Black Bolt
JF-Expert Member
- Jun 5, 2021
- 257
- 415
Wazee kwani huku KIMARA kupoje? Nimekuja mara kadhaa huu mwezi lakini nashangaa bei za vyakula hasa vitafunwa, yaani vile vitu huku Temeke na viunga vyake vinauzwa 100 TZS mfano andazi, mihogo ya mia huku KIMARA wanauza 200 alafu kumekaa kama sio DSM kama mkoani fulani hasa Kimara Suka.