Bella Ciao
JF-Expert Member
- May 28, 2019
- 1,804
- 4,444
Wakuu napata shida nikimeza chakula nasikia mamumivu makali kwenye koo upande wa juu wa puani kwa ndani.. Yani nahisi kama kuna kitu kinazuia .... Naombeni msaada wenu wakuu
Usitumie vitu vya baridi kwa siku kadhaa kisha jifanyie tathiminiNiko porini ndugu zangu... Naomba nijue kama kuna uwezekano wa kuutibu au kujipa huduma ya kwanza....
Nahisi kuna kinyama nyuma ya ulimi... Haiwezi kuwa strep throat?
Niko porini eneo halina huduma za afya karibu....Nenda clinic tabibu aangalie na torch tatizo ni nini?
Asante MkuuuUsitumie vitu vya baridi kwa siku kadhaa kisha jifanyie tathimini
Hizo sehemu unazotaja ni sehemu zenye glands za immune system. Inawezekana ni lenge lenge kutokana na immune system reaction. Litakauka au litapasuka lenyewe.Nenda clinic tabibu aangalie na torch tatizo ni nini?
Lakini torch unayo?Niko porini eneo halina huduma za afya karibu....
Siku mbili zilizo pita nilikunywa maziwa ya baridi sana.. Sinywagi soda au maji ya baridiUnatumia vinywaji vya baridi??
Dah asante sana niliogopa maana kuna daktari uchwara hapa aliniambia yaweza kuwa cancer yq kooHizo sehemu unazotaja ni sehemu zenye glands za immune system. Inawezekana ni lenge lenge kutokana na immune system reaction. Litakauka au litapasuka lenyewe.
Ungekuwa karibu na hospitali lukipasuka wanachukua swabs na kupeleka lab kujua kama ni bacteria
NdioLakini torch unayo?