jaap
JF-Expert Member
- Dec 25, 2018
- 4,208
- 5,458
Huyu Mama wa mtoto wangu ana tabia ya kukataa vitu ninavyo mnunu lia mtoto wangu yeye ana taka niwe na mtumia hela mfano nime mnunulia mtoto wangu vifaa vya shule na baiskel nika mwambie nakutumia nauli umpe mdogo wako ampeleke mtoto kwa Bibi yake akachukue vitu vyake maana siyo mbali na anapo ishi nauli ni 800 na shangaa ana kataa ana taka nimtumie pesa akanunue yeye.
Kwan Mimi kumnunulia nguo mwanangu nikosa na Nili mtumia pesa aka mpigie picha mtoto ili nimkatie mtoto bima ya afya lakin yeye hataki ana sema bima ya afya haisaidii ukienda hospital hakuna dawa Wana kwambia ukanunue eti ni Bora niwe na mtumia hela ya kwenda hospital kuliko kumkatia bima mtoto Mim na mshanga huyu mwanamke.
Kwan Mimi kumnunulia nguo mwanangu nikosa na Nili mtumia pesa aka mpigie picha mtoto ili nimkatie mtoto bima ya afya lakin yeye hataki ana sema bima ya afya haisaidii ukienda hospital hakuna dawa Wana kwambia ukanunue eti ni Bora niwe na mtumia hela ya kwenda hospital kuliko kumkatia bima mtoto Mim na mshanga huyu mwanamke.