Kuna hospitali ipo wilaya ya Mwanga, imefanana na hospitali ya Ocean road iliyopo Dar es salaam, Mmiliki wake ni Dr Ngoma yule mwenye "MAMA NGOMA HOSPITAL"
Swali langu kwanini inachelewa kufunguliwa?
Habari wakuu?
Nina mdogo wangu anaogombea uongozi shule anayosoma.
Kilichonishangaza amewaambia wanafunzi wenzake "If i get elected all students will get less home-works"
NB: Politicians are not born, they are made
"who lies best, wins."
Habari wakuu?
Nipo kwenye mahusiano na mwanamke ana mtoto mmoja, ambaye alimpata akiwa ndoani lakini baadae baba wa huyo mtoto alikufa kwa ajali. Anamtambulisha huyo mtoto kwangu kama baba yake kamili(kwangu hili sio shida)
Nataka nitoke kwenye ujana nafikiri huu ni muda sahihi kwangu wa kuoa...
Msaada
Wakuu wapi naweza kupata jenereta ndogo za ku-pump maji kwaajili ya kumwagilia kwa maeneo ya Moshi au Arusha na bei zake zipoje
Pia naomba msaada ni vitu gani vya kuangalia kabla hujalinunua
Asanteni sana
Kuna video inasambaa inasemekena ni Moshi kuna wagonjwa wamekutwa na corona airport..
Nimeshindwa ku-upload hiyo video.. Nimeweka tu screenshot za picha..
Updates
inavosemekana hao waathirika walipokelewa pale airport... Halafu wakapelekwa Mawenzi hospital
(mawenzi ndio sehemu iliyotengwa...
Habari wakuu?
Watu wengi hapa kwetu Tanzania wakiona nyoka kitu cha kwanza wanawaza ni kumuua. Bila kujua nyoka wana faida nyingi sana katika eco-system na pia wanaweza kutumika katika tafiti mbalimbali za kisayansi.
Ikumbukwe siyo nyoka wote wana madhara kwa binadamu bali wana faida kwetu...
Baada ya kusoma mpe ushauri huyu bidada...
I am a Banker in my early 30s and going through a messy divorce. I married my husband as a virgin. I have never been with any man but him until I was raped.
I didn't know anything about orgasm, climax or what have you because I have never experienced...
Kama wewe ni mkazi wa Dar es salaam, Morogoro au maeneo ya karibu, kuna ofa maalum kwaajili yako msimu huu wa sikukuu.
Tembelea hifadhi ya Mikumi kwa gharama ya shilingi laki tatu (300K)
Utapata usafiri kutokea Morogoro mjini na kuingia ndani ya hifadhi kwa siku nzima
Ofa hii haijumuishi...
Huyu jamaa JASON ROGER POPE, maarufu kama "Dj KID" anayeishi huko Florence, South carolina, anatuhumiwa kuambukiza kwa makusudi wanawake zaidi ya 600 (weusi) ikiwemo na watoto wa umri (13-17)
Katika picha zake zote alizopiga na wanawake hao, hakuna hata moja ametabasamu au kuonyesha hali yoyote...
Naomba modes msihamishe hii mada kwenye jukwaa la dini.....
Wakuu nimeona hapa kwenye kitabu cha ISAYA 18:1 kuna nchi inazungumziwa.. Naomba wataalamu mnijuze hii ni nchi gani?
1Ole, wake nchi iliyojaa mvumo wa mabawa,
nchi iliyoko ngambo ya mito ya Kushi!
2Inatuma wajumbe ambao wanasafiri...
Wakuu napata shida nikimeza chakula nasikia mamumivu makali kwenye koo upande wa juu wa puani kwa ndani.. Yani nahisi kama kuna kitu kinazuia .... Naombeni msaada wenu wakuu
Hizi ni nyumba za wachungaji wanao waambia waumini kama wasipolipa zaka au fungu la kumi wataalaaniwa na watakwenda motoni
Nyumba za chini ni nyumba za waumini wenyewe
Wakuu habari,
Ningependa kujiingiza kwenye kilimo, lakini bado sijajua ni mazao gani nataka kulima. Nilifikiria kulima mpunga lakini moyo wangu unasita.
Kilimo gani kinaweza kunitoa kimaisha kwa sasa? Ningepata na mchanganuo ingekuwa vizuri zaidi.
Ukiachana na kilimo, pia niliwahi kufikiria...
Wakuu kutokana na ugumu wa maisha, na kukosa pesa ya mtaji kuna kitu nimefikiria naomba mnishauri kama nikiwa serious kinaweza kunitoa au bado nahitaji nifanye uchunguzi zaidi.
Wazo nililofikiria ni kwamba nataka kuwa kama dalali wa hawa watu wanao uza simu, Tv, nguo, nk
Yani wananitumia picha...
Kwa mujibu wa taarifa za kusadikika, inamaanika neno "Duluti" ni jina la mwanamke aliyekuwa akiishi kule ukanda wa meru
Mwanamke huyu alipotea katika mazingira ya kutatanisha, watu walimtafuta kila mahali lakini hawakumpata
Miezi michache baada mwili wake ulionekana katika ziwa hili akiwa...
Hii ni waterfall kubwa kuliko zote hapa mkoani kilimanjaro, inapatikana Moshi vijijini mbele kidogo ya Uru kishumundu.. Ni kama kilometa 12 kutokea moshi mjini
Ni moja kati ya waterfalls zilizopo pembezoni mwa mlima mrefu barani Africa, Mlima kilimanjaro
Maporomoko haya yamezungukwa na kabila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.