Kweli kabisa mana chumaa kimepata moto. Wachezaji wana moralii ya kufa mtu kama kipindi kile wakiongozwa na mkongwe na Muingereza pekee ambaye anakimbia huku akifunga na akiwa na uchu wa magori na huyu ndiye Jamie Vardy.Hakuna ubishi Leicester City ndiye atakae kuwa Bingwa wa EPL msimu wa 2019/2020
Comment Fupi,Fupi
Tulimtaka kipindi cha Wenger ila aligoma.Arsenal tulikuwa wapi kumsajili Jamie Vardy.
Daah!! at the age of 32 bado mashineTulimtaka kipindi cha Wenger ila aligoma.
Dawa ya Leicester City ni kumkamua tena mechi ya mzunguko wa pili.Mtazame Leicester City
Vile vitoto vikianza kua majeruhi timu hamnaLiverpool hata kama atakuwa mbele kwa pointi 30 sisi Chelsea tutamkuta na kumpita hapohapo
Shida inaanzia hapo disemba to januariVile vitoto vikianza kua majeruhi timu hamna