeperushi & T-shirt
C)...
A-level
Kwa wale
Form five
Lisiters
QT
Walimu
Sasa notes zote zinapatikana kwa mfumo wa softctopy full package unatumia mpaka unamaliza A-level.
Ni masomo yote matatu (3) ya combination kila somo (1 na 2) jumla vitabu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.