Nahitaji kujua utofauti wa hizi rangi ambazo ni vinyl superlux matt emulsion, na silk ambazo sio matt, hizo za kwanza ni zile za kuchanganya na mashine au ni zipi, na matumizi,
Nahitaji kujua bei za rangi za emulsion lita 20, silk lita 20,oil paints zile za makopo ya lita nne gypsum powder,hizi ni kwa maeneo ya Dar tu kwasasa nipo nje ya Dar, bei zinabadilika najua ila nahitaji kujua kwasasa zimefikia bei gani.
Kwanza pongezi kwa wachezaji kwa kupambana hadi kufikia hapo,lakini hii imekua robo fainali ya tatu tunatolewa katika michuano ya caf ndani ya misimu minne.
Ni muhimu sasa kujua nini kinatukwamisha hadi hatuvuki hapa.
Kwanza tunahitaji uwekezaji mkubwa ndani ya uwanja wachezaji wengi uwezo wao...
Mahakama kuu ya Tanzania imetoa hukumu ya kesi ya kuchafuliwa jina iliyokuwa ikimkabili mkurugenzi mkuu wa gazeti la Tanzanite na mwanaharakati huru, ndugu Musiba dhidi ya aliyekuwa Waziri wa zamani wa Mambo ya Nje na mgombea Urais kupitia ACT-Wazalendo, ndugu Bernard Membe. Mahakama hiyo...
Msanii Diamond platnumz akihojiwa katika kipindi cha Good morning ya Wasafi FM amesema amenunua hoteli yenye hadhi ya nyota tatu iliyopo Mikocheni, hoteli hiyo amedai ina vyumba zaidi ya 30 pamoja na conference room, pia amedokeza suala la kununua gari ya ndoto yake Rolls Royce ambayo ni ghali...
Watu wa saikolojia msaidieni huyu dada hayupo sawa kichwani,inasemekana ule urafiki wa wawili hawa msanii Ali kiba na mtangazaji wa clouds Diva haupo tena,diva inasemekana ndio chanzo cha wasanii killy na cheed kutoka ktk kundi la kingsmusic.Ktk page yake ya Instagram mwanadada huyo amepost...
Hatimaye yaliyosemwa kuhusu wapi anaelekea mtangazaji wa Times FM yametimia. Muda huu Lil Ommy ametambulishwa katika redio changa Wasafi FM
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuelekea mwaka huu wa uchaguzi,leo hebu tuwaangalie viongozi wetu wa majimbo(wabunge),tuliowapa dhamana ya uongozi ndani ya miaka mitano.Huku nilipo ni ktk jimbo la Ukonga jijini
Dar_es_salaam,na mbunge wa huku ni ndugu Mwita waitara kwasasa ni naibu waziri wa Tamisemi,huyu mtu mpaka sasa...
Music video production ni moja ya plan zangu nilizopanga kuanzisha ndani ya mwaka huu,hadi sasa bajeti yangu ni hiyo milioni 85,hapo nyuma niliwahi kuwa na studio ndogo ya kushoot matukio kama harusi na graduation mbalimbali,hiyo pesa nimetoa ktk vyanzo vingine vya mapato, naomba kujua A_Z ya...
Hii timu haieleweki kiukweli,ilivyofunguliwa ile ban ya kusajili nikajua timu itasajili watu wa maana lakini imekua hovyo,Abramovich huyu sio yule ambaye alikua haoni shida kutoa hela ya maana ya usajili,kiufupi Chelsea bora ya mwisho ni ile aliyoiacha Antonio Conte tu basi,baada ya hapo hakuna...
Muda mfupi baada ya Simba kupoteza fainali ya kombe la mapinduzi dhidi ya Mtibwa, Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba ametangaza kujiuzulu katika nafasi hiyo na kubaki kuwa mwekezaji tu.
======
UPDATES:
========
Mwenyekiti wa Bodi ya Simba, Mohammed Dewji kupitia ukurasa wake wa...
1. Goli la penati halikuwa sahihi Meddie Kagere alivutwa nje boksi akadondokea ndani ya boksi,hapa refa aliyumba.
2. Yondani alistahili kadi nyekundu kwa kosa la kumvuta Meddie Kagere nje ya boksi,kadi nyekundu kwasababu Yondani ndiye aliyekuwa mtu wa mwisho.
3. Goli la Mapinduzi Balama ni...
Wakuu kuna tatizo moja lipo hivi, ipo namba ya simu ambayo mara nyingi huwa nawasiliana nayo hasa katika mtandao wa WhatsApp na mpaka aanze yeye, au ananibip muda huo nikitaka kumpigia inasema namba sio sahihi.
Lakini nikitaka tuwasiliane kawaida yaani kwa sms au kupiga simu inaniambia namba...
Hii timu inabidi isajili watu wa maana kabisa ikizingatiwa tayari wameruhusiwa kusajili, Lampard hadi sasa alichofaulu ni kuwainua vijana wa uingereza na kuwapa nafasi pia kupiga pasi nyingi zisizo na maana. Kuna time hadi unazima tv unapotazama game za Chelsea, daah!
Kuna lundo la wachezaji...
Nimeona tetesi za kocha Suleiman matola kuwa ndio anakuja kuwa mrithi wa Aussems,kiuhalisia kwangu sioni kama ni mtu sahihi kabisa,
Mimi sio hater wa matola bali ni mshabiki wake namba moja lakini katika suala la kuwa kocha mkuu Simba kwangu siafiki kabisa.Nina shaka na uwezo wake hasa...
Hatimaye aliyekuwa kocha wa klabu ya Simba Mr "uchebe" ameondolewa kuifundisha klabu hiyo.Kupitia page yake ya Instagram uchebe amethibisha hayo.
Kocha wa Simba Mbelgiji, Patrick Aussems, kupitia akaunti yake rasmi ya Instagram leo Novemba 30, 2019 amethibitisha kuwa Bodi ya Wakurugenzi ya...
Wazee wa mikeka pengine ni moja kati ya watu wavumilivu sana maana inaweza tokea umebakiza mechi chache ujione milionea mwisho wa siku inabaki kuwa ndoto, Pamoja na hayo huwezi kuliwa kila siku mfano mimi tangu mwaka uanze nimebeti mara nyingi sana ila ktk hizo mara nyingi huwa siweki hela...
Nimekua mshabiki wa rumba kwa muda mrefu,nilipenda nyimbo za Congo hasa zile za zamani kidogo kuliko za sasa.Hawa magwiji wawili ndio walinivutia kuipenda rumba,nina album nzima ya madilu system na nimekua addicted na nyimbo zake japo sielewi lugha kiukweli [emoji23],Franco naye nimemsikiliza...
Pengine timu ili iwe bora ni lazima izishinde timu nyingine bora,japo mara nyingi upepo huwa una kata mwishoni kwa Liverpool wakikaribia kuchukua ubingwa wa ligi.Ushindi wa leo dhidi ya city naiona Liverpool ikichukua taji la epl msimu huu
Msanii wa Bongo Fleva, Ali kiba kupitia akaunti yake ya Instagram ametangaza kufanya mkutano na wanahabari siku ya Ijumaa ya tarehe 8/11/2019 ambapo ni siku moja nyuma ya Tamasha la Wasafi Festival.
Mkutano huo utafanyika katika hoteli ya Lamada kuanzia saa kumi na mbili jioni, inawezekana kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.