jaap
JF-Expert Member
- Dec 25, 2018
- 4,208
- 5,454
Nina mpenzi wangu ana mtoto mmoja ambaye alizaa na mwanaume mwingine na huyo baba mtoto kwa sasa hatoi huduma yoyote.
Tatizo nililo nalo na huyu mpenzi anataka ni bebe majukum yote ya kulipa Ada ya mtoto wake, chakula, mavazi na kodi na matibabu.
Kwangu mimi hainingii akilini wakati hatuishi pamoja kila mtu anaishi kwake lakin tunaishi wilaya moja na kingine mimi sifahamiki kwao na yeye hafahamiki kwetu.
Na mwanaume aliye mzalisha tunaishi nae wilaya moja, chakushangaza hiyu mpenzi wangu hajulikana kwenye familia ya mwanaume aliye mzalisha.
Tatizo nililo nalo na huyu mpenzi anataka ni bebe majukum yote ya kulipa Ada ya mtoto wake, chakula, mavazi na kodi na matibabu.
Kwangu mimi hainingii akilini wakati hatuishi pamoja kila mtu anaishi kwake lakin tunaishi wilaya moja na kingine mimi sifahamiki kwao na yeye hafahamiki kwetu.
Na mwanaume aliye mzalisha tunaishi nae wilaya moja, chakushangaza hiyu mpenzi wangu hajulikana kwenye familia ya mwanaume aliye mzalisha.