Msigwa kiongozi wa Kanda ya kusini umeiona hiyo ofisi ya kidegembye hapo Njombe? Uchaguzi wa chadema umeshapita umewatapeli chadema kwa kuwapelekea makao makuu majina feki ya viongozi kuwa walifanya uchaguzi wakati hata ofisi ya tawi imefungwaChama Kiko kwenye mioyo ya watu
Ofisi siyo upinzani, Tambua kuwa upinzani upo rohoni mioyoni mwa watu, kwanza ilitakiwa kuanzia 1991 baada ya kutangazwa mfumo wa vyama vingi ofisi zote za CCM zigawanywe kwa vyama vyote kwa usawa lakini cha ajabu CCM wakapora nyumba za umma kwa njia haramu mpaka leo wamejimilikisha kinyume cha Sheria,Mbowe Mbona unajikausha hujasikia alichosema mleta mada au? Ofisi Kama hizi za Mleta mada ziko kibao nchi nzima zimefungwa
Hata mngegawiwa matunzo hamuwezi haya ofisi hiyo mumepewa mijani Hadi mlangoni na ni kaofisi kadogo tu hako mngepewa ghorofa do ingekuwa balaaOfisi siyo upinzani, Tambua kuwa upinzani upo rohoni mioyoni mwa watu, kwanza ilitakiwa kuanzia 1991 baada ya kutangazwa mfumo wa vyama vingi ofisi zote za CCM zigawanywe kwa vyama vyote kwa usawa lakini cha ajabu CCM wakapora nyumba za umma kwa njia haramu mpaka leo wamejimilikisha kinyume cha Sheria,
Wapinzani wanaweza kutunza kuliko CCM wapinzani wanaweza vingi ndiyo maana CCM kutwa wanawanyong’onyeshaHata mngegawiwa matunzo hamuwezi haya ofisi hiyo mumepewa mijani Hadi mlangoni na ni kaofisi kadogo tu hako mngepewa ghorofa do ingekuwa balaa
Yes yes yesChama Kiko kwenye mioyo ya watu
CCM mrejeshe majengo yote yagawanywe kwa wapinzani acheni kupora nyumba za ummaMakene msemaji wa chadema toa tamko kuhusu hiyo ofisi.Uchaguzi wa hiyo kata mumefanya?
Ruzuku ya upinzani ina kazi nyingi sana na mojawapo ni kutumika kujihami dhidi ya hujuma za CCM za kila kikicha na wananchi wanajua hilo ndiyo maana huchagua upinzani kwenye chaguzi mbalimbaliHali ya hiyo ofisi Ni Ushahidi tosha kuwa ruzuku haifiki mikoani inaishia kuliwa makao makuu chadema
Na hiyo ni ya chadema.Hata mngegawiwa matunzo hamuwezi haya ofisi hiyo mumepewa mijani Hadi mlangoni na ni kaofisi kadogo tu hako mngepewa ghorofa do ingekuwa balaa
Hiyo Ni ya CCM iko wazi inafanya Kazi na iko mazingira Safi Sio Kama ya chadema ambayo haifanyi Kazi na mazingira machafu kugongwa na nyoka nje nje na wanachama wanalalamikaNa hiyo ni ya chadema.View attachment 1242760
Usiende nje ya mada hapa tunaongelea hiyo ofisi mliyonayo tayari mnashindwa hata kusafisha na jembe tu Hayo majani?CCM majengo na viwanja mlivyonavyo vilipatikana kwa kodi zetu sote watanzania. Leo hii mnaringa na kejeli kibao kwa wapinzani as if wao walipewa hela wakashindwa kujenga. na kujimilikisha zitarudishwa kwa wamiliki halali (watanzania wote)
Na hii hapa je?Tokea uchaguzi mkuu umalizike ofisi yetu ya kata imefungwa haijafunguliwa wanachama tumeshindwa kupata huduma.
View attachment 1242734
Chadema aina ofisi lakin kwenye uchaguzi inawatwanga mpka mnawazurumu kula tena kwa nguvu ya polisi, siku ikijenga hayo ma ofisi ya magorofa s mtajinyonga na pressure nyie chama chakavuTokea uchaguzi mkuu umalizike ofisi yetu ya kata imefungwa haijafunguliwa wanachama tumeshindwa kupata huduma.
View attachment 1242734