Bella Ciao
JF-Expert Member
- May 28, 2019
- 1,804
- 4,475
Msaada
Wakuu wapi naweza kupata jenereta ndogo za ku-pump maji kwaajili ya kumwagilia kwa maeneo ya Moshi au Arusha na bei zake zipoje
Pia naomba msaada ni vitu gani vya kuangalia kabla hujalinunua
Asanteni sana
Wakuu wapi naweza kupata jenereta ndogo za ku-pump maji kwaajili ya kumwagilia kwa maeneo ya Moshi au Arusha na bei zake zipoje
Pia naomba msaada ni vitu gani vya kuangalia kabla hujalinunua
Asanteni sana