Leo nitaongelea dhana hii katika approach ifuatayo, mara nyingi kwenye himaya ya shujaa vilio huwa ni vya mara kwa mara maana yeye mara nyingi anawindwa na maadui wa hapa na pale.
Tuje sasa kwenye kiini ya mada. Kijana umemaliza chuo umeenda kwa wazazi ukaona kwa kipindi hiki ambacho ajira...
Ilibidi nikatize zoezi nisije shitakiwa na kwa kosa la mauaji. Kabla ya hapo niliulizwa “nimejifunzia wapi?”
Tafadhali wakuu wazoefu, nini maana yake? Je, hatua niliyochukua ni sahihi?
Hello, hope this email finds you well,
The Government in association with USAID is giving out funds to entrepreneurs in order to improve their businesses during this time. First consideration goes to those that have ever applied for a grant before. For approval see the attachments below for...
Wakuu,
Nimeona members mbalimbali zikielezea kua mahali fulani hapa Tanzania pazuri kuanzia maisha. Mfano, kuna mtu ameelezeea ishu ya Rungwe - Tukuyu; wengine Tanga, wengine Morogoro (Mji Kasoro Bahari)
Lakini wengine wakifika even nje ya mkoa. Sasa najiuliza what about Iringa region...
Wakuu nipo Iringa kuna ndugu hana access na social network amekuja TV yake imevuja wino kama kuna mtu Ana connection mahali tufanye biashara mpunga upo!
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu naomba Kuuliza ukisikia ke anasema amechoka time ya sex ina maana gani na unatakiwa uchukue hatua gani kipind cha sex?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu nina dhamira ya kuanza kujifunza kutengeneza simu both software and hardware.. Naombeni nijue wapi naweza anza.. Ajira zimekua kero sasa bora nizamie huku..
Asante!
Sent using Jamii Forums mobile app
Msaada kwa mwenye soft copy Topic ya plate tectonics theory Geography A level nimfuate pm nitampa email a nitumie asante
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu sawa na kichwa cha habari hapo juu. Changamoto ni mtaji wa kununua malighafi na kujua wapi naweza pata soko la bidhaa.
Naomba ushauri wakuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Waya wa friji kichwa kimepasuka nimepata kichwa kingine imara sasa changamoto kwa ndani kuna nyaya mbili ila friji ina njia 3. Msaada wakuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu ukisoma dalili za mwisho wa Dunia katika mathayo 24:7 tafsiri halisi angalia biblia ya king James vision, utakuta neno PESTILENCES >> ni magongwa ya milipuko ambayo inaambukiza wengi kwa muda mfupi na kuua wengi..
Matthew 24:7 For nation shall rise against nation, and kingdom against...
Nilitoka mwaka jana mwezi wa 6 kutoka masasi. Baada ya kufeli biashara moja wapo kule Masasi, Nilikuja fuata cheti chuo kimoja wapo hapa Iringa nikatoa photocopy kama 20 hivi nikapeleka barua shule mbalimbali za hapa town sikuambulia chochote.
Nilikuwa nimejishikiza kwa rafiki baadae mwezi wa 8...
Wakuu katika kipindi hiki cha msukosuko wa uchumi, hali ya kipato kuwa ngumu, bei za vyakula kupanda, kuna ongezeko la watu ama mtu binafsi kukumbwa na stress na panic attacks za mara kwa mara.
Tafadhali yafuatayo ni mambo ya msingi uyafanye ili kujiepusha na majanga zaidi ikiwemo kifo.
1...
Wakuu hawa TAMISEMI siwaelewi kabisa. Naomba muongozo jinsi ya kufika Burkina Faso kwenda kusaka ajira ya Ualimu, haiwezekani huu mwaka wa 3 serikali inatuangalia tu. Mara ooh kujitolea Temeke.
NB: Nikifika kule nitawashtua watu waje kuangalia fursa zingine.
Asanteni
Jiko la gesi complete, yaani kweli uchumi si mzuri, nimeingia mjini leo nina elfu 38000 pungufu shilingi 2000 sehemu 4 kote wamekataa kunipunguzia elfu 2000 lengo nifanye nauli ya kurudi maskani lakini ilishindikana.
Wafanyabiashara wakati mwingine mtuhurumie tu wengine tunabeba zege tunajipiga...
Wakuu sijaelewa kuhusu hii habari:
"NEWS KWA WALIMU HALMASHAURI YA MANISPAA YA TEMEKE IMETENGA NAFASI 155 ZA AJIRA UALIMU KUJITOLEA"
Watakaofanya Vizuri Kuajiriwa Moja Kwa Moja July katika Ajira 400 Za Ualimu Temeke.
Sasa ina maana kwamba ajira mwezi wa pili hakuna au?
Sasa watu 155 wakati...
Hahaha sitosahau nilikimbia kazi hii nilikuta tangazo limenoga kama hivi nikajua nimepata kazi kumbe dah hawa jamaa..
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.