Mzee wetu kasha fariki kaacha wake wawili na watoto 8 kila mke ana watoto wanne. Mzee kaacha nyumba moja na kiwanja kimoja na shamba. Nyumba moja anaishi mke mdogo na kiwanja kimoja, mke mkubwa watoto wake wamejenga nyumba, wanaishi na mama yao, na kwenye shamba wao wanafanya shughuli zao za...
Nipo Zanzibar miezi miwili sasa" sijaona mgao wa umeme yani umeme ukikatika hazipiti dakika kumi unarudi yani wakazi wa Zanzibar wana raha sana, hawajui kama ndugu zao wa Tanganyika wanateseka na mgao wa maji na umeme, yani sirudi tena Tanganyika. Mwinyi ana upiga mwingi.
Nimeshikwa na mshangao muhitimu wa chuo hajui Misri, Tunisia, Angola hizi nchi zipo bara gani na hajui Uingereza hipo bara gani na yeye anacho jua Wazungu wote wanajua kuongea kiingeraza na lugha yao ni kiingereza, yani hajui nchi kama Ujerumani, Portugal, France hizi nchi zinatumia lugha zao...
Mh. Rais wetu tokea juzi yupo kwao Kizimkazi, kanishangaza badala ya kufikia nyumbani kwake au kwao yeye kafikia hotelini! Anatoka hotelini na msafara anaenda kwao.
Je, kwao hajajenga nyumba ya makazi au wazazi wake hawana makazi mpaka yeye alale hotelini, kilomita 7 kutoka kijijini kwao au...
Nina mademu zangu watatu sasa nikajaribu kuwaambia nataka kuwaoa nikatuma sms kwa kila mmoja sasa demu mmoja yeye kanijibu kwa jazba, nimeshangaa kuniambia namuingilia kwenye maisha yake'' kwa kumwambia nataka kumuoa majibu yake haya hapa chini[emoji116]
Sijafikia hatua ya kuwaza kuish na...
Tokea nijiunge kwenye jukwaa hili nimejifunza mambo mengi sana, Jambo moja la msingi nililo jifunze na nimelizingatia na kuona matokea yake ni kuto kuwapa pesa wanawake hovyo iwe kwa njia ya kuwakopesha au kuonga hovyo.
Sasa hivi pesa yangu inaonekana na inshallah mwenyezi Mungu akinijalia...
Serikali ya Rais Samia mpaka tarehe mbili haijawaingizia pesa zao wazee wetu, Waziri wa Fedha kama kazi imemshinda bora aondoke!
Wazee wanateseka wanatutuma wajukuu zao kila lisaa kwenda kwenye ATM machine kuangalia pesa kama zimewekwa, kila tukienda kuangalia salio pesa hazijawekwa huyu Waziri...
Huyu Mama wa mtoto wangu ana tabia ya kukataa vitu ninavyo mnunu lia mtoto wangu yeye ana taka niwe na mtumia hela mfano nime mnunulia mtoto wangu vifaa vya shule na baiskel nika mwambie nakutumia nauli umpe mdogo wako ampeleke mtoto kwa Bibi yake akachukue vitu vyake maana siyo mbali na anapo...
Ndugu yangu kaambiwa damu yake chafu ina bacteria wengi inatakiwa kusafishwa shida hatujui galama ni kiasi gani kwa hospital za serikal na binafsi, tunaomba msaada kwa mtu anaye jua gharama zake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nina mdogo wangu kaandikiwa aka pime kipimo cha ct scan, lakin hatuja jua zinatakiwa shilingi ngapi tafadhar anaye jua galama ani juze wadau
Sent using Jamii Forums mobile app
Nina mpenzi wangu ana mtoto mmoja ambaye alizaa na mwanaume mwingine na huyo baba mtoto kwa sasa hatoi huduma yoyote.
Tatizo nililo nalo na huyu mpenzi anataka ni bebe majukum yote ya kulipa Ada ya mtoto wake, chakula, mavazi na kodi na matibabu.
Kwangu mimi hainingii akilini wakati hatuishi...
Habar ndugu za nguni naombeni ushauri, nipo na single mother kwenye mahusiano Mwaka mmoja, nashangaa ghafla nimeanza kumpenda Sana na siwez kuacha kumpigia sim na kutumia sms, kipindi cha nyuma nilikuwa simpendi alikuwa ana ladhimisha tuonane Mimi nilikuwa na mpiga chenga Sana, siku Moja nika...
Nilinunua kitanda kipya cha Tsh 450,000 nika muomba mpenzi wangu anihifadhie kwake maana kwangu kulikuwa hakuna nafasi akanikubalia
Sasa cha ajabu Mimi nilipewa likizo ndefu kazin zaid ya miez miwil ikabid niende nyumban kwetu, Sasa baada ya kumaliza likizo mkoani kwetu nikarejea kazin kama...
Nina mpenzi wangu ni bint mzuri tu,tatizo lake nimemchunguza nimegundua siyo mkweli muongo na mdokozi wavitu, kuna siku nilikuwanae ghetto niliamka asibuhi nikaenda kazini nikamuacha badae na yeye akaondoka, nilivyorudi gheto nikakuta pafyum yangu siiyoni, na siku nyingine niliamuacha gheto...
Hapa ninapoishi nyumba yakupanga,tupo wapangaji watano mmoja dem ajaolewa mwenyeji wa kondoa mrangi amenishangaza, kunamambo anayafanya kila asubuhi ya alfajir anaenda njia panda karibia na dirisha la chumba changu ana mwaga maji yakiwa kwenye chupa na siku nyingine nilimshuudia, akimwaga maji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.