Wakuu nisiwachoshe mie ni fundi wa simu ninahutaji mtu anisadie hata pakufanyia kazi au tufanye kazi nalazimika kuomba huu msaada nimekutana na mtihani wa kusimbewa kilakitu nilivyokua nimesafiri.
Nimerudi nyumbani patupu yaani bora ningeachiwa vitendea kazi lakini vyote vimekombwa.
Sasa...
Hivi hawa wanaowapatia risiti wateja wao wanaonunua bidhaa mfano hii ni simu chombo cha mawasiliano unapompa mteja risiti kama hii inakuaje kisheria kama ni sawa mnijuze maana sioni ata namba ya simu ya muuzaji natanguliza uzalendo kwanzwa kodi ni maendeleo yetu sote
Nisipoteze muda twendeni GSB wameanzisha jackpot Mpya mechi ukula laki 5 Hakuna maelezo mengine kama zilivyo jackpots zinging jana nikacheza mikeka 2 yote imetiki naangalia balance ktk account Nikita tsh 560/= Kama bonasi nikawapigia simu wakawa awapokie.
Nikaona isiwe tabu asubuhi niaenda...
Wakuu natumai humu akishindikani kitu ninatatizo naombeni ushauri na kujua tatizo na tiba.
Ninasumbuliwa na muwasho katika shingo ya uume yani napenda kujikuna sana naisi raha tu ila ninapukua faragha hiyo hali inaongezeka muwasho na maumivu kwa mbali pale ninapo shusha mzigo muwasho nasikia...
Habari zenu Wahenga wenzangu, nataka tujikumbushe kipindi cha nyuma kidogo kwa yale machache tunayo kumbuka ila mtanisamehe kwa uwandishi wangu usio mzuri! Napenda tukumbushane ktk mambo mbalimbali ikiwa usafiri maeneno vituko vya zama hizo.
Naanzaia mkoa wa nikikumbuka miaka 1980+ upende wa...
Inasikitisha maisha ya Kawe yakawa ya uswazi sana eti Kawe inakua na mnada kila Jumamosi kama huku mkoani hebu niambieni Kawe si ndio karibu na Mbezi beach! mnatia auibu watu wa huo mkoa bora muhamie huku kwetu siku ya mnada tunapiga nyama choma nk.
Dar kweli watu wa Kawe njooni hapa...
Kuna kuna jambo huwa linaniumiza sana na baadhi ya wanaume wenzangu sijajua ndio mnaitaga tabia za kike!
Unakuta mwanaume naamanaisha yule anajitegemea na kutegemewa unakuta kakaa sehemu na mamanzi anaongelea maisha ya kila anamjua bila sababu za msingi atotoshi unakuta anazungumzia mpaka...
Kama kichwa habari dunia imenizonga kwakua inawezakana nilipata furaha ya wazazi kwakua naambiwa baba yangu alifariki nikiwa na miaka 4 napata akili namuona mama angu na kwenda kabulini kwa baba na mama ila hisia maelezo naambiwa nimefanana na mzee!kwa kifupi baada ya kufariki mzee maisha...
Wajuzi nisiwachoshe nina tatizo limejitokeza toka mwezi wa 12 kwa siku naweza kula chakula ata mara 5-6 na bado ndani ya muda mfupi njaa inarudia! hili tatizo nahisi linataka kuniyumbisha kiuchumi maana maisha yenyewe ya kubaingaza sasa pesa inakatikia katika milo isio na idadi.
Naomba ushauri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.