Bella Ciao
JF-Expert Member
- May 28, 2019
- 1,804
- 4,444
Habari wakuu?
Watu wengi hapa kwetu Tanzania wakiona nyoka kitu cha kwanza wanawaza ni kumuua. Bila kujua nyoka wana faida nyingi sana katika eco-system na pia wanaweza kutumika katika tafiti mbalimbali za kisayansi.
Ikumbukwe siyo nyoka wote wana madhara kwa binadamu bali wana faida kwetu kuweza ku-control wadudu, panya, vichakoro n.k
Elimu ya kukabiliana na nyoka hasa wenye sumu ingetolewa mashuleni ili kupunguzwa mauaji ya nyoka.
Au ingewapa uwezo maaskari wa kulinda maliasili (rangers) endapo mtu ameona nyoka katika eneo lake apige simu kwa national park au game reserve iliyopo karibu ili waje kuwakabili wenyewe!
Watu wengi hapa kwetu Tanzania wakiona nyoka kitu cha kwanza wanawaza ni kumuua. Bila kujua nyoka wana faida nyingi sana katika eco-system na pia wanaweza kutumika katika tafiti mbalimbali za kisayansi.
Ikumbukwe siyo nyoka wote wana madhara kwa binadamu bali wana faida kwetu kuweza ku-control wadudu, panya, vichakoro n.k
Elimu ya kukabiliana na nyoka hasa wenye sumu ingetolewa mashuleni ili kupunguzwa mauaji ya nyoka.
Au ingewapa uwezo maaskari wa kulinda maliasili (rangers) endapo mtu ameona nyoka katika eneo lake apige simu kwa national park au game reserve iliyopo karibu ili waje kuwakabili wenyewe!